2nd Leg Match
CAF CHAMPION LEAGUE
QUARTER FINAL.
Mamelodi Sundowns vs Yanga Sc
Time: 9:00Pm
Stadium: Loftus Versfeld Stadium
More Updates following...
Kikosi Cha Yanga Kinachoanza
Kazini kwetu kuna Kazi.
Kikosi Cha Mamelodi Sundowns Kinachoanza.
Mpira unaendelea kwa kasi .
Timu...
Wakuu,
Kwenye haya maisha tuna mambo mengi sana ambayo ni matamanio, na kila mtu nafikiri wanayo. Sasa ni vitu gani ambavyo ulivitamani sana kuwa navyo, yaani ile tu unajiambia I wish, I wish...
Ila sasa unavyo au unavifanya na unaona ni kawaida kabisa yani!! Kuna watu walitamani kuwa na...
[emoji617][emoji617]MATCH DAY[emoji617][emoji617]
[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]οΈ Azam FC[emoji739]Young Africans SC
[emoji414] 17.03.2024
[emoji909] Benjamin Mkapa Stadium.
[emoji797] 02:30 Usiku
Leo Leo ndio leo kivumbi na jasho...
Azam wanaumana na Yanga leo 17.03.2024 muda ni...
Match Day
[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]οΈ Namumgo FC [emoji739] Young Africans SC
[emoji414] 08.03.2024
[emoji909] Majaliwa Stadium, Lindi.
[emoji797] 12:00 Jioni
Kikosi Cha Yanga Leo.
#Daimambelenyumamwiko#.
=======
Timu ya Yanga imefanikiwa kurejea kwenye usukani wa Ligi Kuu...
[emoji617]Match Day[emoji617]
[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]οΈ TZ Prisons[emoji739]Young Africans SC
[emoji414] 11.02.2024
[emoji909] Sokoine
[emoji797] 10:00 Jioni
Yanga wanaingia kwenye mchezo wao wa kukamilisha mzunguko wa kwanza dhidi ya Tanzania Prisons wakiwa na alama 37...
[emoji617]MATCH DAY[emoji617]
[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]οΈ Young Africans SC Vs Mashujaa FC
[emoji414] 08.02.2024
[emoji909] Azam Complex
[emoji797] 1:00 Usiku
Kikosi cha Yanga leo.
Kikosi cha Mashujaa FC
UPDATE.
Mpira umeanza...
Dakika ya 45.
Max anaipatia Yanga goli la...
π°πππππππππ°
π #mapinduzicup
β½οΈ Young Africans SC Vs KVZ FC
π 04.01.2024
π Amaan, Zanzibar
π 2:15 Usiku
Ni Match ya Round ya Tatu.
Yanga Tayari ameshaingia Robo fainali,
Mechi inachezwa kukamilisha ratiba tu.
Tunategemea kupata burudani kweli kweli kutoka kwa Wananchi.
KIKOSI CHA YANGA...
Dear JamiiForums Members,
As we embrace the dawn of 2024, may your paths be adorned with joy, prosperity, and boundless possibilities. Let the New Year be a canvas of fresh opportunities, where your aspirations paint vibrant hues of success and fulfillment.
May the threads of connection...
π° πππππ DAYπ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ Tabora United Vs Young Africans SC
π 23.12.2023
π Jamhuri, Dodoma
π 1:00 Usiku
Game yakufunga Mwaka hii.
All the Best Young African SC.
#Daimambelenyumamwiko#
Kikosi cha Yanga kinachoanza
Kikosi cha Tabora United Kinachoanza Mechi ya leo.
Mpira...
Kwa kiwango alichonacho kwasasa sio rahisi aanze kwenye 1st eleven ya Gamondi.
Na siku zote Chama hajawahi kuwa mzuri akitokea Benchi.
Atapata nafasi Azam FC. Kuliko Yanga!
Yanga wakimsajili ni kwa ajili yakupeleka makasiriko Msimbazi na si vinginevyo.
π°πππππππππ°
π #CAFCL
β½οΈ Young Africans SC Vs Medeama SC
π 20.12.2023
π Benjamin Mkapa
π 4:00pm
Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Yanga!!
#DaimaMbeleNyumamwiko#
Kikosi cha Yanga kinachoanza.
Kikosi cha Medeama Kinachoanza.
Dakika ya 33'
Yanga wanapata goli, kupitia kwa Pacome.
Yanga 1 -...
Mchezo wa Kundi A Klabu Bingwa Afrika
Kati ya Mamelodi Sundowns ya South Africa na Pyramids ya Egypt.
Tunategemea Mchezo huu kuwa waushindani mkubwa kwani Timu zote kwenye hili Kundi zimeshinda mechi Moja moja.
Matokeo Game ya jana 09.12.2023 kwenye kundi hili ni;
FC Nouadhibou 0
TP Mazembe...
Match Day
Yanga SC vs Singida FG
NBC Premier League
Benjamin Mkapa Stadium [emoji2522]
Time: 1815hours
Updates...
Saa 12:04 Jioni
Hali ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa sasa ni Shwari kabisa.
Mashabiki wanazidi kuongezeka hapa.
Mawingu mepesi mepesi yametanda
Vikosi Vinavyoanza
Saa...
Match Day.
Young African Sports Club Vs Azam Football Club.
Muda 12:30 Jioni.
Benjamin Mkapa Stadium.
Ni game kali, yenye kutaka ushindi.
Je, Azam atakubali kuendelea kuwa kibonde wa Yanga?
Tukutane kwa Mkapa.
Daima Mbele, Nyuma Mwiko.
All the Best Yanga.
Mchezo umeanza
Yanga...
[emoji471] #NBCPremierLeague
[emoji460]οΈ Ihefu SC Vs Young Africans SC
[emoji414] 04.10.2023
[emoji909] Highland Estates
[emoji797] 10:00 Jioni
Matokeo ya mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu uliozikutanisha timu hizo kwenye Uwanja huo msimu uliopita ambapo Ihefu iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 ndio...
CAFCL: Young Africans SC Vs Al-Merrikh SC | Azam Complex | 30/09/2023
Time 1900Hrs EST
Second preliminary round Β· Leg 2 of 2
Aggregate: 2 - 0
Ni mchezo wa Round ya Pili kuwania nafasi ya kuingia Makundi kutafuta Club bingwa Afrika
Yanga wataingia Uwanjani wakiwa na goli mbili za ugenini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.