matukio ya ubakaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima kilichopo Mlandizi atiwa mbaroni akidaiwa kubaka watoto yatima watano kwa nyakati tofauti

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Stephano Maswala, miaka 35 mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima kilichopo Mlandizi (jina linahifadhiwa) kwa kosa la kubaka watoto watano kwa nyakati tofauti kuanzia mwezi Oktoba 2024 mpaka Januari 2025 waishio kituoni hapo. Muhumiwa huyo alikuwa...
  2. Z

    Kuna mambo matatu ya kujifunza kutokana na matukio ya udhalilishaji kingono kwenye jamii yetu

    Matukio ya udhalilishaji kingono katika jamii yetu yanasababishwa na mambo yafuatayo: Wazazi/walezi tumeshindwa kutimiza wajibu wetu wa kuwalea watoto kwenye maadili mema. Wasichana na vijana wamebobea kwenye ngono kuliko kufanya kazi halali. Kuna kipindi Mkuu wa wilaya ya Ubungo alijaribu...
  3. J

    Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

    Jeshi la Polisi limesema limeona taarifa na clip kwenye mitandao ya Kijamii ya Mwanamke anayebakwa na Wanaume Watatu kwa wakati mmoja Jeshi la Polisi limesema linafuatilia tukio hilo la kinyama na kuwataka Wananchi wenye taarifa za kufanikisha Watu hawa Kukamatwa mara Moja waziwasilishe polisi...
Back
Top Bottom