siasa za afrika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Tofauti ya Botswana Democratic Party na CCM!

    Botswana Democratic Party ni chama tawala cha Botswana na kimeongoza nchi toka uhuru 1966 na CCM ambayo ilikuwa Tano kimeongoza Tanzania toka 1961. Tofauti kubwa ni kwamba chama cha Botswana kimeleta maendeleo makubwa kwa nchi na kulinda rasilimali. Chama hiki kimekomesha rushwa . Kwa upande...
  2. Meneja Wa Makampuni

    Top 5 viongozi bora Afrika 2024

    Kwangu mimi hii ndio orodha ya viongozi bora Afrika kwa sasa. 1. Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania) 2. Dkt. Tulia Ackson (Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa IPU) 3. Rais Hakainde Hichilema (Zambia) 4. Rais Nana Akufo-Addo (Ghana) 5. Rais Cyril Ramaphosa (Afrika Kusini)
  3. chiembe

    Jana tu wananchi walikuwa wanalisema "Rutto Must Go" leo wabunge wanaimba "Gachagua must Go. Kuna haja ya siasa za Afrika kudhibitiwa na dola

    Nathan ni sahihi siasa za gulioni zikadhibitiwa ili zisiathiri usalama na utengamano wa nchi. Ndio maana China, Urusi, Tanzania zina siasa zenye mtangamano. Mambo ya siasa za gulioni (demokrasia iliyopitiliza) yakiruhusiwa, yanaitoa nchi kwenye mstari. Ndio kinachotokea Kenya, wananchi...
  4. ChoiceVariable

    Rais wa Zambia Hichilema awasimamisha Kazi Majaji 3 wa Mahakama Kuu.Walikuwa Watoe Hukumu ya Kumruhusu Mpinzani Wake Edger Rungu Kugombea Urais 2026

    Rais wa Zambia bwana Hajainde Hichilema amewasimamisha kazi Majaji 3 wa mahakama kuu Kwa madai ya mwenendo usiofaa na kusababishia lawama za Serikali kuingilia mhimili wa mahakama. Majaji waliosimamishwa walikuwa Watoe Hukumu ya kama Rais wa Zamani bwana Edger Rungu aruhusiwe kugombea au...
  5. ChoiceVariable

    Gen.Muhoozi: Hakuna Raia Atawahi Kuwa Rais Uganda

    My Take Na 🇹🇿 ilitakiwa kusema hakuna Mpinzani Atakuwa Rais bila kupepesa macho.👇👇 Mkuu wa Jeshi la Uganda, ambaye pia ni mtoto wa kiume wa Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amesema hakuna raia atakayeiongoza Uganda kwakuwa hilo ni jukumu la wanajeshi au polisi wa...
  6. CARIFONIA

    Wengi wana macho ila ni wachache wanaoweza kuona

    Habari zenu waungwana, leo nimeona nifunguke hapa ili niweze kushea nanyi mambo nilyoyaona baada ya kufanya critical thinking ya hali ya juu Natambua watu wetu wa intelejensia wameshaliona hili jambo tatizo lipo kwa watanzania wa kawaida, wengi information zao uzipata kupitia vyombo vya habari...
  7. ChoiceVariable

    Rais wa Zambia alitoa onyo kali Julai 6, 2024 kwa vikundi vinavyochochea mgawanyiko wa Kitaifa

    Rais wa Zambia Hakainde Hichilema Maarufu kama HH alitoa Onyo Kali Julai 6, 2024 Kwa Vikundi vya Kisiasa na kikabila ambavyo vimekiwa vinaeneza chuki na kushadidia Mgawanyiko wa kijamaa Kwa maslahi ya Kisiasa. Bwana Hichilema ambae alitokea Upinzani amesema atawashighulikia wote wanaotaka...
  8. Lady Whistledown

    Afrika Kusini: Upinzani watikisika, Naibu wa Malema ahamia Chama cha Zuma (MK)

    Chama cha Economic Freedom Fighters (EFF), kimepata pigo kubwa baada ya Naibu wake, Floyd Shivambu, kujiondoa na kujiunga na Chama cha aliyekuwa Rais Jacob Zuma - uMkhonto weSizwe (MK) Floyd Shivambu alikuwa anachukuliwa kama Mtaalamu wa Kiitikadi wa EFF huku Julius Malema, akichukua nafasi ya...
  9. hitler2006

    Kuelekea 2025 Watanzania siasa haihitaji ushabiki, siasa inahitaji ufuasi

    Kuna shida sana ya watanzania tulio wengi,tumeathirika sana na ushabiki hasa wa namna ileile ya simba na yanga. Siasa zinahitaji ufuasi,mfuasi ni mtu anayeelewa barabara kile anchokifuata kimaono, kimtazamo, kisera Hizi siasa za kishabiki mtu anaunga mkono chama fulani kwa mihemko au kapewa...
  10. Tlaatlaah

    Huruma ya Rais Samia Suluhu Hassan yawanusuru vigogo wa kisiasa kusota lupango

    Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini, Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote.. Soma Pia...
  11. Tlaatlaah

    Hivi kweli kuna cha kujifunza kutokana na uchaguzi wa Afrika Kusini kama taifa?

    Nadhani Tanzania bado ni darasa na shule kuu ya kipekee mno ya demokrasia barani Africa. Ni nchi pekee ya wananchi wasiozingatia ukabila, ukanda wala rangi ya mtu kwenye uchaguzi. Shukrani za kipekee ni kwa Baba wa Taifa Mw.J.K Nyerere kutujengea kama Taifa, utamaduni, mila na desturi hii ya...
Back
Top Bottom