forum

An Internet forum, or message board, is an online discussion site where people can hold conversations in the form of posted messages. They differ from chat rooms in that messages are often longer than one line of text, and are at least temporarily archived. Also, depending on the access level of a user or the forum set-up, a posted message might need to be approved by a moderator before it becomes publicly visible.
Forums have a specific set of jargon associated with them; example: a single conversation is called a "thread", or topic.
A discussion forum is hierarchical or tree-like in structure: a forum can contain a number of subforums, each of which may have several topics. Within a forum's topic, each new discussion started is called a thread and can be replied to by as many people as so wish.
Depending on the forum's settings, users can be anonymous or have to register with the forum and then subsequently log in to post messages. On most forums, users do not have to log in to read existing messages.

View More On Wikipedia.org
  1. Victor Mlaki

    JamiiForums linaweza kuwa darasa zuri sana la waandishi wa habari wanaoiona fursa hii

    JamiiForums ni darasa huru ambalo kama mtu anatamani kuwa mwandishi bora kabisa wa masuala mbalimbali anaweza kujiona na kufikia viwango vya juu sana. Nashauri waandishi wa habari najaribu kuitumia fursa hii ili kuepusha uandishi holela na kurupushi. Nakiri kujifunza mengi sana yanayohusiana...
  2. KakaKiiza

    Kutoka February 16 2010-mpaka February 16-2021 hapa Jamii Forums

    KUTOKA FEBRUARY 16-2010-MPAKA FEBRUARY 16-2021 MIAKA KUMI NA MOJA(11) KATIKA MTANDAO BORA TANZANIA WA JAMII FORUMS. Leo ni siku ambayo kwangu naiona kama siku ya kishujaa muno,Nasema hivyo kwakuwa nimeweza kutimiza miaka 11 katika huu mtandao nimekuwa mwanafamilia wa huu mtandao,JF kama wengi...
  3. Uzalendo wa Kitanzania

    Kumbe hii Teknolojia ya kupata mwangaza bado inatumika hata kwenye majiji kama Dar es Salaam

    Wadau Wa Jamii Forum, Nimeamini Tanzania Ya Viwanda Inawezekana! Nimekuta wadau wakijaribu kupata mwanga kwa kutumia teknolojia ya Zamani kidogo! Wahenga mtuhabarishe
  4. S

    Tundu Lissu kushiriki katika Forum ya International Democratic Union

    Habari hii ni kwa mujibu tweet ya International Democratic Union: We are pleased to confirm Hon. Tundu Lissu’s participation at the #IDUForum2020. Tundu Lissu is Vice-Chairman of @ChademaTz and was Presidential candidate in the recent elections in #Tanzania, which have been an example for an...
  5. Pascal_TZA

    JamiiForums na Doris Foundation waungana kumpambania mtoto njiti (+picha)

    Taasisi ya Kiraia ya JamiiForums pamoja na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wameingia mkataba wa makubaliano wa kupeleka ujumbe sahihi kwa wananchi kuhusiana na watoto wanaoizaliwa kabla ya wakati (njiti). Akizungumza katika hafla hiyo Mkurugenzi na Mhasisi wa Doris Mollel Foundation Doris...
  6. fungi06

    Asubuhi njema na Jamii forum (JF)

    Je unajua kua ukiamka ukakunja na kutandika kitanda chako vyema inakupa 98% ya kukuonyesha mafanikio yako kwa siku hiyo Je unajua kua... 1. Unaweza acha kuvuta sigara na vingine mda wowote unaotaka 2. Unaweza start exercising wherever you want 3. Unaweza kutembelea jiji lolote duniani unalo...
  7. Nyendo

    Dodoma: Rais Magufuli apiga simu mubashara kwenye Kongamano la CWT na kukanusha kufutwa kwa Ualimu Ngazi ya Cheti

    Leo tarehe 5 Oktoba, katika Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Walimu Duniani lililoandaliwa na CWT, Dodoma, Rais John Pombe Magufuli alipiga simu 'live' na kuongea na washiriki wa kongamano na pia kukanusha kufutwa kwa ualimu wa ngazi ya cheti. Rais Magufuli amewataka walimu kupuuza taarifa hiyo...
  8. M

    Utambulisho

    Habari jamiiforum. .!! Mimi ni mgeni humu nashukuru rasmi nimeweza kujiunga jamii forum kwenye kambi kuu ya maarifa na burudani. Asanten
  9. David Mgeni

    Wafupi forum!

    Habari wanajukwaa, Natumaini mko salama kiafya, kimwili mpaka kifikra lengo la uzi huu ni kutiana moyo pia kufarijiana kwa sisi wenye kimo kidogo kuliko wengine (wafupi) kwa upande wangu huwa naghafilika ninapoonekana ni mdogo kumbe ni mtu mzima kisa tu ni mfupi mfano utashangaa kwenye...
  10. G Sam

    WanaJamiiForums tumeonyesha Ubinafsi wetu kwa Pascal Mayalla, tumeshindwa kumpigania kwa kumpamba

    Ukweli wanaJamiiForums kwa gwiji wetu Pascal Mayalla tumeonyesha chuki ya wazi ikiwemo mimi, namuomba radhi. Ingawa Pascal ni CCM ila alikuwa hana ule u CCM kama makada wengine. Pasco ni mhanga wa mambo mengi yaliyotokea kwenye utawala huu ikiwemo kusitishiwa tenda zake muhimu zilizokuwa...
  11. Masanja Lweyo

    Nataka kuingia kwenye biashara ya vitenge niwe nachukua mzigo Kariakoo naenda kuuza mikoani

    Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavojieleza. Mimi nataka kuingia mwenye biashara ya vitenge niwe nafata mzigo Kariakoo then naenda kuuza mikoani. Kwa ambaye anauzoefu kuhusu biashara anambie challenges za hii biashara.
  12. musabuze

    Wana JF Naomba Muijaribu Hii Forum ya Ujuzishare

    Nimefanya Jaribio la Kuunda Forum Ya Ujuzishare BONYEZA HII LINK HAPA UjuziShare Ni Forum ya kushare ujuzi alionao mtu katika vipengele mbalimbali na naomba muijaribu katika mambo yafuatayo -Kuregister na Kulogin (Haihitaji Activation) -Kucreate Thread -Reply Thread -Edit Profile Na...
Back
Top Bottom