printer

In computing, a printer is a peripheral device which makes a persistent representation of graphics or text, usually on paper. While most output is human-readable, bar code printers are an example of an expanded use for printers. The different types of printers include, 3D printer, Inkjet printer, laser printer, thermal printer etc.

View More On Wikipedia.org
  1. Prof_rutta22

    Nauza Multi-purpose Epson printer L3250(mpya) kwa matumizi ya ofisi na binafsi

    Bidhaa: Multi-purpose Epson printer L3250(mpya) Kazi: Printing,scanning and photocopying Bei: Tsh 350,000/= Eneo: Kimara mwisho-Dar es salaam Mawasiliano: 0624576521 Ofa: wino+ Rimu
  2. Anastasia21

    Jaman wadau hii printer unaweza kuwa bei gani?

    hii ni canon mp250 all in one Kwa bei inaweza kua ngapi? Na nikiyakanyaga inaweza uzika Kwa haraka?
  3. Lexus SUV

    Nahitaji printer ya epson yenye hali nzuri. Nipo moshi

    Mwenye anauza printer ya Epson used yenye hali nzuri , na ikiwa na warranty itapendeza zaidi ...anicheki nipo moshi Kilimanjaro Njoo na ofa yako Mawasiliano. 0672701329
  4. biznes_dealz

    Portable Bluetooth Printer kwa kutolea risiti za mauzo dukani

    Portable Bluetooth Printer kwa kutolea risiti za mauzo dukani -Haitumii wino wala haijazwi wino -Ni ya kuchaji, unaweza kuichaji muda wowote wakati wowote. -Bei ya ofa Tshs 90,000 tu, imebaki moja Kwa msaada zaidi piga 0659-358-599
  5. Prof_rutta22

    Jipatie Epson printer L3250 kwa bei nafuu

    Bidhaa: Multi-purpose Epson printer L3250(mpya) Kazi:printing,scanning and photocopying Eneo: Kimara mwisho-Dar es salaam Mawasiliano: 0624576521* Ofa: wino+ Rimu
  6. Prof_rutta22

    Nauza Epson printer L3250 mpya

    Bidhaa: Multi-purpose Epson printer L3250(mpya) Kazi:Printing,scanning and photocopying Bei: Tsh 450,000/= Eneo: Kimara mwisho-Dar es salaam Mawasiliano: 0624576521* Ofa: wino+ Rimu
  7. Bob Manson

    Brand ipi ya Printer ni nzuri kwa matumizi madogo ya nyumbani?

    Wakubwa shkamooni wadogo habari zenu... nawaza niongeze printer ili process ya input na output ikamilike, naomba mnijuze ni ipi brand nzuri ya printer kwaajili ya matumizi madogo ya nyumbani.
  8. O

    Tujuzane printer nzuri kwa ajili ya kazi tofauti tofauti

    Katika Uzi huu tujadili printer nzuri za kuprint kwa level za stationery mpaka viwanda vidogo Vidogo au kampuni za kufanya printing. Tujadili na kuuliza maswali kuhusu aina ya printer, ubora , changamoto na bei zake kulingana kazi atakayotaja mtu yoyote, tunaweza kuanzia printer ndogo kabisa...
  9. D

    Nipeni ushauri kuhusu printer

    Natafuta printer kwa ajili ya ofisi yangu ni ofisi ndogo inajitafuta lakini uwa tuna kazi za kuprint na kutoa copy kwa wastani wa karatasi 2000 za black and white na 100 za coloured kwa mwezi. Kuna mtu kanipa pendekezo la printer ya: HP LaserJet Pro MFPM 426 FDW anaiuza kwa laki 7 ila...
  10. Mvinyo mpya

    Natafuta mtu wa kuifanyia service printer

    Kazi ya haraka kesho tarehe 24. Printer inajam kila baada ya kuprint page chache. Aina ni Hp Canon 404. Location. Dar es salaam ubongo. Please DM me with your quotation
  11. Bm_boy

    Nahitaji Epson Printer L805

    Wakuu Habari. Mwenye aina hiyo ya printer anicheki Ofa yang laki 5. Pia nahitaji Lens ya nikon 50mm
  12. INJECTION TECHNICIAN

    INAUZWA Nauza printer Canon IP1188

    Habari wana jukwaaa kama kichwa cha habari kilivoanza hapo juu nauza printer yangu nilokuwa na malengo ya kufanyia kazi ila kutokana na mambo kwenda vile nilivyopanga nimeona bora mali yangu inisaidie kuliko kudhalilika mwenye kuhitaji mawasiliano ni +255747654242 nipo Dar
  13. Kitabu

    Nahitaji kutumia Photocopier kama Printer aina ya Ricoh MP 2501 SP

    wakuu nina mashine aina ya RICOH MP 2501 SP , napataje free drivers ili nitumie kama printer? Kila driver ninayoiona mtandaoni inauzwa. Msaada tafadhali
  14. 90sgeneration

    INAUZWA Printer inauzwa

    HP Deskjet 2835 Inatumia Wino huu Cartridge 652 Haina wino Bei ni 190k tu Upanga Contact: 0697224996
  15. V

    INAUZWA HP Printer inauzwa

    Hp printer laser jet inauzwa ipo katika hali nzuri bei Tsh. 420,000 Mawasiliano: Piga simu 0712652110 Sehemu: Dar Idadi: Zipo 3
  16. Troubleshooter

    INAUZWA Printer, copier inauzwa RICOH mp 2852

    Ina uwezo mkubwa wa kuprinti black and white, A4 na A3, dual printing, photocopy machine with good quality of image. Bei ni milioni 1.2 maongezi yapo na punguzo lipo.
  17. G

    INAUZWA Nauza vifaa vya stationery tsh. 5M

    Nauza Printer 🖨 ya Epson L850 Ina kila kitu chake, ni mpya sijawahi itumia Tsh 900,000 All in one printer Print,copy,scan Six color eco-tank Colored printer Quality 💯 Napatikana Dar, Mbweni WhatsApp/Call/SMS 0653 083 000
  18. Ndengaso

    INAUZWA Printer HP na Epson

    Hp ni 130a Laser Jet Mpya 450,000 Full Catrage Epson ni L3110 Full na wino wake, imetumika kidogo nyumbani 350,000 Hiti Passport Printer 100,000 Bei zote TZS 700,000 Zipo Mwanza nauza maana zimekaa sana ndani bila kazi nachannel hela kwenye jambo lingine, Serious buyer njoo Pm kwa Mawasiliano.
  19. Afisa Mteule Drj 2

    Natafuta fundi wa printer Hp Laser jet pro MFP color 475dn

    Printer yenyewe ni hii hapa chini ni Hp Laserjet Pro 400 MFP colour 475dn pia na ku-refill uwino.Fundi huyo awe ni kutoka Mbeya
Back
Top Bottom