Namshakende
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 671
- 1,644
- Thread starter
- #181
NingemchinjaHiki kizazi kina wanaume legelege kama utumbo.
Sasa kinuniwa tu umechanganyikiwa na kukata tamaa, ungemfumania je?
NingemchinjaHiki kizazi kina wanaume legelege kama utumbo.
Sasa kinuniwa tu umechanganyikiwa na kukata tamaa, ungemfumania je?
Hahahaha! Wewe mknga hatari. Huu ushauri nimeuchukua kwa sababu umetoka kwenye trusted source.Wala usimfukuze, na wewe nuna mara kumi zaidi yake..!!
Au km vipi si umpelekee moto kisirani kiishe....!!
Wanawake tunakuwaga na nyege zinazoambatana na visirani mkuu, piga mashine. Hujapitia kwenye vikao vya kiumeni?
Ngoma bado mbichi. Tulia hapo hapoImeshindikana kaniambia yupo P na wakati nafahamu kamaliza Alhamisi! Kibaya zaidi leo wakati anavaa nimemeona akivaa taulo.
Asante kwa ushauri wako na members wengine, mpango wa kumfukuza na sitisha kwa muda. Najaribu kumsoma btn the lines.Si Kila siku mtakuwa Sawa ,soma mood Yake kwanini kanuna maana ww Ndio upo karibu alafu kwanzia Hapo chukua hatua
Baharia Mkuu ,tuendele kumpa madini au tumwache aende zake?😀😀😀Ndiyo tabia zao kukusoma ili akutawale. Ili usiwe mtumwa siku za mbeleni mnyoshee rula moja kwa moja
Hapo bado kaza msuri wa tako sisi ni miaka 28 hadi leo!🤔🤔Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!
Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .
Nafikiria kumfukuza arudi kwao.
Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.
Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Umeeleza vyema Ariana .Kama mahari hukulipa ya maana achana nae.
Ila ujue kuwa hata wababa zetu walipambana na visirani vya kina mama sameway.. ukiwa mwanamke napo changamoto sometimes waweza lia usijue unalia nini! Kawaulize baba zako watakupa muongozo
Miaka 28? Kwa hali kama hii? Hata mwaka mmoja sitafika .Hapo bado kaza msuri wa tako sisi ni miaka 28 hadi leo!![]()
Baharia Mkuu ,tuendele kumpa madini au tumwache aende zake?
Pekua kwenye list yako kuna pahala kama Baharia uliacha akiba?
Wanasema akiba haiozi...
Nenda katulie huko,msongo wa mawazo wa kukosa kipochi manyoya ni mbaya sana kwa Mwanaume,hasa ukiwa umeoa na unaona kabisa mali hii hapa.
Ishi maisha mepesi magumu kusomeka.
Hatujao kupata tabu,ukiletewa tabu tafuta raha utulie.
Wajumbe wenyewe wa Bwana Muumba walikuwa wanatembeza Kirungu mwanzo mwisho,wewe nani?
Tezi dume litawahi kuja mapema mno..plus na hizi sijui prostate cancer..chakata Baba ,amka uliko lala.
Hapa ni kuvumilia na kuishi kama vile upo darasani, maana kwenye ndoatunapewa vyeti Kwanza,mtihani baadae huo ndio mtihani,Yakupasa uushinde ili cheti chako kiwe GPA ya juu!Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!
Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .
Nafikiria kumfukuza arudi kwao.
Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.
Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Ratiba zangu nazibadilisha mkuu, home nitakuwa naingia night kali , na hicho kidudu chake sikigusi.Kama kanuna achana naye, ndo kwanza wiki mbili unaanzaje kumfukuza MKE! Vunga kwanza ndenda job rudi saa mbili usiku, usimpe bichwa kwa kuongea ongea nae au kujipendekeza.
Hauwezi ukaolea nyege, wakati papuchi mtaani zipo nyingi sana. Nilifikia maamuzi ya kuoa kwaajili ya kuwa na familia mkuu.Mna olea Nyege zimekwisha tayri!! Akili imerudi.
KAZI ni kipimo cha utu
Bro me nlikuwa kwenye relationship na mtu kwa labda let's say 1 day sababu we had one day to hang around sasa we went around na nini akarud kwake me nkaenda kwangu, surprisingly akabadilika mood akawa hajibu msg kwa wakati nikapotezea, kesho yake akanipa ratiba ya anapoenda maybe alidhan ill be interested and I'll join her kusema ukweli me nlimdanganya nilipo ili nisiende alipo sababu nlikuwa sinza na washkaji zangu alafu nlikuwa na mwanamke mwingine. Wanawake sijui wanatoaga wapi mood swings wanazokuaga nazo, alinikata simu hadi leo mwanamke akisema tufanye relationship mpaka nimweke moyoni na karibu ajue kila kitu changu kazi anayo, sipendi, kupotezeana muda wakati pussy is very cheap nowadays.. MSEMA UKWELI MPENZ WA MUNGU... usioe mwanamke kabla hujamjua vizuri, unaweza kumtomba ila usioe kabisaaa, wanajua kuigiza na kuplay victims kwa muda mrefu. KAA KIMASTANimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!
Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .
Nafikiria kumfukuza arudi kwao.
Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.
Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Kwa mpalangeImeshindikana kaniambia yupo P na wakati nafahamu kamaliza Alhamisi! Kibaya zaidi leo wakati anavaa nimemeona akivaa taulo.