bahari ya hindi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. U

    Marekani yapeleka ndege hatari 4 za masafa marefu B-2 kambini Bahari ya Hindi, zitashambulia Iran na Yemen bila ulazima kutumia kambi za washirika

    Wadau hamjamboni nyote? Wakati Marekani ikiendelea na mashambulizi ya angani dhidi ya Wahouthi wa Yemen, uchambuzi wa AP wa picha za satelaiti zinaonyesha jeshi la Marekani limepeleka ndege 4 hatari za masafa marefu aina ya B-2 kwenye kisiwa cha Diego Garcia katika Bahari ya Hindi. Hatuna...
  2. Waufukweni

    TMA yatangaza uwepo wa kimbunga Jude katika Bahari ya Hindi

    Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga "JUDE" katika Bahari ya Hindi eneo la Rasi ya Msumbiji. Taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo imeeleza uchambuzi wa mifumo ya hali ya hewa inaonesha kimbunga hicho kitaingia nchi kavu katika eneo la Msumbiji leo na...
  3. Mkalukungone mwamba

    Mtalii Raia wa Ufaransa apatikana akiwa hai baada ya kupotea katika Bahari ya Hindi, eneo la Kisiwa cha Songosongo, Wilaya ya Kilwa

    Raia wa kigeni kutoka Ufaransa, Nakar Fszman (51), amepatikana akiwa hai baada ya kupotea katika Bahari ya Hindi, eneo la Kisiwa cha Songosongo, Wilaya ya Kilwa. Fszman alipotea Februari 23, 2025, wakati akifanya utalii kwa kutumia Boti aina ya Kayati maarufu kama Kidau, inayotumia kasia...
  4. Red shadow

    Mbudya Island!! Kisiwa kisichojulikana’ Bahari ya Hindi

    Hiki kisiwa kipo underrated sana! Wengi wetu hatukijui kabisa! Tupate kidogo picha za kisiwa hiki. ili safari ijayo ukitaka kusafiri kupumzisha akili usikisahau
  5. Donnie Charlie

    TMA yatoa tahadhari uwepo wa kimbunga CHIDO Bahari ya Hindi

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya uwepo wa kimbunga ‘CHIDO’ katika Bahari ya Hindi, Kaskazini mwa kisiwa cha Madagascar. Taarifa iliyotolewa na TMA imesema mifumo ya hali ya hewa inaonesha kuwa kimbunga hicho kinatarajiwa kuelekea maeneo ya Kaskazini mwa Msumbiji katika...
  6. The Watchman

    Somalia: Watu 24 wafariki dunia baada ya boti kupinduka Bahari ya Hindi

    Takribani watu 24 wamefariki dunia baada ya boti mbili zilizokuwa zimebeba raia wa Somalia kupinduka katika pwani ya Madagascar. Taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Somalia zinasema juhudi zinaendelea kuhakikisha kuwa manusura wanaokolewa wakiwa salama. Boti hizo mbili zilikuwa zimebeba...
  7. Father of All

    Kabla ya kuitwa Bahari ya Hindi, hii kitu iliitwaje?

    Huwa nashangaa na kusikitika bahari yetu kuitwa ya hindi. Je kabla ya hapo ilikuwa inaitwaje wanangu? Je hatuwezi kuiita bahari ya Afrika au Tanzania?
  8. N'yadikwa

    Ujenzi wa Vituo vya Kuvuna Maji ya Bahari ya Hindi na Ziwa Victoria Kama Njia ya Kutatua Tatizo la Maji Tanzania

    Na N'yadikwa - Safarini Rwanda Tanzania inakabiliwa na changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji safi, hususan katika miji na maeneo yenye uhaba wa vyanzo vya maji vya kudumu. Tatizo hili linahitaji mbinu bunifu na za kisasa ili kulitatua kwa ufanisi. Mojawapo ya mbinu zinazoweza kusaidia ni...
  9. OLS

    Kuna kero za Muungano au Muungano ni kero?

    Muungano ulioasisiwa na Karume na Nyerere ni tofauti sana na muungano tunaouona leo. Maana baada ya muda tayari tunawaza uwepo wa Tanganyika baada ya kuona uwepo wa Zanzibar. Wakati awali Karume alikuwa makamu wa Rais, leo Zanzibar ina Rais kamili na ina makamu wako. Na hiki ndicho chanzo cha...
  10. M

    SoC04 Uchumi wa Buluu: Serikali iwawezeshe wananchi kumiliki shughuli za uvuvi

    Uchumi wa Buluu kwa Tanzania tuna Maanisha ni uchumi utokanao na Anga utalii ,na vyanzo vya maji (Bahari, Mito, maziwa, chemchem). Mada yangu itajikita kwenye vyanzo vya maji na hasa uchumi wa uvuvi utokanao na Bahari na kwenye maziwa makuu ,hapa nchini. Sisi wa Tanzania kupitia serikali...
  11. ndege JOHN

    Lijue shimo la mvuto(gravity hole) katikati ya bahari ya Hindi

    Shimo la mvuto liko katikati ya bahari kilomita 1,200 kusini-magharibi mwa Kanyakumari (a.k.a. Cape Comorin), ncha ya kusini kabisa ya bara Hindi karibu na Sri Lanka. Bahari ya Hindi Geoid Low (IOGL) ni hitilafu ya mvuto katika Bahari ya Hindi. Asili ya duara ya geoid iliyoko kusini mwa...
  12. ndege JOHN

    Ukungu baharini

    Ukungu unaotokea juu ya maji kwa kawaida hujulikana kama ukungu wa baharini au ukungu wa ziwa. Inatokea wakati hewa ya joto na unyevu inapita juu ya maji baridi zaidi. Ukungu wa bahari au ziwa unaweza kutokea juu ya Bahari ya Atlantiki na Pasifiki, Ghuba ya Mexico, Maziwa Makuu na miili mingine...
  13. Cute Wife

    TMA yatoa taarifa ya uwepo wa kimbunga Ialy Bahari ya Hindi

    UWEPO WA KIMBUNGA “IALY” KATIKA BAHARI YA HINDI KASKAZINI MWA MADAGASCAR Dar es Salaam, 17 Mei 2024: Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa taarifa ya uwepo wa kimbunga “IALY” katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa kisiwa cha Madagascar. Mifumo ya hali ya hewa inaonesha kuwa kimbunga...
  14. Webabu

    Kiongozi wa Houth atoa takwimu ya meli walizozipiga na kusema wanakusudia kupanua wigo wa kuzuia meli za Israel zisipite bahari ya hindi yote

    Abdel-Malik al-Houthi ambaye ni kiongozi wa juu wa wapiganaji wa Houth wa Yemen amesema mpaka sasa wamefanikiwa kuzishambulia meli zenye mafungamano na Israel zipatazo 73 tanguj waanze operesheni yao ya kuwatetea watu wa Palestina. Kupitia televisheni inayomilikwa na wanamgambo hao Abdel Malik...
  15. Lycaon pictus

    Kabla haijaitwa Bahari ya Hindi, watu wa Afrika Mashariki waliitaje?

    Eti wakuu Kabla ya kuitwa bahari ya Hindi, wakazi wa asili wa pwani kama Wazaramo na Wakwere waliita jina gani?
  16. C

    Utajiri ulio baharini

    ‌Utajiri wa baharini:Dhahabu imejaa baharini kwa sababu ya kuzama kwa meli kadhaa za kale ‌Kuna mali ya thamani ya mamilioni ya dola inayoharibika katika bahari mbali mbali duniani . Mali hiyo ni pamoja na maelfu ya tani za dhahabu na vito vya thamani ambavyo vilizama pamoja na meli...
  17. Kibumbula

    Hatimaye mabaki ya roketi ya China yatua bahari ya hindi

    Mabaki ya roketi ya China yametua kwenye bahari ya hindi magharibi mwa nchi ya Maldivies pasipo madhara yoyote kwa binadamu kama China yenyewe ilivyosema.Naona USA kabaki hoi.Chanzo cha habari kwa mashirika yote ya habari ni kutoka China kwenyewe. ===== Mabaki ya roketi ya China yalipuka na...
Back
Top Bottom