Wewe mume wako hujamweka hapa. Na Maria Sarungi tunamjua, Prof Sarungi tunamjua. Wewe ni nani? Ok. Sisi tunasema uraia alio nao hautoshi aongezewe Uwe mwingi na wa hadhi ya kipekee kwa kazi anayoifanya.
Nlidhani wewe ungeonesha unachojua zaidi umeonesha hujui. Jibu hoja dogo usiwe chawa kama mwashambwa unabwabwaja tu. Yaani chadema ifikirie mtu wa kufaa kufanya kazi CCM? Huko ni kukosa hoja. Leo hii Yanga iseme Simba mwacheni mchezaji flani hawafai. Na Simba nao wanamwacha? Hii mbona haihitaji...
HAPA UMECHEMKA. WEWE UNAULIZA KAMA NANI? HAPA UNALETA DHANA KUWA KUNA MAMBO YANAKUSUMBUA KWA YEYE KUFANYA MKUTANO. SO CCM WAMEFANIKIWA. MAANA WEWE ALLY HAKUHUSU WHY UULIZE? PILIPILI USO ILA YAKKUWASHIA NINI?
Hiki kijamaa kibwege sana kilidhani watu watakisifia upuuzi wake. Kitakuwa kichoko. Wanaume huwa hatuwezi acha watoto waumizane kwa maneno ya mama yao. Tunalinda watoto at all cost
Ni bwana mdogo huyo hana akili. Na pengine story katunga. Watoto wanagombana badala ya kutafuta namna kuwafundisha kuishi pamoja anapiga makonzi? Hana akili. Anaweza hata kuua mtoto kwa namna hiyo.
NIMEISHIA PALE ULIPOSEMA UNAMKOA KWENZI. HAKUNA MTU MWENYE AKILI ANAPIGA MAKONZI WATOTO. HATA SIKU MOJA. NLIONA TU HUNA AKILI FROM THERE. HUJUI BALAA LINGINE AMBALO UNAWEZA KUTANA NALO KWA KUPIGA MTOTO KICHWANI. ULILELEWA VIBAYA SANA.
Sasa wewe una ona kamwanaume kanachekacheka mwanamke ana sura serious. Unategemea nini? Hakuna mwanaume kamili anaweza ruhusu huyo ujinga ikiwa huyo ni mwanamke wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.