valentine

Saint Valentine (Italian: San Valentino, Latin: Valentinus) known as Saint Valentine of Rome was a widely recognized 3rd-century Roman saint, commemorated in Christianity on February 14. From the High Middle Ages his Saints' Day has been associated with a tradition of courtly love. He is also a patron saint of epilepsy.Saint Valentine was a clergyman – either a priest or a bishop – in the Roman Empire who ministered to persecuted Christians. He was martyred and his body buried at a Christian cemetery on the Via Flaminia close to the Ponte Milvio to the north of Rome, on February 14, which has been observed as the Feast of Saint Valentine (Saint Valentine's Day) since 496 AD.
Relics of him were kept in the Church and Catacombs of San Valentino in Rome, which "remained an important pilgrim site throughout the Middle Ages until the relics of St. Valentine were transferred to the church of Santa Prassede during the pontificate of Nicholas IV". His skull, crowned with flowers, is exhibited in the Basilica of Santa Maria in Cosmedin, Rome; other relics of him were taken to Whitefriar Street Carmelite Church in Dublin, Ireland, where they remain; this house of worship continues to be a popular place of pilgrimage, especially on Saint Valentine's Day, for those seeking love. For Saint Valentine of Rome, along with Saint Valentine of Terni, "abstracts of the acts of the two saints were in nearly every church and monastery of Europe", according to Professor Jack B. Oruch of the University of Kansas.Saint Valentine is commemorated in the Anglican Communion and the Lutheran Churches on February 14. In the Eastern Orthodox Church, he is recognized on July 6; in addition, the Eastern Orthodox Church observes the feast of Hieromartyr Valentine, Bishop of Interamna, on July 30. In 1969, the Roman Catholic Church removed his name from the General Roman Calendar, leaving his liturgical celebration to local calendars, though use of the pre-1970 liturgical calendar is also authorized under the conditions indicated in the motu proprio Summorum Pontificum of 2007. The Roman Catholic Church continues to recognize him as a saint, listing him as such in the February 14 entry in the Roman Martyrology, and authorizing liturgical veneration of him on February 14 in any place where that day is not devoted to some other obligatory celebration, in accordance with the rule that on such a day the Mass may be that of any saint listed in the Martyrology for that day.

View More On Wikipedia.org
  1. Strong and Fearless

    Mapenzi ya valentine: mpenzi wangu amenifanya nijihisi malkia!

    Jamani, my man has truly outdone himself this Valentine’s! Yaani sijawahi kufanyiwa hivi before, I feel so loved and spoiled. 😍 Morning surprise? He brought me breakfast in bed—hot tea, pancakes, and fresh fruits. Yani alijitahidi kabisa kuhakikisha I start my day feeling special. ❤️ Later...
  2. realMamy

    Valentine na Live Band 🔥

    Hakika imeenda vizuri sana na nimefurahia 😊. Kwako imeendaje hii siku?
  3. chizcom

    Kwa nini ikifika valentine na mfungo ni kama ligi mpya za ndoa

    Hii miezi ni kipindi cha mapenzi mubashara na wapenda dini sana kuingia kwenye ndoa.
  4. Mwachiluwi

    Mwanaume wa kwanza kutumiwa pesa na mwanamke ni mimi siku ya valentine 💌

    Au kuna mwanaume mwingine uko katumiwa tujuane tulio pata wanawake wa hivi huyu si nione anaoneka sio kama wengine wa jf
  5. Jack Daniel

    Happy valentine Day

    Ndivyo navyoweza kusema Watu wamesherehekea vyema na wapenzi wao ,kila sikukuu ina maana yake. Wapo wanaotaka out kila weekend,. Lakini outing ya Leo ni ya kipekee Kwa wengi. Wapo wanakula vizuri kila siku,lakini mlo wa leo ni zaidi ya kula. Watu wanapeana zawadi kila siku lakini Gifts za...
  6. W

    Unasherekea vipi hii Valentine?

    Wakuu, ikiwa leo ni Sikukuu ya Wapendanao "Valentines Day", unasherekea vipi au umepokea nini mpaka sasa? Kama huna ramani unaweza kusherekea siku ya leo kama ifuatavyo; Kubadilishana zawadi unaweza kuambatanisha na maua Games au movie Night: Kama hamna hela unaweza kuchill nyumbani na huyo...
  7. SweetyCandy

    Happy Valentine

    Happy Valentine to you all jamiiforum
  8. Eli Cohen

    Valentine sio siku ya wanawake ni siku ya wapendanao. Kama wewe dada hauwezi kumtafutia mpenzi wako zawadi ni aibu kutegemea kuletewa

    Siku ya wapendanao sio siku ya impress demu wako. Kupenda ni KUTOA upendo na KUPOKEA upendo. Don't make execuse kwa mwanamke ambaye anataka kupokea tu. Mtupilie mbali. Yani kuna mtu leo anajiandaa atumiwe meseji asubuhi hii alafu jioni aletewe ka-gift fulani, bwana ake akisahau hivi vyote...
  9. Anastasia21

    Happy valentine Wana JF

    Jaman ni Muda watu Leo, zawadi mtoe mpaka kielewek ila vyote kwa vyote heri ya siku ya wapendanao Tuendelee kuwapenda wanaotujali hasa wazazi wetu na watu wa karibu 😍😍💃🏾💃🏾
  10. The Watchman

    Usifanye makosa haya matano kisa valentine

    Usifanye makosa haya 5 kisa valentine 1: Mwili wako sio zawadi kwa unayempenda Kama sio ndoa usitoe mwili wako kisa tu ni siku ya valentine, Siku moja inaweza kugharimu maisha yako yote,Jitunze na jiepushe mbali na tamaa za mwili. 2: Kukutana maeneo ya faragha Usikubali kukutana naye eneo...
  11. SweetyCandy

    Valentine hiyoo, kama unampenda mtu mwambie kupitia hii post

    Valentine hiyoo inakuja usikose maua na chocolate mwambie nakupenda ili muende VALENTINE. Usikae mwenyewe kama mshumaa umejifungia, huu uzi kwa ajili yenu. Fungukeni mukasherekee kwa pamoja.
  12. L

    Tshabalala kama hakumroga Valentine Nouma sijui

    Kazini kwa Tshabalala kuna kazi, kwa tabia zake za kiswahili lazima aibe soksi au kitu chochote cha Valentine ili aonekane mbovu, na watakaomsaidia kuharibu kipaji cha Valentine ni watu wa Utopolo maana Tshabalala yuko karib sana na Utopolo, kuletewa beki upande wake kumemuudhi sana mswahili...
  13. Cute Wife

    Valentine yako iliendaje?

    Wana MMU, na waumini wote wa mapenzi mpo salama? Valentine yako iliendaje? Matarajio yalifikiwa? Ulipata ulichokuwa unafikiria ungepata? Valentine wako allitokomea? Au ulipata surprise ya mwaka iliyoongeza tabasamu siku hiyo na kufanya iwe Valentine ya kukumbukwa? Let's go😀😀
  14. Pang Fung Mi

    Naipenda Valentine Day mpaka naumwa mapenzi

    Habari, mnisamehe wapendwa nawapenda wote miamia. Yaani naipenda hii siku hadi naumwa mapenzi hapa nilipo nshapiga konyagi kubwa lao mbili nakula vibez kama zote. Ni mimi Baharia Wadiz
  15. Zee la Mandandu

    Leo nimepewa ua jeusi 💝 💔 siku ya Valentine

    Dah, leo Mchepuko wangu Toto Moja la Mbeya Mwenye shepu ya haja japo Sura ni ya Mshua wake limenipa makavu na kunitukana kwenye siku ya Valentine. Huu ni mchepuko wangu sawa na Mama J mchepuko wa mdogo wangu @Deepond japo mi naishi Rungwe yeye anaishi Mbeya Mjini. Mara nyingi nikienda Mbeya...
  16. Travis Wax

    Valentine special (mke ) anahitajika

    Hello Guy's kama kichwa kinavyo someka Binti / Mwanamke aliye single anahitajika: Sifa za Mwanamke: - Mwenye: heshima, Nidhamu, Utii, Hekima, Uvumilivu. - Umri: Miaka 25 - 45 - Ukazi: Dar es salaam / East Africa Sifa za Mwanaume: Mrefu, Mweupe Mwenye hofu ya Muenyezi Mungu Mpole, Mcheshi na...
  17. Pridah

    Zawadi yangu ya Valentine kwa mwenyekiti wa kataa ndoaw

    Huwa siwaelewi watu wanaowapinga team kataa ndoa na Atheist sababu kufanya hivyo ni kama kupangiana jinsi ya kuishi hapa duniani na hiyo sio sawa kwani kila mtu ana haki ya kuishi na kuamini anachoamini ilimradi havunji sheria wala kubughudhi wengine. Kataa ndoa sio kitu kipya na ukweli hawa...
  18. Mjanja M1

    Haji Manara: Wale Kuku walisema hatutofika Valentine

    Haji Manara amemuandika ujumbe wa Valentine mke wake kipenzi Zailyssa na kuwarushia Dongo waliosema kuwa penzi lao halitodumu. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Manara ameandika, "Happy Valentine's My Beautiful Wife,Nakupenda sana na wewe ndio furaha yangu na ndio Usingizi wangu ❤️❤️...
  19. Engager

    Wanawake wasio katika mahusiano imara ndio wanazungumzia sana siku ya wapendanao

    Angalia tu hata kwenye contact list yako. Wanaopost sana status kuhusu valentines ni wale wasiojulikana bwana zao. Walioolewa na wale wenye mahusiano hai, hawajishughulishi sana.
  20. Unique Flower

    Happy Valentine's Day my babe

    Happy Valentine my babe, Sweety 🤣😍😘 napenda jinsi ulivyo,ngoja nishuke kikwetu. I love the way your. Your all to me and I never knew that you love me. So much. I love u too. I wish your here hug me and kiss me. I hope one day you will be here to stay. I wll always love you. Happy Valentine...
Back
Top Bottom