matairi

  1. matairi Bora ya scania

    Tunauza Matairi ya magari makubwa pamoja na magari madogo karibu wateja

    Ofa ofa ofa 🤗🤗🤗🤗🤗 karibu ujipatie matairi ya magari madogo na magari makubwa Kwa bei ya punguzo la 10% mwezi ramadhani pamoja na pasaka. Matairi ya brands mbalimbali za size zote zinapatikana. Location Vingunguti karibu na sido, Dar es salaam, Tanzania. Mikoani tunatuma pia Dar es salaam...
  2. matairi Bora ya scania

    Matairi ya brands zote yanapatikana karibuni wote

    Habari, Ofa ofa karibu ujipatie matairi Kwa punguzo la bei mwezi huu wa ramadhani. Matairi ya magari makubwa pamoja na magari madogo yote yanapatikana Kwa bei za kizalendo kabisa karibu ununue. Kwa wale wa mikoani mzigo tunatuma Kwa uaminifu mkubwa pia Dar es salaam tunafanya delivery.call...
  3. matairi Bora ya scania

    Tunauza matairi ya magari makubwa na madogo

    Habari, Ofa ofa ya mwezi mtukufu wa ramadhani karibu ujipatie matairi ya magari makubwa pamoja na magari madogo Kwa bei nafuu. Tunauza matairi ya brands zote size zote za matairi zinapatikana. Mikoani tunatuma pia Dar es salaam tunafanya delivery mzigo upo wakutosha karibuni wote mteja kwetu...
  4. matairi Bora ya scania

    Karibuni wateja wote wa matairi ya magari makubwa na madogo

    Habari, Karibu ujipatie matairi ya aina mbalimbali na size tofauti za brands zote. Tunauza matairi ya magari makubwa na madogo. Bei zetu ni nafuu sana mikoani tunatuma Dar es salaam tunafanya delivery mzigo upo wakutosha karibuni wte. Location Vingunguti karibu na sido Dar es salaam...
  5. matairi Bora ya scania

    Karibu ujipatie matairi ya aina zote magari makubwa na madogo brands zote

    Bei zetu kwa upande wa brand ya CENTARA . 1 - 315/80 R 22.5 - Tyre la mbele Price =465,000/= (highway) - Mixer (Trailer) Price =460,000/= Diff (kashata kubwa) price =510,000/= Diff kashata box box Price =510,000/= 2. 385/65 R 22.5 SUPERSINGLE price =610,000/= 3. R 22.5 TRANS TONE...
  6. Waufukweni

    Lindi Mwambao watoa msaada wa Madawati, Viti vya Walemavu, na Matairi

    Chama Kikuu cha Ushirika cha Lindi Mwambao kimemkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Lindi Victoria Mwanziva madawati 150,viti mwendo 2 na mataili 4 kwaajili ya jeshi la Polisi, vyote vikiwa na thamani ya shilingi 19,700,000 ikiwa ni kutekeleza msingi wa saba wa Ushirika wa kuisaidia jamii. Hafla ya...
  7. W

    TUNUNUA MATAIRI MABOVU YA MABASI NA SCANIA KWA BEI NZURI!

    Tunatafuta matairi yaliyotumika ya mabasi makubwa na Scania. 💸 Tunatoa TZS 3,000 kwa kila tairi moja! ✅ Kiasi kinachohitajika: Tunapokea matairi kuanzia 50 au zaidi. 📍 Eneo: Upo Dar es Salaam? Tutakuja moja kwa moja hadi eneo lako!
  8. Y

    Natafuta roller blade (kiatu cha matairi)

    Habari zenu wakubwa, Natafuta ni wapi naweza pata roller blades (viatu vya matair) za kununua either dukani au kama kuna mtu anacho na anakiuza tunaweza fanya biashara Mimi nipo mwanza kama kuna mtu pia anafahamu bei zake naomba msaada tafdhari ahsanteni.
  9. Replica

    Serikali inatafuta muwekezaji wa kukifufua kiwanda cha matairi cha General Tyre, atakikodisha kwa miaka 33

    Serikali ya Tanzania inatafuta muwekezaji wa kukifufua kiwanda cha kutengeneza matairi kilichopo jijini Arusha cha General Tyre kuhudumia soko la ndani na kanda. Uhuishaji wa General Tyre East Afrika(GTEA) kilichoanzishwa miaka 55 iliyopita unalenga uzalishaji wa matairi milioni moja kwa mwaka...
  10. K

    Trend mpya mjini kwanini Matairi yalitumika yananunua sana

    Wakuu embu tujuzane matairi yaliyotumika hawa wanaonunua wanaenda kufanyia nini? Maana hapa nimepewa ofa nisijeachia mali kwa bei rahisi.
  11. Execute

    Precision Air, ndege yenu namba PW 417 inatoa mlio wakati wa kushusha matairi

    Jana (2 Nov) nimesafiri kutoka Mwanza na ndege hiyo kuja Dar kupitia KIA. Pale mwanza tulichelewa kwa zaidi ya saa zima, badala ya 12:55pm tuliondoka around 14:10pm. Nilikaa maeneo ya karibu na injini ilipo na niliusikia ule mlio wa paaah wakati tunatua KIA na vilevile wakati tunatua Nyerere...
  12. FRANCIS DA DON

    Hii ndio mashine ya kuzalisha matairi ya pikipiki kwa kutumia takataka, Tz hazijafika bado?

    Kwakuwa mahitaji ya tairi za pikipiki na makubwa nchini Tz, Ke, bado hatuna hii mashine? Video ina maelezo
  13. K

    Kiwanda cha Matairi Arusha tuliambiwa kingeanza kufanya kazi, nini kinaendelea?

    Bajeti ya 2020/2021 tuliaminishwa kuwa kiwanda cha General Tyre cha Arusha kingekarabatiwa ili kiwanda kianze kuzalisha matairi. Mpaka sasa ni kimya na sisi wananchi hatuji kinachoendelea.
  14. MPUNGA MMOJA

    Powertiller (kubota) trekta ya matairi mawili iliyokuja kufanya mapinduzi ya kilimo cha mpunga Tanzania

    POWERTILER ni aina ya trekta ya tairi mbili, kina uwezo wa kulima eneo kubwa kwa muda mfupi. Ni kifaa cha kulimia kilirichorahisishwa zaidi kusaidia Mkulima wa chini na kati. Ni kilimishi kilichokuja kufanya mapinduzi ya kilimo hasa Mpunga ingawa kinatumika kulima mashamba ya Mahindi, Maharage...
  15. BuDDaH MBiSHi

    Zijue sababu zinazoathiri matairi ya magari

    TAIRI Ni sehemu ya nje ya guruudumu Sasa sababu zinazo athiri matairi ya magari zinawezakua: Namna ya ujazaji upepo. Unapojaza upepo kwenye matairi in sharti uangalie usijaze kupita kiasi au kupunguza kupita kiasi ambavyo mtengenezaji anataka. Barabara mbovu (Rough road). Unakutaka...
  16. M

    Mwenye uzoefu Matairi ya gari naomba ufafanuzi

    Mwenye uzoefu na tairi za gari kuagiza nje..ni zipi nzuri.kampuni gani na nchi gani? Soko lake kwa Tanzania limekaaje
  17. D

    Natoa siku saba walioiba matairi ya gari la wizi likiwa kituoni baada ya kukamatwa likiwa salama watakipata Cha Moto

    Mambo mengine yanakera Sana! Ebu fikilia, Gari limeibiwa mwezi wa nne, Tumehangaika kulitafta hatimaye likapatikana likiwa limefichwa huko Kimara na dreva wake kuuwawa na waliohusika na wizi huo walikamatwa wote na Cyber Crew! Wakati taratibu zingine za kimahakama zikiendelea, Gari Hilo likiwa...
Back
Top Bottom