Search results

  1. Mwafrika mmoja

    INAUZWA Jiko la kuchomea nyama linauzwa

    Habari gani wakuu. Ninauza jiko la kuchomea nyama ni mpya kabisa. Unaweza kuchomea nyama ya ng'ombe, mbuzi au kuku. Linafaa kwa mgahawani, bar au hata barabarani kwasababu linabebeka. Bei yake ni Tsh 140,000 mazungumzo yapo !! Nicheki WhatsApp: 0683535699
  2. Mwafrika mmoja

    Wabongo wanapiga pesa YOUTUBE

    Inategemea na aina ya content unazoweka, mfano mwanamke ambaye anapenda kupika kila siku anaweza kurekodi video moja na kupost baada ya muda lazima itamletea matunda ....
  3. Mwafrika mmoja

    Wabongo wanapiga pesa YOUTUBE

    Habarini za Asubuhi wakuu humu ndani, bila shaka mmeamka poa na kwa wale ambao wanaumwa basi namuomba Mungu awaponye kwa uwezo wake Aamin ! Leo nimekuja na hii Biashara nzuri ya kuanzisha YouTube channel ambayo inaweza kukuingizia hadi TSH 300,000 kwa mwezi huku ukiwa unafanya shughuli zako...
  4. Mwafrika mmoja

    China ilikuwa sawa na Tanzania, leo wao sawa na Marekani

    Inasikitisha sana, na kwa hali tunayoenda nayo tutakuja kustuka miaka mingi sana ijayo
  5. Mwafrika mmoja

    China ilikuwa sawa na Tanzania, leo wao sawa na Marekani

    Nimekuwa nasoma na kusikia kuwa wakati Tanzania tunapata uhuru tulikuwa sawa au karibia usawa na China kiuchumi na ndiyo maana walikuwa marafiki zetu, sasa nikawa najiuliza sana walitupitaje? Na hizo njia walizotumia kujikwamua ni siri kiasi kwamba sisi hatuwezi kufuata?, ikanibidi nitafute...
  6. Mwafrika mmoja

    Milioni 8 yako itakupa milioni 20 kwa mwaka mmoja !!

    Changamoto zipo kupambana nazo, hata hivyo siyo kila atakayejaribu atafanikiwa wengine watafeli na kukata tamaa
  7. Mwafrika mmoja

    Milioni 8 yako itakupa milioni 20 kwa mwaka mmoja !!

    Hatuwezi wote kutajirika, watakaotajirika ni wale wenye hiyo mitaji, ubunifu, juhudi, nidhamu ya pesa na kumtegemea Mungu
  8. Mwafrika mmoja

    Milioni 8 yako itakupa milioni 20 kwa mwaka mmoja !!

    ODDS zina risk sana unaweza kula hiyo pesa ukapata hamu ya kucheza tena ukaweka mil 10 ikaliwa ukaweka tena mil 10 ukaliwa .... unabaki na 0 :D :D
  9. Mwafrika mmoja

    Milioni 8 yako itakupa milioni 20 kwa mwaka mmoja !!

    Habari za mchana wakuu, natumai hamjambo kabisa na mnaendelea katika harakati za kusaka mkate na kwa wale wanaugua Mungu awaponye kwa uwezo wake tuseme Amin !! Kwanza kabisa mimi ni mtu ambaye karibia kila baada ya dakika 5 lazima nizame kwenye deep thinking kuhusu kitu chochote ( positive...
  10. Mwafrika mmoja

    Pikipiki Boxer mpya inauzwa njoo ibebe

    Habarini za Asubuhi wakuu. Nimewaletea mzigo huu kwenu Pikipiki TVS inauzwa, ina miezi 5 tu tangu inunuliwe. Ni yakwangu mwenyewe haijatumika sana. Model: TVS 125 Plate number: DQF Bei yake: 2,000,000 Fixed Nicheki WhatsApp: 0683535699 NB: Nimekosea kwenye headline siyo Boxer ni TVS
Back
Top Bottom