kueleka 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Pre GE2025 Mwenezi CCM Rombo aweka plate number yenye vifupisho vya jina la Rais Samia. Hivi kiutaratibu hii imekaaje?

    Wakuu, Hivi sheria zinasemaje kuhusu hizi plate number za kwenye magari? Ni kwamba mimi naweza tu kuamka asubuhi nikaweka jina lolote as plate number au kuna muongozo ambao inabidi ufuatwe? Vipi kwenye plate number nikaweka maneno yanayozua taharuki au nikaweka jina la mgombea Urais hasa...
  2. S

    Pre GE2025 Ubinafsi umefanya vyama vya siasa kutotumia nafasi ya kukataa kutia sahihi kanuni za uchaguzi kuwalazimisha CCM kukaa nao mezani na kubadili kanuni

    Leo hii, kama vyama vyote vya siasa vingechukua msimamo wa kukataa kutia sahihi kanuni za uchaguzi, amini nawaambieni, sasa hivi tungekuwa tunaongea mambo mengine kabisa. Vyama vya siasa havikuiona na kutambua kuwa hiyo ilikuwa nafasi ya kuilazimisha CCM kukaa nao mezani na hata kubadili kanuni...
  3. Mindyou

    Pre GE2025 Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali ukarabati wa soko la Kariakoo. Wafanyabiashara 1,002 tayari wamepangiwa maeneo

    Haya ndio madhara ya Bunge na Serikali vyote kutoka kwenye chama kimoja. Yaani hizi kamati za Bunge kazi yake imekuwa ni kupongeza tu. Sijawahi kuona hata mradi mmoja ambao hizi kamati zimesema kama hauendi vizuri. Tukisema hizi ni kampeni za Uchaguzi mtakataa...
  4. Mindyou

    Pre GE2025 Katibu Uenezi CCM Amos Makalla: CHADEMA wanapumzika wamechoka huu mwendo hawauwezi na sisi tumewakubalia

    KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA Amos Makalla, amesema wamewakubalia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupumzika. Aliyasema hayo April 13 wakati akizungumza na wananchi wa Tarafa Lionja, Kata Lionja, Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, waliofika kumpokea...
  5. N

    Pre GE2025 CHADEMA; baada ya tamko la kutoshiriki Uchaguzi Mkuu, fanyeni haya

    SEHEMU YA KWANZA Salaam na heshima nyingi kwenu; Uongozi, Wanachama, Wapenzi na Wadau wote wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Waswahili husema; haraka haraka haina baraka, simba mwendapole ndiye mla nyama, polepole ndio mwendo lakini pia haba na haba hujaza kibaba... Kwanza...
  6. B

    Pre GE2025 Tume, serikali na vyama vya siasa kusaini maadili ya uchaguzi

    Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ndg. Kailima, R. K akifafanua jambo. Na Mwandishi Wetu Dodoma. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, vyama vya siasa na Serikali kesho tarehe 12 Aprili, 2025 wanatarajiwa kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi yatakayotumika kwenye uchaguzi...
  7. Mi mi

    Pre GE2025 Mbunge aomba bunge kujadili penalties za Simba

    Mbunge mmoja amemuomba Naibu spika wa Bunge kuahirisha shughuli za Bunge na wajadili kuhusu Penati za Simba dhidi ya Al Masri Soma Pia: Kuelekea 2025 - Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu...
  8. Pfizer

    Pre GE2025 DSM RC Chalamila: Wananchi acheni kulalamika, kuna fursa nyingi kuelekea AFCON 2027 Tanzania

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila , amesema kuna mabadiliko ya maendeleo makubwa sana Dar Es salaam ya Miundombinu kulinganisha na Mikoa mingine. Hivyo kawataka Wafanye kazi kuliko kulalamika tuu. Ameyasema hayo leo tarehe 10 Aprili 2025 katika Uwanja wa TP uliopo Sinza wakati...
  9. L

    Pre GE2025 Nawashauri Viongozi na Watu hawa wafuatao wakachukue fomu za kugombea Ubunge

    Ndugu zangu Watanzania, Baada ya kufunguliwa Kwa pazia na kupulizwa kwa Filimbi ya kuchukua Fomu za Kuomba kuteuliwa nafasi za kugombea Udiwani na ubunge ndani ya CCM. Nilikuwa nashauri na kuwashauri viongozi na watu hawa wafuatao wachukue ,kujaza na kurejesha Fomu za Kuomba ridhaa ya...
  10. mwehu ndama

    Pre GE2025 Video: Babu Tale agawa kanga kwa wafuasi wa CCM huko Morogoro

    😁 Hili li nchi ni kichekesho , yaan kuitamaza Tanzania wakati ukiwa unaishi taifa lingine , nikama umepata ofa ya kutizama stand-up comedy Bure. Siasa za kipumbavu sana!
  11. Ojuolegbha

    Pre GE2025 CCM yatangaza kuanza kwa mchakato wa uteuzi wa Wagombea wa Uchaguzi Mkuu 2025

    TANGAZO KWA UMMA Chama Cha Mapinduzi kinawatangazia Wanachama wake kwamba, mchakato wa ndani ya Chama wa uteuzi wa wagombea nafasi za Ubunge, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi na Udiwani, kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, utazanza rasmi tarehe 1 Mei, 2025 kwa zoezi la uchukuaji na...
  12. Waufukweni

    Pre GE2025 Makalla amtaka Waziri Ulega kusimamia ujenzi wa madaraja kwa ubora

    Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi and Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amewasili mkoani Lindi Aprili 10,2025 kwa ajili ya ziara yake katika mikoa miwili ya Lindi na Mtwara. Awali baada ya kuwasili mkoani humo alipita katika Kata ya Somanga, Mtama iliyopo...
  13. Chief Godlove

    Pre GE2025 Tunamshukuru rais Samia Kwa uongozi Bora vijana tumetajirika na wananchi tunafuraha na wewe

    Huyu ni rais Bora sana Africa nzima ndio maana oktoba nitaenda kumpigia kura sababu vijana Sasa tunapesa nyingi sababu ya uongozi Bora wa mama anaetujali raia wake 2025 tunaenda na mama Samia ingekua uwezo wangu ningempa miaka 50 mbele ya kuiongoza tunafuraha na mama tunakula Bata na mama...
  14. S

    Pre GE2025 Kama Tanzania ingeamua kuwafunga wanasiasa waongo, karibu viongozi wote wa CCM wangekuwa jela, Amos Makala kifungo cha maisha kwa kauli ya Ebola!

    Naona mashitaka dhidi ya Lisu yamejikita kwenye mambo mawili; kwamba amesema uongo na pili uhaini. Kwanza, kusema uongo; kama kweli serikali ya Tanzania ina umakini wa kiasi hicho kuhusu wanasiasa kusema uongo, iweje Amos Makala hadi leo yupo nje anadunda tu baada ya kauli zake za kusema...
  15. chiembe

    Laiti Lissu angesikiliza mawaidha ya wakongwe wa siasa walio G-55, leo angekuwa anawasuka wagombea wake tayari kwa ushindi mzito

    Katika moja ya ushauri wa G-55 kwa Lissu ilikuwa ni kwamba kitendo cha kuzuia uchaguzi kinaweza kufanya wanachama watende makosa ya jinai. Lissu kwa ujuaji au kiburi, akawaita G-55 wajinga, naona sasa anavuna alichopanda
  16. C

    Pre GE2025 CCM kabla ya kutumia vyombo vya dola kuumiza Watanzania mngejiuliza kwanini upinzani unaungwa mkono kwa hiyari na CCM inalazimisha kuungwa mkono.?

    Nadhani njia nzuri ni kujitafakari kwanini upinzani uungwe mkono kwa hiyari na huku CCM ikitumia Rushwa ,wasanii maarufu na watu maarufu, vitisho na mitutu ya bunduki kulazimisha kukubalika? Mjitathimini tu. vita yenu si vita mnayo pigana na upinzani bali ni vita mnayo pigana na watanzania...
  17. The Palm Beach

    Pre GE2025 Wakili Rugemeleza Nshala: Serikali haina uhakika kama Tundu Lissu katenda kosa la uhaini au la. Wanaendelea kuchunguza, halipo mahakamani

    https://youtu.be/mzQEeiy4TjE?si=fkKNag_Pg0wJdYU_ ➡Kumbe Lissu ameshitakiwa kwa makosa matatu tu ambayo upelelezi wake umekamilika... ➡Kosa la "TREASON" ama "UHAINI" limewekwa "just by the way" tu kwa kuwa hata aliyeandaa shitaka hilo (serikali) naye anasema "bado hana uhakika" kwa kuwa...
  18. Ojuolegbha

    Pre GE2025 Mradi wa kuzalisha umeme wa bwawa la Mwalimu Nyerere umekamilika

    MRADI WA KUZALISHA UMEME WA BWAWA LA MWALIMU NYERERE UMEKAMILIKA Kukamilika kwa mradi wa uzalishaji umeme katika Bwawa la Julius Nyerere ni utekelezaji wa ilani ya CCM ibara ya 63 (a). Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala...
  19. Rashda Zunde

    Pre GE2025 Amani ya Taifa ni Kipaumbele – Tuikatae Siasa za Vuguvugu na Uchochezi

    Katika kipindi hiki ambacho Tanzania inapiga hatua kubwa katika kuimarisha demokrasia na maendeleo ya kijamii na kiuchumi, ni jambo la kusikitisha kuona baadhi ya wanasiasa wakichagua njia za uchochezi na kuvuruga amani kwa maslahi binafsi ya kisiasa. Kauli na mienendo ya Mwenyekiti wa CHADEMA...
  20. Dalton elijah

    Pre GE2025 Watanzania wenzangu, tusipoamka sisi na kufunguka fahamu zetu, CCM wataendelea kutuona kama "toilet paper"

    Watanzania wenzangu, tusipoamka sisi na kufunguka fahamu zetu, CCM wataendelea kutuona kama "toilet paper". Watatutumia wapendavyo na kututupa. Hakuna cha maana zaidi hawa watu wanaweza kututendea kama taifa. Fikra zao zimefika ukomo. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA...
Back
Top Bottom