Search results

  1. AKILI ZAKO

    Tuliambiwa mchina anaenda kumpiku Marcedes Benz

    Nimeikuta facebook baada ya jamaa kununua gari la kichina kwa wakala huko sauzi Hakuchukua muda mrefu Chuma inayoshikilia tairi limekatika
  2. AKILI ZAKO

    Ona jinsi wakristo wanavyoteseka nchini Nigeria na jeshi liko upande wa islamist

    Je ni kweli dini yao ni ya amani kama wasemavyo wenyewe humu? https://twitter.com/visegrad24/status/1781802292548673704?t=u-VrM9jzxIx-C2pXqt8iog&s=19
  3. AKILI ZAKO

    Tumsaidie huyu kimawazo

    Binti aliachwa na baba yake akiwa na miaka 3. Baba wa kambo akalea akasomesha mpaka akafika chuo kikuu na sasa ni tabibu. Amepata mchumba sasa anataka kumuoa binti akasema mahari apewe baba yake mzazi. Yule wa kambo amegoma kata kata mzigo uje kwake yeye ndie aliemtunza kuanzia mdogo mpaka...
  4. AKILI ZAKO

    Huyu Mganga alipitaje pale JKNIA?

    Hivi kwa karne hii ya sayansi na teknolojia mtu anaweza akapanda ndege kwenda kwenye chimbuko la dini yake na matalasimu vibuyu na tunguli ili akafanye uganguzi? Tena wateja naona watakuwa ndugu zake wamatumbi AIBU HII
  5. AKILI ZAKO

    Simba ilikuwaje wakamuuza Bwalya?

    Ilikuwaje kwa viongozi wa simba wakumuuza Raly Bwalya na kumnunua Isamel Sawadogo? Nimetafakari hili ila nimekosa nimekosa majibu. Naona kuna viongozi wanahujumu hii timu ikichangiwa na kelele za upande wa pili wakituaminisha wachezaji wetu ni wabovu/walevi/wazee. Halafu tukiwauza/ au kuwaacha...
  6. AKILI ZAKO

    Ombi kwa Ali Kamwe

    Sisi wakazi wa bunju tunaomba utuwekee bango letu la matokeo ya mechi yetu kati ya Belouzdad na Yanga pale mlipoweka bango la mwanzo. Pia msiwasahau na wale watu wa manzese pamoja na marudio ya mechi ya leo. Asante sana
  7. AKILI ZAKO

    Mo Dewji kaiva kwenye fitna za Kariakoo Derby

    Nampongeza Mo Dewji kwa Kitendo cha kuteua wajumbe wa bodi la baraza la ushauri. Hawa wote walioteuliwa ni wazee wa fitna ndani na nje uwanja. Dewji ulifanya kitu sahihi kuwakusanya wale wazee wa fitna na kuhakikisha Simba inatawala soka la ndani Tanzania kwa miaka 4 mfululizo mpaka wale wazee...
  8. AKILI ZAKO

    Azam tv wako sawa kweli?

    Wameamua kabisa kutonesha kidonda cha kile kichapo cha 4-1 kati ya mnyama simba na wazee wa kukalia mwiko Mechi inarudiwa muda huu azam sports 3 hd
  9. AKILI ZAKO

    Yuko wapi yule jamaa anaepeleka mashtaka fifa ?

    Yule jamaa baada ya kichapo cha kimwiko mwiko kumnasia nyuma mbele mwiko sijaona akiandika barua mashatka kuhusu upangaji matokeo?
  10. AKILI ZAKO

    Wanasayansi wa hypersonic wafungwa 🤣

    Walimdanganya putin hypersonic hazitunguliki wala hazionekani kwenye rada Jisomeeni wenyewe nimecheka sana 🤣 Kile kindunje kazi ipo
  11. AKILI ZAKO

    Hodi hodi

    Mimi ni mgeni humu kutokea maeneo ya Mo Arena Bunju. Namtafuta mgonjwa wangu muhimu sana tulipotezana uwanja wa taifa baada ya goli la pili kufungwa baina ya Simba na Yanga. Sijui yu hali gani huko aliko?
Back
Top Bottom