ofisi za umma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Sanduku la maoni kwenye ofisi za Umma ni miyeyusho

    Katika pita pita zangu kwenye ofisi za umma nimejifunza Haya! Ukipeleka maoni yako au kero yako kwa unaeamini ni boss (In charge) wa ofisi ndiyo kwanza unaiongezea ugumu huduma unayotafta Ukiandika maoni yako na kuyaposti kwenye kisanduku cha maoni (suggestion box), Unaemlalamikia ndiye mwenye...
  2. Z

    Bado Kuna tatizo la "ulevi" wa madaraka/vyeo

    Kuna kila dalili kuna baadhi ya viongozi/watendaji wa Serikali wanalewa madaraka mara baada ya kuteuliwa na wanasahau kabisa kuwa nafasi hiyo kateuliwa tu na wakati wowote anaweza kutenguliwa. Baadhi yao wamekuwa wakidhani kuwa wao ni bora zaidi kuliko wengine walio achwa na hivyo kuanza kuinua...
Back
Top Bottom