binti wa yombo dovya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Hukumu ya "Waliotumwa na Afande" kutolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024

    Hukumu ya kesi ya kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam inayowakabili washtakiwa wanne wakiwamo askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na wa Magereza, itatolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024. Kesi hiyo ya jinai...
  2. J

    Kesi ya waliotumwa na afande kubaka na kulawiti yaendelea leo

    Kesi ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam, inayowakabili washtakiwa ‘wanaodaiwa kutumwa na afande’ leo Jumatatu, Septemba 2, 2024 inaendelea kusikilizwa. Wakili anayewawakilisha washtakiwa, Godfrey Wasonga amesema kuwa kesi...
  3. Gemini AI

    Madeleka: 'Afande' atakamatwa kama hatofika Mahakamani Septemba 5, 2024

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imepanga Septemba 5, 2024 kutoa hati ya ukamatwaji kwa mtu anayetambulika kama Afande, Fatmah Kigondo anayedaiwa kuratibu tukio la ubakwaji na ulawiti wa Binti wa Yombo Dar es Salaam endapo kama hatofika mahakamani. Hatua hiyo inakuja baada ya Mlalamikaji ambaye...
  4. M

    Afande alikyewatuma wabakaji afunguliwa mashtaka

    Kesi ya jinai iliyofunguliwa na wakili Paul Kisabo dhidi ya afisa wa polisi ASP. Fatma Kigondo anayetajwa kama "afande Kesi ya jinai ilifunguliwa na Wakilin Paul Kisabo dhidi ya Afisa wa polisi, ASPNFatma Kigondo anayetajwa kama "afande" inasubiri wito wa kupangiwa tarehe ya kusikilizwa ambapo...
  5. feyzal

    Imekuwa serious sasa, ishu ya dada aliyebakwa imefika hadi BBC Swahili

    Nipo naangalia Star TV hapa dira ya dunia BBC swahili. Habari ya binti aliyebakwa imeshasambaa sasa hadi nje ya mipaka ya Tanzania. Jeshi litoe tamko kuhusu sakata hili. PIA SOMA - Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu
Back
Top Bottom