max

Max Payne is a neo-noir third-person shooter video game series developed by Remedy Entertainment (Max Payne and Max Payne 2) and Rockstar Studios (Max Payne 3). The series is named after its protagonist, Max Payne, a New York City police detective turned vigilante after his family was murdered by drug addicts. The series' first and second installments were written by Sam Lake, while Max Payne 3 was primarily written by Rockstar Games' Dan Houser.
The first game of the series, Max Payne, was released for Windows in 2001 and for PlayStation 2, Xbox, and Apple Macintosh in 2002; a different version of the game was released for the Game Boy Advance in 2003. A sequel, titled Max Payne 2: The Fall of Max Payne was released for PlayStation 2, Windows, and Xbox in 2003. In 2008, a movie adaptation, loosely based on the original game, entitled Max Payne, was released, starring Mark Wahlberg and Mila Kunis in the roles of Max Payne and Mona Sax, respectively. Max Payne 3 was developed by Rockstar Studios and released for PlayStation 3, Windows, and Xbox 360 in 2012.
In November 2021, Microsoft announced that in celebration of 20 years of Xbox, they would be adding over 70 more games to their backwards compatibility program. Headlining these games was the Max Payne trilogy, making the games available to play on Xbox One and Xbox Series X/SThe franchise is notable for its use of "bullet time" in action sequences, as well as being positively received by critics. As of 2011, the Max Payne franchise has sold over 7.5 million units. The film rendition received negative reviews but was commercially successful.In April 2022, Remedy announced that a remake of Max Payne and Max Payne 2 is in development, in a development agreement with Rockstar Games. The two games will be released as a single title.

View More On Wikipedia.org
  1. Chizi Maarifa

    Labda hapa mtueleze Wataalamu, Hili suala la DSTV na AZAM Max

    Uki stream DSTV HUWA HAINA TABIA YA KUSTUCK unakuta unatumia 4G speed ambayo una stream either kwa App au kwenye website kwa DSTV unachagua Highest Resolution na hai stuck. But Azam Max au ukitumia website inakuwa na changamoto sana. Haipo smooth. Ina stuck sana. Iwe kwa simu au kwa laptop...
  2. Kichuguu

    Max Nzegeli ni Chief of Staff wa Yanga

    Nimesikia Max Nzengeli akiitwa Mkuu wa Nidhamu, lakini cheo chake halisi kinatakiwa kuwa ni Mnadhimu Mkuu au Chief of Staff wa Yanga. Unaonaje hiyo? CoS Nzengeli
  3. Sir John Roberts

    Azam TV Max Kuna utapeli mwingi watu wanasajili kupitia decoder za watu wengine Free of Charge kuangalia vipindi bure azam Media wanahusika.?

    Habari ndio hiyo. Mjumbe hauwawi azam Media. Kuna malalamiko watu wanasajili azam max kupitia namba za visimbuzi ambavyo si vya kwao. Je taarifa hizi wanazipata wapi kama si kwa Wafanyakazi wenu? Naomba hili suala lichukuliwe siriazi huu ni wizi kama wizi mwingine wa kimtandao. Serikali naomba...
  4. Financial Analyst

    Kuna namna mtu akipata pesa anakuwa na kiburi cha uzima cha hyper pro max

    Majuzi dogo moja gari namba E ya harrier alikuja duka fulani kununua bidhaa. Sasa alipopaki pembezoni mwa duka ng'ambo ya pili ya bara bara kuna lori kubwa la mzigo, kumaanisha alitengeneza double parking ambayo ilipelekea bara bara kuwa finyu. Sasa jamaa mmoja wa bajaji ya mizigo akatokea kwa...
  5. B

    Nina udomo zege pro max, nahitaji ushauri

    Habari Wana JF hope mko poa. Hakuna kitu kinaumiza hapa duniani Kama unampenda mwanamke na yeye anaonesha kabisa kukuelewa lakini unashindwa kumwambia. Ni mwaka wa tatu toka ni fall in love kwa huyu mtoto ebanaee. Huwezi amini in all that year nimeshindwa kumwambia kwamba nampenda japo najua...
  6. uhurumoja

    MB MAX wanataka nisilale kabisa Leo

    Imagine mda huu Kuna 1917 movie Moja Kali sana Kisha inafatiwa na Fury Hapa ni hadi baadae sana
  7. M

    JE WAJUA UMUHIMU WA MAX PIG

    ■ FAIDA YA KUTUMIA MAX PIG SUPER MEAT. -Nguruwe hukuwa haraka pasipo kudumaa na kuongeza uzalishaji wa nyamaa Tamu isiyo na mafuta mengi yenye hadhi ya kimataifa. -Nguruwe kuingia joto kwa wakati na kupelekeea kuzaa watoto wengi wenye afya njema. -Huboresha kinga ya mwili hivyo nguruwe...
  8. M

    Virutubisho vya nguruwe vinavyo fanya vizuri ni max pig

    ■ FAIDA YA KUTUMIA MAX PIG SUPER MEAT. -Nguruwe hukuwa haraka pasipo kudumaa na kuongeza uzalishaji wa nyamaa Tamu isiyo na mafuta mengi yenye hadhi ya kimataifa. -Nguruwe kuingia joto kwa wakati na kupelekeea kuzaa watoto wengi wenye afya njema. -Huboresha kinga ya mwili hivyo nguruwe...
  9. M

    Tusisahau no Diarra, no Musonda, no Max, no Chama, no Yao Yao but no problem!

    Ni wachezaji muhimu na mhimili kwenye kikosi cha kwanza lakini awapo kwasababu za majeraha lakini iyo aijafanya timu itetereke bali dhana nzima ya team work inafanya kazi! Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024 Timu inacheza...
  10. M

    Viongozi wangu wa Simba, ondoeni kirusi Chasambi ndani ya timu yetu, msikilizeni akimsifia Max Nzengeli na kudai Simba hakuna role model wake

    Ladrack Chasambi leo amehojiwa na mwandishi na akaulizwa ni mchezaji gani kwake ni role model, yeye kwa kujiamini akauliza ndani ya timu yangu au kokotę, akaambiwa ndani ya Simba akasema hapana, akasema role model wake ni Mac Nzengeli. Sasa Chasambi wewe kwa mpira gani uliokuwa nao hadi leo...
  11. Brojust

    Hivi ina maana ile boeing max mpya, ilipelekwa Brazil halafu fasta ikarudishwa Tanzania

    Wenye mamlaka mnaenjoy sana. Mngejua hali ya huku chini basi tu. Wanamahesabu tuambie approximately ilitumia kiasi gani Siamini kama nakunywa gongo. Nimemaliza.
  12. M

    INAUZWA Virubisho hivi vya nguruwe aina ya max pig vimekuwa msaada kwa wafugaji Tanzania

    Nguruwe wako wamedumaa? wamekonda? wamedhohofika?, vifo vya mara kwa mara? wanashambuliwa na magonjwa mara kwa mara? umewatibu weee! Bila mafanikio yoyote zaidi tu ya kutapa hasara na mpaka sasa umechoka na hutamani tena kuendelea kufuga nguruwe . Pole sana na karibu Mfugo plus...
  13. Mad Max

    Wakuu, nini kimemkuta Max Verstappen "Mad Max"?

    Hii kwa wadau wa Formula 1. Bingwa wa Dunia mara 3, Max Verstappen aka Super Max mbona sahivi anaendesha "chini" ya kiwango? Nimetoka kuangalia Azerbaijan Grand Prix sahivi jamaa ata Podium hajapanda, kamaliza P5. Iliopita Italian GP alimaliza P6, Dutch P2, Belgian P4, Hungarian P5, British...
  14. P

    Phone4Sale Nauza Simu aina zote

    Je, unataka simu bei chee? Je, una abudget ndogo na unataka simu? Je, unataka kufanya Top up au exchange? Nambie una budget ngapi tukupe simu kali ya budget yako. Exchange na Top up tunafanya! Simu tulizonazo dukani ni; 📱Google pixel 📱aquous arrow 📱samsung 📱Iphone 📱LG 📱Sonny Xperia...
  15. steve_shemej

    Phone4Sale Jipatie iPhone 15 Pro max high copy tsh 300000 tu

    Karibuni wateja jipatie iphone 15 pro max high copy kwa tsh 300000 tu Nipo Kariakoo Uhuru Plaza ghorofa ya kwanza mkoani nakutumia watu wadar njoo dukani Simu zimebaki mbili tu
  16. T

    Njia rahisi ya kuangalia AzamTV Max kwenye Android/Google TV

    Hii ni kwa ajili ya TV na device zinazotumia Android/GoogleTV tu hii haisupport app ya Azam bila shida nyingi za sideloading. Mfano ni Chromecast, Mi TV stick/box, baadhi ya TV za Sony, Hisense, TCL, Nvidia Shield etc. Hii haihusu TV za Samsung (Tizen), AppleTV, LG (WebOS), VIDAA OS, na TV Box...
  17. Mjanja M1

    Kama Tajiri Max angekuwa analipa unahisi ni mwana JF gani angekuwa Tajiri?

    Endapo kama mmiliki wa JamiiForums, Tajiri Max angekuwa analipa watunga maudhui unahisi ni mwana JF gani angekuwa Tajiri? Tiririka...
  18. U

    Sasa ni Wakati wa Karia kumuombea Max uraia, akipige stars

    Nafikiri pia sisi tuanze kuangalia vipaji vilivyopo Ili tuidumishe timu yetu ya taifa, tukikumbuka Serikali kupitia karia walimpa uraia wa Tanzania mchezaji tegemeo wa Simba aka kibu Denis, na Sasa kibu Denis prospa kiungo hatari wa Simba ni mchezaji wa Star. Hapo Sasa, pia nimefikiria katika...
Back
Top Bottom