soko la ajira

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mr Pixel3a

    Hizi ndizi kozi zenye soko katika ajira nchini

    Ukiondoa priority course(kozi pendwa) Kuna hizi kozi zenye upana wa Ajira, Upande wa Afya na uhandisi. Electronics& communication (Self) Computer &IT Civil Eng, Electrical Eng, Mechanical Eng, Biomedical Eng, MD(Medical Doctor) Med laboratory (Bach), Pharmacy, Nursing, Clinical Medicine...
  2. R

    SoC03 Soko la ajira nchini kwetu

    Mfumo wa elimu nchini kwetu Tanzania umekuwa ukienda tofauti sana na soko letu la ajira hii inatokana na kauli mbiu ya kwamba alieshiba hamtambui kwenye njaa Wito wangu na maoni yangu katika Serikali kwa mfano kwa mwaka inauwezo wa kustaafisha wafanyakazi 2000 kwa wakati huo huo wahitimu...
  3. IN JESUS WE TRUST

    Naomba kujuzwa Soko la ajira kwa kozi ya Mining Engineering

    Samahan wakuu Nmechaguliwa kusomea DIT Mining Engineering samahani nilikuwa unaulza ipo je kwa soko la ajira kwa saivi?
  4. J

    Elimu yetu inatuandaa kuendana na kasi ya Teknolojia?

    Teknolojia inaendelea kupenya katika nyanja mbalimbali za Maisha yetu, ikiwemo Ajira. Umuhimu wa Ujuzi wa Kidigitali unaendelea kujidhihirisha katika Soko la Ajira na hata kwa wanaojiajiri. Mfumo wetu wa Elimu unatuandaa kuendana na kasi ya Mabadiliko ya Teknolojia?
  5. BWANA WANGU

    Nini cha kufanya pale tu unapoingia katika soko la ajira

    Hii nakala nime copy kutoka moja ya mitandao ya kijamii. MWANDISHI: Iddy Makengo, 11 Sep 2017. NINI CHA KUFANYA PALE TU UNAPOINGIA KATIKA SOKO LA AJIRA! Miaka kama nane hivi iliyopita nilikua katika soko la ajira, ingawa sikusumbuka sana kwa maana ya kukaa muda mrefu bila ajira lakini...
Back
Top Bottom