Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

Bro me nlikuwa kwenye relationship na mtu kwa labda let's say 1 day sababu we had one day to hang around sasa we went around na nini akarud kwake me nkaenda kwangu, surprisingly akabadilika mood akawa hajibu msg kwa wakati nikapotezea, kesho yake akanipa ratiba ya anapoenda maybe alidhan ill be interested and I'll join her kusema ukweli me nlimdanganya nilipo ili nisiende alipo sababu nlikuwa sinza na washkaji zangu alafu nlikuwa na mwanamke mwingine. Wanawake sijui wanatoaga wapi mood swings wanazokuaga nazo, alinikata simu hadi leo mwanamke akisema tufanye relationship mpaka nimweke moyoni na karibu ajue kila kitu changu kazi anayo, sipendi, kupotezeana muda wakati pussy is very cheap nowadays.. MSEMA UKWELI MPENZ WA MUNGU... usioe mwanamke kabla hujamjua vizuri, unaweza kumtomba ila usioe kabisaaa, wanajua kuigiza na kuplay victims kwa muda mrefu. KAA KIMASTA
I would like to express my sincere regret at the regrettable events that occurred.
Kwangu , I regret that I did not pay sufficient attention to some of the minor red flags that I noticed in her behaviour, nor did I pay much respect to her past As Natafuta ajira always says! Events zinatokea kwaajili ya majifunzo! Nimefeli mara moja, sitafeli mara ya pili tena.
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Tatizo umekabia kwa juu..!! Wala hujaeleza sababu ya kukununia.
 
Hata mimi mwenyewe sijapata kufahamu sabababu ya kununiwa mkuu! Labda pengine amerukwa na akili, kwa sababu ni kitu ambacho sio cha kawaida kununa bila ya sababu.
Itakuwa kuna kitu tu kinaweza kuwa hakina maana ila yeye kimemkwaza.

Anyway mnunie na wewe, chelewa kurudi nyumbani, ukirudi usile chakula, msalimie tu alafu uwe busy na mambo yako ataongea tu.
 
I would like to express my sincere regret at the regrettable events that occurred.
Kwangu , I regret that I did not pay sufficient attention to some of the minor red flags that I noticed in her behaviour, nor did I pay much respect to her past As Natafuta ajira always says! Events zinatokea kwaajili ya majifunzo! Nimefeli mara moja, sitafeli mara ya pili tena.
Not that bad, you can still start over admitting that ulikosea na yenyewe ni part ya kupata solution ya tatizo lako...There is always a new beginning, don't be a afraid to loose, loozing is part of the game. Pole sana wajamaika wana msema wao “Tek kin teet cova heartbun.” which means smile to hide your pain.
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Unakuja kutushirikisha upumbavu wako hapa! Wewe jitu lenyewe wiki mbili haliachi kupiga makend...nje huko ataachaje kununa! Malizaneni huko huko maana manaume mengine ni matoto ya mama! Sasa jitu lenyewe huenda limelelewa na Singo maza litajuaje kukaa na mke?
 
Imeshindikana kaniambia yupo P na wakati nafahamu kamaliza Alhamisi! Kibaya zaidi leo wakati anavaa nimemeona akivaa taulo.
Mjomba kinacho kutesa ni Ulafi wa Papuchii. Yakupasa ujue mke sio starehe ya Papuchii mke ni zaidi ya Tendo Hilo.

Kama ukiwa na ufahamu huo kwamba mke sio Tendo la ndoatu basi ndoa yako itadumu.
 
Unakuja kutushirikisha upumbavu wako hapa! Wewe jitu lenyewe wiki mbili haliachi kupiga makend...nje huko ataachaje kununa! Malizaneni huko huko maana manaume mengine ni matoto ya mama! Sasa jitu lenyewe huenda limelelewa na Singo maza litajuaje kukaa na mke?
You are of course entitled to express yourself as you see fit, however it might be advisable to exercise caution to ensure that your written contributions do not give the impression of an intellectual deficiency.
 
  • Thanks
Reactions: Okk
Mjomba kinacho kutesa ni Ulafi wa Papuchii. Yakupasa ujue mke sio starehe ya Papuchii mke ni zaidi ya Tendo Hilo.

Kama ukiwa na ufahamu huo kwamba mke sio Tendo la ndoatu basi ndoa yako itadumu.
Asante kwa mchango wako, lakini nasikitika kukuambia kwamba umesoma premise moja na kuifanyia conclusion!
 
Aa
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?ta

Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Atakuwa mjamzito. Kapime nae ujauzito. Maana wengi huwa wanabadilika na kuchukia kabisa. Iliwahi nitokea hii. Na jamaa yangu naye ilimkuta akataka kumuacha mkewe, ila baada ya kujifungua mkewe kaonyesha upendo kuliko. Kawaida.
 
Aseeee hiyo ni Hali mbaya haswa kwa watu ambao mpo kwenye ndoa ambao mmesha idhinishwa kuwa mwili mmoja! Sas kama hataki kujenga Amani huyo Kuna kitu amefata kwenye hiyo ndoa, ukishindwa Sana kutokana na ushawishi wako ongea na washenga wako, waambie tokea umeoa huyo mwanamke hataki kutoa tunda la roho, mbaya zaidi muda wote anakuwa ni mtu wa kununa Bila sababu na kutoa sababu za uwongo! Inamaana washenga wako wataenda kuongea na wazazi wa binti, majibu yatakayo rudi yapime inawezekana huyo mtu amekuja kwako kwa missions maalum azingue mgawane Mali,, mambo yakiwa magumu zaidi mwambie akasalimie kwao hrf akiondoka usimfate na wala usimpigie simu, kwao wakikuhoji wajibu kwamba utamfata! Kama kimya asikupotezee Amani yako
 
Ulifikiri kutoa hela ya matumizi na kushiriki tendo iyakufanya uweze kuoa?
Ndoa ina mengi ina mazagazaga mengi. Kama hujajiandaa nayo ndiyo itakavyokuwa. Pole sana. Hakuna rangi utaacha kuiona.
 
Back
Top Bottom