Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,261
- 5,836
- Thread starter
- #21
wewe na mkuu Mshana Jr inafaa mchukuliwe hatua kali za kisheria🤣Karibu hapa Capital KIkuyu tuzigide za mwisho mwisho.. Happy New Year View attachment 3189833
wewe na mkuu Mshana Jr inafaa mchukuliwe hatua kali za kisheria🤣Karibu hapa Capital KIkuyu tuzigide za mwisho mwisho.. Happy New Year View attachment 3189833
toka 1996 hao watengenezaji wa hiyo bia wamekua wakichuma pesa za walevi kwa kuwabadilishia muonekano wa chupaKaribu hapa Capital KIkuyu tuzigide za mwisho mwisho.. Happy New Year View attachment 3189833
umeona enheetoka 1996 hao watengenezaji wa hiyo bia wamekua wakichuma pesa za walevi kwa kuwabadilishia muonekano wa chupa
Huyo mtu mmoja anakaribia kitutoka!Kuanzia hii njanuari ni kahawa, majani ya chai na maziwa.
Au kuna mbaya wajameni? - Alisikika mtu mmoja.
upo sahihi kiongozi, najiandaa kwenda mbinguni. nawew unakaribishwaHuyo mtu mmoja anakaribia kitutoka!
sio kusaliti=>>ni kuhamaTusherekee mkuu..Mungu ni mwema kuuona mwaka..na mshangaa huyu mwamba anataka kusaliti chama
usijiendekeze kiongoziPombe zinatesa sana wakuu kama sisi wengine tukinywa ni kujuta tu namuomba sana MUNGU anipe njia ya kutoka katika hii hali
Tunaochanganya pombe na kahawa sehemu moja alafu tunazimua tucomment wapi?Kuanzia hii njanuari ni kahawa, majani ya chai na maziwa.
Au kuna mbaya wajameni? - Alisikika mtu mmoja.
Napambana sana namuimba sana Mungu huu mwaka niachane kabisa na vyombo kwanzia leo tarehe moja nisiguse kabisausijiendekeze kiongozi
jikane kidogo
fanya maamuzi magumu
omba sana kwa mola wako
mkuu bila shaka utakuw na asili ya kule juujuu tunakopakana na wale majirani zetu flaniflan🤣Tunaochanganya pombe na kahawa sehemu moja alafu tunazimua tucomment wapi?
pamoja sn kiongoziNapambana sana namuimba sana Mungu huu mwaka niachane kabisa na vyombo kwanzia leo tarehe moja nisiguse kabisa
AsanteHongera.
umesema vema kiongoziPombe inatabia yakukupa majuto ikiwa inakupelekesha, hasa ukutane na zile kali za Manzese au Buguruni, huwa zinatesa sana na kuleta majuto mengi.
Ujinga mwingine, pombe zinakupa hamu yakufanyana, sasa muda zinapokupa hiyo hamu huwa hujali, kukamata dude unapiga pipe asubuhi unaamka na hang'over mbili, moja ya K na nyingine ya pombe, lazima utoe nadhiri ya kuacha pombe, ila ikikata sasa baada ya siku mbili tatu mzuka unarudi tena.
Commitment ya kuacha pombe inahitaji ujasiri sana, na wale msiokunywa hii kitu msijaribu kabisa maana addiction yake ni mbaya sana.
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika fikra zako hizi za kuacha pombe.