Recent content by Lax

  1. Lax

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

    wewe mkuuu ushauri pekee naoweza kukupa ni kwamba jielimishe mkuu----- na ninaanza kua mkali mkuu --- jibu kwanza swali langu #246. ukijibu namimi ntakujibu swali hili---- hatuwezi kuacha watu mnazua taharuki kizembe zembe mkuu---
  2. Lax

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

    Mkuu nashukuru kwa compliment nzuri, napokea pongezi zako naimani zitanifanya kuongeza bidii,, msome yoda sasa alivouliza kuhusu sunna 🤣
  3. Lax

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

    Sunna mkuuu--- unataka twende huku kweli 🤣 -- mkuu yoda mimi nilidhani una maarifa makubwa mkuu -- kumbe wewe ni kama mimi tu na unaweza hata ukawa chini yangu--- ukitaja sunna kwamba ?/? vipi mkuu kila anayekula na mkono wa kulia -- kwahiyo anakua anaashiria yeye ni muislamu sasa...
  4. Lax

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

    lini wamedeclare kwamba hayo ndo mavazi ya kuashiria imani yao --- nifunze mkuu --- mimi naamini ujinga ndo unafanya watu wakiona mavazi hayo waone ni dini --- kama si hivyo basi mjinga ntakua mimi na nipo tayari kutoa ujinga -- naomba nielimishe ni lini mavazi hayo yametambulika rasmi ni ya...
  5. Lax

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

    hakuna cha ukakasi mkuu -- lets call a spade , a spade mkuu.. ni ujinga tu , na maarifa yasiyo sahihi ya wote walioshtuka au kupata hofu yeyote ile.
  6. Lax

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

    yeah, mkuu--- sema nawe naona unataka kunibana katika angle tata sana mkuu 🤣. paragraphs zako zina hoja mbalimbali sana -- i respect that-- but i worry that you have assumed my religion -- this is not good naam nahitihimisha mkuu chuki za kidini ni kupungukiwa maarifa tu -- regardless...
  7. Lax

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

    kama kweli kidhati mkuu unakubali kua haya si mavazi ya dini -- ila waumini wa imani fulani wameyapenda sana na kuyathamini--- basoi tuungane kuelimisha jamii kwamba haya mavazi si ya kidini -- hii ndo key concept mkuu. kuruhusu kua na hofu kwamba kanzu, baibui ni vazi la waislamu ni jambo...
  8. Lax

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

    ni kukosa maarifa tu mkuu. hili jambo la wazi hata mufti hawezi claim hayo ni mavazi ya dini
  9. Lax

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

    mkuu akikujibu naomba nitag
  10. Lax

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

    okay yeah-- so watu wetu wa system inawafanya wawe-wachina??? hizi ni aina gani ya reasoning mkuu
  11. Lax

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

    mkuu kama umeweza kuitaja baibui kwenye hoja yako--- bashe hakuna haja ya kumlaumu kwa lolote maana raisi wake anavaa mavazi ya namna hiyo sana--- and still tunarudi palepale--- baibui, kanzu sio dini wala ibada --- haijalishi wingi wake kuonekana yakivaliwa msikitini wala sikukuu wala...
  12. Lax

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    safi mkuu, tunasubiri mbungi kwa ushabiki mkubwa,, kuweni makini sana na dembele alikasirika sana baada ya balaa la aston villa 🤣
  13. Lax

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    mbona mapema sana mkuu 🤣
  14. Lax

    Je tofauti na kuishi milele ni kitu gani kingine sisi wakristo tutapewa?

    ntapitia huo uzi mkuu, sema jf kuna mada tata sana
  15. Lax

    Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

    unaandika ujinga mkuu--- this is real talk--- no wonder ccm inatuburuza hivi inavyotuburuza -- shida ni maarifa ya sisi wananchi wake--- unaandika mambo ya ajabu sana mkuu image sahihi ni kitu gani na kwa nani?-- na kitu gani kimekuonesha kwamba image sahihi imevujwa?
Back
Top Bottom