mafia

A mafia is a type of organized crime syndicate whose primary activities are protection racketeering, arbitrating disputes between criminals, and brokering and enforcing illegal agreements and transactions. Mafias often engage in secondary activities such as gambling, loan sharking, drug-trafficking, prostitution, and fraud.
Nowadays the 'Ndrangheta, originating in the southern Italian region of Calabria, is widely considered the richest and most powerful mafia in the world.The term "mafia" was originally applied only to the Sicilian Mafia and originates in Sicily, but it has since expanded to encompass other organizations of similar methods and purpose, e.g., "the Russian Mafia" or "the Japanese Mafia". The term is applied informally by the press and public; the criminal organizations themselves have their own terms (e.g. the Sicilian Mafia and the related Italian-American Mafia refer to their organizations as "Cosa Nostra"; the "Japanese Mafia" calls itself "Gokudō" but is more commonly known as "Yakuza" by the public; and "Russian Mafia" groups often call themselves "Bratva").
When used alone and without any qualifier, "Mafia" or "the Mafia" typically refers to either the Sicilian Mafia or the Italian-American Mafia and sometimes Italian organized crime in general (e.g., Camorra, 'Ndrangheta, etc.).

View More On Wikipedia.org
  1. Abraham Lincolnn

    Miaka 64 ya uhuru: Watu wanakwama kwa siku 18 kisiwani bila usafiri, Hii ndiyo CCM

    Serikali inayojinasibu kukusanya matrilioni ya mapato ya kodi, Mwaka hadi mwaka inavunja rekodi! Achilia mbali vyanzo vingine vikuu vya mapato ambavyo nchi yetu imebarikiwa, kama madini, vivutio vya utalii, ardhi safi na amani inayohubiriwa kila siku! Lakini kwa miaka zaidi ya 60, Mkulima...
  2. emmarki

    AZAM MARINE mlete vivuko vyenu Mafia

    Kivuko MV. KILINDONI kinachotoa huduma kati ya Mafia Wilayani Mafia na Nyamisati Wilayani Kibiti Mkoani Pwani kitasimama kutoa huduma katika eneo hilo kuanzia siku ya leo Tarehe 12 Februari, 2025 ili kupisha matengenezo pamoja na kufungwa injini mpya. Kivuko MV. KILINDONI kimewasili leo kikiwa...
  3. Side Makini Entertainer

    Hoja na Mjadala dhidi ya Mafia Boxing Promotion

    Katika muktadha wa Mafia Boxing Promotion na matokeo ya mapambano ya hivi karibuni, kuna maswali na kashfa ambazo zinapaswa kujadiliwa kwa kina. Kuna hoja nzito kwamba Mafia Boxing Promotion inawazalisha mabondia kwa njia isiyo ya haki, ama kwa kuwaweka kwenye pambano dhidi ya wapinzani wasio...
  4. S

    Mafua yasiyoisha kwa watoto wachanga

    Wadau! Mwanangu ana umri wa miezi miwili ila anakua anamafua ambayo hayatoki (ambayo hayachuruziki) nimempeleka hospital lakini Bado hayakati naomba ushauri.
  5. emmarki

    Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, inauza viwanja

    Karibuni kisiwa cha mafia, kuwekeza kwenye utalii na uchumi wa buluu. Mafia inakua sana, kuwa sehemu ya ukuaji wake
  6. emmarki

    Karibuni Mafia Festival, fursa za utalii na uchumi wa buluu

    Follow this link to join my WhatsApp group: MAFIA ISLAND FESTIVAL Hili ni kundi maalumu kwa ajili ya kuunga mkono jitihada za Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan za kukuza utalii na uwekezaji nchini na muendelezo wa Royal Tour kupitia maandalizi, hamasa na taarifa za Mafia Island Festival...
  7. Waufukweni

    LGE2024 DC Mafia, Mangosongo adaiwa kuwaondoa mawakala wote wa ACT Kwenye vituo vya kupigia kura

    Mkuu wa wilaya ya Mafia, Aziza Ally Mangosongo amewaondoa mawakala wote wa ACT Kwenye vituo vya kupigia kura.
  8. Roving Journalist

    Kivuko cha MV Kilindoni charejesha huduma ya usafiri Mafia

    Hiyo ni kauli ya Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa aliyoitoa siku ya Oktoba 26, 2024 alipokuwa Wilayani Mafia Mkoani Pwani katika ziara ya kikazi ambapo alimpigia simu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Mhandisi, Aisha Amour kumuagiza aambatane na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na...
  9. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Ampigia Simu Katibu Mkuu Amtaka Kupiga Kambi Mafia Hadi Huduma ya Usafiri wa Kivuko Itakaporejea

    BASHUNGWA AMPIGIA SIMU KATIBU MKUU AMTAKA KUPIGA KAMBI MAFIA HADI HUDUMA YA USAFIRI WA KIVUKO ITAKAPOREJEA. “Msitoke Mafia mpaka Kivuko kianze kutoa huduma kwa Wananchi” Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amempgia simu na kumuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Eng. Aisha Amour na...
  10. Roving Journalist

    Serikali kuunda timu maalum kusimamia urejeshaji huduma za usafiri wa vivuko Mafia - Pwani

    Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Uchukuzi na Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa itaunda Timu Maalum itakayoshughulikia na kusimamia urejeshaji wa huduma ya usafiri wa Vivuko vya MV Kilindoni na Meli ya TNS Songosongo vinavyofanya safari kati ya kituo cha Mafia - Nyamisati...
  11. Mindyou

    TEMESA yaomba radhi kwa watumiaji wa kivuko cha Mafia mpaka Nyamisati kutokana na safari kusitishwa

    Siku ya leo Oktoba 23 2024 Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) umeomba radhi kwa watumiaji wa kivuko cha MV Kilindoni kinachotoa huduma kati ya Mafia na Nyamisati kutokana na hitilafu kwenye mfumo wake, ambayo imesababisha kusitishwa kwa huduma. Soma pia: TEMESA tunaomba mlizingatie...
  12. chongoe

    Ali kamwe najua ulikuja mafia alhamis umeondoka ijumaa ila safari hii mambo tofauti

    Nafaham juani ulipokwenda hata watu wa serikali ndio hutumia huko mizimu ya kule ni mikali sana ila nachowashsuri simba ili tushinde hakikisha mpira wa kwanza aguse mchezaji mmoja na autoe goolkik tukenda kinyume na hapo tunafungwa Karibuni mafai
  13. emmarki

    Kutoa ndizi mbivu kutoka dar kupeleka kisiwa cha Mafia

    Habari wana jamvi. Kisiwa cha Mafia ni mojawapo ya wilaya zinazounda mkoa wa Pwani. Kutokana na aina ya wakazi wa kisiwa hiki kuegemea sana kwenye shughuli kuu ya uvuvi na kilimo cha nazi, imesababisha mazao jamii ya matunda na mbogamboga kuagizwa kutoka dar. Nimeona biashara ya kununua...
  14. M

    Hii kamati ya mashindano ya roho mbaya iliyolejeshwa na eng.Hersi ikiwa na mafia wa enzi za manji nawaona yanga wakiendeleza vilio mwanzo mwisho!

    Kwa wale Wanye kumbukumbu nzuri kwenye Mpira wa Tanzania watakuwa wanawakumbuka awa jamaa vizuri sana; Rodgers gumbo Lucas mashauri Davis mosha Seif Ahmed magari Pelegrinus Rutayuga Hao jamaa walikuwa mafia sana kwenye utawala wa walipokuwa kwenye kamati ya mashindano, yanga ilikuwa aigusiki...
  15. Hypersonic WMD

    Mringanisho wa Mafia Island Vs Maldive Island

    Hapa ni uringanisho wa Kisiwa cha Mafia na Maldives. Ukumbwa Mafia -435 KM2 maldive -300 KM2 UCHUMI MALDIVES -6 Billion za kimarekan MAFIA -0 (no data/Hawajafanya tathmin) SHUGHULI ZA UCHUMI MAFIA-Utalii Maldives -Utalii Tanzania inashindwaje kukifanya kisiwa cha mafia kama maldive wakat...
  16. Chakaza

    Tabia Hii Ilianza Kama Utani. Manyara Wakapotezea, Mafia Wakapotezea, Sasa Simiyu Nayo Wanataka Kupotezea

    Kuna hii tabia inaanza kuota mizizi ya viongozi wa kisiasa kunyanyasa watu kijinsia kisha vyombo vya dola kupotezea baada ya kutumia umasikini wa wahanga kulipa chochote. Kule Manyara naibu Waziri alimtumbukiza kijana chupa ya Coca makalioni na DPP akaingilia kwa juhudi kubwa kufuta kesi. Huko...
  17. aka2030

    Tuboreshe kisiwa cha Mafia kama mbadala wa Zanzibar

    Hiki kisiwa kikiboreshwa vema kinaweza kuwa mbadala wa Zanzibar japo hakiwezi kuwa kama Zanzibar. Kina fukwe kubwa na nzuri, Kina utalii wa majini Utalii wa mashambani ni muhimu tujivunie na kuboresha chetu
  18. Pfizer

    Omar Juma Kipanga amewaambia wananchi wa mafia baada ya kimbunga Hidaya

    MHE QS KIPANGA SHIDA ZENU SHIDA ZANGU KIMBUNGA HIDAYA MAFIA KILINDONI MAFIA Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknologia Mhe Qs Omar Juma Kipanga amewaambia wananchi wa mafia kata ya Kilindoni Kijiji Cha kilindoni Vitongoji kumi na moja kuwa shida zao shida zake juu ya majanga ya Kimbunga...
  19. Mshuza2

    Updates za Kimbunga Hidaya: Ulipo hali ikoje?

    Wakuu, ingekuwa vyema tukapata updates za kimbunga Hidaya kama kilivyotabiriwa hapa kwenye huu uzi. Kwa wale walio mikoa ya pwani hali ikoje uliko? Ni tahadhari gani umechukua? Kufuatilia hali ya kimbunga hiki mubashara bofya hapa: Live Weather Satellite Map | Zoom Earth ==== Pia soma...
  20. Kaka yake shetani

    Tuseme ukweli, kisiwa cha Mafia umeshawahi kusikia habari yoyote mfano kama Serikali zinavyofanyika mikoa mingine

    Leo baada ya kuona video ikionesha madhara ya kimbunga Hidaya ndio nikajiuliza hivi kisiwa cha Mafia kwa shughuli za Serikali kila siku zinazofanyiwa kikazi upande wa Mafia mbona kama ni kimya sana. Wajuzi
Back
Top Bottom