Recent content by Namshakende

  1. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Katika safari ya maisha, mafanikio katika kila sekta yanahitaji mwongozo kutoka kwa washauri wenye uzoefu. Ninajivunia kujifunza kutoka kwa watu ambao wamefanikiwa na wako tayari kushirikisha uzoefu wao. Siwezi kupokea ushauri kutoka kwa mtu ambaye hana uelewa wa Msingi katika eneo husika, kama...
  2. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Asante kwa mchango wako, lakini nasikitika kukuambia kwamba umesoma premise moja na kuifanyia conclusion!
  3. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    You are of course entitled to express yourself as you see fit, however it might be advisable to exercise caution to ensure that your written contributions do not give the impression of an intellectual deficiency.
  4. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Hata mimi mwenyewe sijapata kufahamu sabababu ya kununiwa mkuu! Labda pengine amerukwa na akili, kwa sababu ni kitu ambacho sio cha kawaida kununa bila ya sababu.
  5. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Michango ni madeni ambayo mimi nitalipa. Michango yao au sala zao hazijaenda bure.
  6. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Alikuwa ameficha baadhi ya tabia. Amekuwa mtoto pendwa kwa ndugu zaidi mashangazi.
  7. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    I would like to express my sincere regret at the regrettable events that occurred. Kwangu , I regret that I did not pay sufficient attention to some of the minor red flags that I noticed in her behaviour, nor did I pay much respect to her past As Natafuta ajira always says! Events zinatokea...
  8. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Hauwezi ukaolea nyege, wakati papuchi mtaani zipo nyingi sana. Nilifikia maamuzi ya kuoa kwaajili ya kuwa na familia mkuu.
  9. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Ratiba zangu nazibadilisha mkuu, home nitakuwa naingia night kali , na hicho kidudu chake sikigusi.
  10. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    [emoji1787][emoji1787]kuna member mmoja kashauri dawa ni mwenzake! Kesho anapata rasmi msaidizi wake.
  11. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Miaka 28? Kwa hali kama hii? Hata mwaka mmoja sitafika .
  12. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Umeeleza vyema Ariana . Amekesha akilia bila ya sababu za msingi kulingana na mimi, may be kwake anazo sababu za msingi ambazo hataki mimi nizifahamu.
  13. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Asante kwa ushauri wako na members wengine, mpango wa kumfukuza na sitisha kwa muda. Najaribu kumsoma btn the lines.
  14. Namshakende

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Hahahaha! Wewe mknga hatari. Huu ushauri nimeuchukua kwa sababu umetoka kwenye trusted source.
Back
Top Bottom