Habari wadau..!
Kuna ka msemo ka waswahili kanasema "ngoma si yako wavaaje kibwaya",hii ndio inajidhirisha kwa wapinzani.
Yaani siku hizi wamekuwa hawama ajenda isipokuwa kudandia dandia ,hii naona ina wafanya wasahaurike na wasisiskike tena kwenye ulingo wa siasa.
Naona kama wapimzani...
Uraiani watu wapo busy na masuala mengine ya kimaisha na kiuchumi. Huku wakichapa kazi
Mitandoni ndio utakuta baadhi ya watu wachache wanaojinasibu ni wafuasi wa Chadema na Act wazalendo.
Kwa akili ya kawaida Mbowe na Zitto watakuwa na ushawishi kwa wananchi wazalendo?
Ukiangalia trend za majadiliano mitandaoni utaona dhahiri watanzania wameingia ubaridi toka jana ilipotoka taarifa ya Dr Abbas kukanganya na kufuatiwa na ya Msigwa kufafanua vyombo vipi vya habari vifunguliwe._
Jambo lililovurugika zaidi Waziri mwenye dhamana alipoomba wamiliki wa magazeti...
Inaelekea kuna mkakati maalumu wa wapinzani wa CCM kutaka kuwagonganisha vichwa wanaCCM mara baada ya kuona Rais Samia aneingia madarakani kwa njia ya amani.
Ni muhimu kuwakumbusha wapinzani kuwa CCM is there to exist till the true development of Tanzania is achieved.
CCM na Serikali yake...
Kati Jambo lisilotakiwa na ccm nikuruhusu watu wapate taarifa sahihi. Magazeti ya Tanzania Daima na Mwanahalisi ni mwiba kwa CCM na kufunguliwa kwayo ni kuruhusu magazeti ya Tanzanite na Uhuru yakose soko.
Bado tuna safari ndefu ya Uhuru wa habari Tanzanjia na alichokiktataa Rais Jana kwamba...
Speech ya leo ya mama imegeuza milengo ya watanzania upside down. Wale CCM kindakindaki wa humu JF wafia chama wa CCM wamekuwa wapinzani wa mama, na wale wapinzani wa ccm wa siku zote wamekuwa wapenzi na washabiki wa mama.
Binafsi pia nimekuwa mshabiki na mpenzi wa mama. Naomba mnielekeze...
Nimekuja na uthibitisho hapa unaonyesha jinsi wapinzani walivyo wanafiki.
Wanatuchanganya watanzania
Wao ndio walio ishauri serikali inunue ndege na kufufu ATCL leo tena hao hao ndio wapingaji wa ndege na ATCL.
Naomba niweke hii video kama ilivyo, niwaombeni dada zangu na kaka zangu wa...
WAPINZANI TAMBUENI KUWA TUNAYAHITAJI MAENDELEO ZAIDI KULIKO SIASA
Kwa mjibu wa kamusi ya Oxford, "Siasa ni shughuli zenye lengo la kustawisha ama kuongeza hadhi ya mtu fulani au kuongeza mamlaka ndani ya jumuiya ama shirika fulani".
Kwa mantinki hiyo unaweza kuona kuwa siasa ipo kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.