Bashe ujumbe wako murua, vazi lako laleta maswali kwa watanzania.

yeah, mkuu--- sema nawe naona unataka kunibana katika angle tata sana mkuu 🤣.

paragraphs zako zina hoja mbalimbali sana -- i respect that-- but i worry that you have assumed my religion -- this is not good


naam nahitihimisha mkuu chuki za kidini ni kupungukiwa maarifa tu -- regardless mtu yuko pande gani. wewe wasome walioshtuka kwenye uzi huu hoja zao ni baseless
Nimebahatisha vyema,
Wewe umwelevu, mjanja na muadilifu
Na hili ni jambo jema kuliko udini

Hongera sana
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Sunnah ni nini?
Sunna mkuuu--- unataka twende huku kweli 🤣 -- mkuu yoda mimi nilidhani una maarifa makubwa mkuu -- kumbe wewe ni kama mimi tu na unaweza hata ukawa chini yangu---


ukitaja sunna kwamba ?/?

vipi mkuu kila anayekula na mkono wa kulia -- kwahiyo anakua anaashiria yeye ni muislamu sasa???

maana Mtume amesisitiza hilo mkuu?

vipi kuomba kabla ya kulala--- kila anayeomba anakua musilamu


LABDA MIMI NDO SIELEWI LAKINI SIDHANI KAMA MIMI NDO SIELEWI 🤣
 
Misri ya wakati wote ni nchi ya Kiarabu,hilo vazi ni vazi la Kiarabu,Yesu alikulia Misri na alivaa Kanzu, Bikira Maria alivaa hijab, mavazi haya yako kwenye sheria ya Mussa ambayo ndio sheria pekee ya Mungu wa Wakristo, Waislamu na Judaism regardless kulikuwa na dini gani!。
P
Misri ya wakati wote sio nchi ya Kiarabu, Misri hadi karne ya 6AD bado haikuwa na Waarabu na wala walikuwa hawazungumzi kiarabu, Waarabu walivamia karne ya saba.
 
Sunna mkuuu--- unataka twende huku kweli 🤣 -- mkuu yoda mimi nilidhani una maarifa makubwa mkuu -- kumbe wewe ni kama mimi tu na unaweza hata ukawa chini yangu---


ukitaja sunna kwamba ?/?

vipi mkuu kila anayekula na mkono wa kulia -- kwahiyo anakua anaashiria yeye ni muislamu sasa???

maana Mtume amesisitiza hilo mkuu?

vipi kuomba kabla ya kulala--- kila anayeomba anakua musilamu


LABDA MIMI NDO SIELEWI LAKINI SIDHANI KAMA MIMI NDO SIELEWI 🤣
Kwa nini waumini wengi huwa wanaenda kuswali wakiwa wamevaa hilo vazi, kwa nini ijumaa, ramadhani, sikukuu za eid na maulid ndio kanzu huwa inavaliwa zaidi??
 
Kwa nini waumini wengi huwa wanaenda kuswali wakiwa wamevaa hilo vazi, kwa nini ijumaa, ramadhani, sikukuu za eid na maulid ndio kanzu huwa inavaliwa zaidi??
wewe mkuuu ushauri pekee naoweza kukupa ni kwamba jielimishe mkuu----- na ninaanza kua mkali mkuu --- jibu kwanza swali langu #246. ukijibu namimi ntakujibu swali hili---- hatuwezi kuacha watu mnazua taharuki kizembe zembe mkuu---
 
lini wamedeclare kwamba hayo ndo mavazi ya kuashiria imani yao --- nifunze mkuu --- mimi naamini ujinga ndo unafanya watu wakiona mavazi hayo waone ni dini --- kama si hivyo basi mjinga ntakua mimi na nipo tayari kutoa ujinga -- naomba nielimishe

ni lini mavazi hayo yametambulika rasmi ni ya kiislamu
Unataka 'declaration' ya namna gani; ya matamko au ya vitendo?
kama ni ya vitendo sioni kwa nini ukose kuliona hilo.
Unajuwa mkuu 'Lax', kuna tamaduni ambazo zimeingia miongoni mwetu za kutosema kitu lakini vitendo vinaonekana hata kama hakuna maneno mengi yanatumiwa kuashiria vitendo hivyo.
Unayejitangaza kutokuwa "mjinga" inawezekana kabisa; hapana..., inaonyesha dhahiri kabisa kuwa unapohadaa watu unataka watu hao waamini hizo hadaa zako, ukiamini kuwa wewe ni mjanja kuliko hao unaowaita "wajinga", kumbe mjinga ni wewe mwenyewe.
 
wewe mkuuu ushauri pekee naoweza kukupa ni kwamba jielimishe mkuu----- na ninaanza kua mkali mkuu --- jibu kwanza swali langu #246. ukijibu namimi ntakujibu swali hili---- hatuwezi kuacha watu mnazua taharuki kizembe zembe mkuu---
EEEeeenHEEeeee!
Kumbe hata 'stamina' huna?
Sasa mtu kama wewe utamdanganya nani kuwa huendeshwi na udini?
Sioni tena maana ya kuendelea na majibishano, baada ya kujuwa unasimamia wapi.
 
Unataka 'declaration' ya namna gani; ya matamko au ya vitendo?
kama ni ya vitendo sioni kwa nini ukose kuliona hilo.
Unajuwa mkuu 'Lax', kuna tamaduni ambazo zimeingia miongoni mwetu za kutosema kitu lakini vitendo vinaonekana hata kama hakuna maneno mengi yanatumiwa kuashiria vitendo hivyo.
Unayejitangaza kutokuwa "mjinga" inawezekana kabisa; hapana..., inaonyesha dhahiri kabisa kuwa unapohadaa watu unataka watu hao waamini hizo hadaa zako, ukiamini kuwa wewe ni mjanja kuliko hao unaowaita "wajinga", kumbe mjinga ni wewe mwenyewe.
issue ya ujinga hapa alaumiwe mwalimu nyerere mkuu----- turudi kwenye mada mimi sjajua wewe ni imani gani na sihitaji kujua --- lakini kama muislamu akitoka akasema kanzu , baibui ni vazi la kidini hatakua sahihi mkuu.


usiangalie wanafanya nini kwa wingi wao----

nimeomba unielimishe juu ya jambo hilo , lakini bado hujafanya hivyo

na ninaomba radhi kwa kutumia lugha ambayo imeonekana haina staha
 
Waarabu kibao pale iraq, syria, lebanon na kwengine wanavaa kanzu na misalaba juu na bar wanaingia na sio waislam ni wakristo na hakuna anaeshangaa

Tatizo hawa wenzetu wakisema neno mwarabu basi ni wanakusudia uislam kuwa sana makini nao, wanajifanya kuuchukia waarabu kumbe ni wanachukia waislam

Ndio nikawaambia alishindwa firauni mtaweza nyie?

Hizi dini zilikuwepo, zipo na zitaendelea kuwepo na hakuna awezaye kuiondoa moja ni mpaka Mungu mwenyewe atake
Kwahiyo kujitia chuki ni kujiumiza mwenyewe moyo wako na afya yako
Sio kweli, katika maeneo ya mashariki ya kati ambapo kanzu inavaliwa kwa uchache sana ni pamoja na Syria na Lebanon. Ukitaka kujua hilo angalia hata viongozi wao wakina Saddam, Nawaf Salam, Hariri, Assad na hata huyu mtawala wa sasa wa Syria, vazi lao katika shughuli rasmi za serikali mara nyingi ni suti zaidi.
 
EEEeeenHEEeeee!
Kumbe hata 'stamina' huna?
Sasa mtu kama wewe utamdanganya nani kuwa huendeshwi na udini?
Sioni tena maana ya kuendelea na majibishano, baada ya kujuwa unasimamia wapi.
twende kwa hoja mkuu, soma swali la yoda ,, soma jibu langu---- hatua kwa hatua

mimi naendelea simamia my ground:: nimepresent hoja zangu bila hata chembe yeyote ya kuonyesha mimi ni dini gani ---

and incase hata kama ukihisi mimi naweza kua upande gani-- you are free to do so --- twende hoja kwa hoja usikimbie.

and mimi sioni kama haya ni majibishano -- mi naona ni mjadala tu kama mjadala mwingine ndani ya jf ..


na ukiweza prove udini niliuonesha -- unlike mtoa mada na watu wanaomsapoti--- i give you a challenge kunionesha
 
issue ya ujinga hapa alaumiwe mwalimu nyerere mkuu----- turudi kwenye mada mimi sjajua wewe ni imani gani na sihitaji kujua --- lakini kama muislamu akitoka akasema kanzu , baibui ni vazi la kidini hatakua sahihi mkuu.


usiangalie wanafanya nini kwa wingi wao----

nimeomba unielimishe juu ya jambo hilo , lakini bado hujafanya hivyo

na ninaomba radhi kwa kutumia lugha ambayo imeonekana haina staha
Kuna jambo ambalo unatakiwa ujue kwa upana wake. Uislamu ni mfumo mzima wa maisha either kwa muongozo wa quran na hadithi au sunnah. Kuna kundi kubwa tu la Waislamu wanaamini kuvaa kama mtume ni sunnah japo kuna wengine wanaweza kuwa na mawazo tofauti. Wagalatia wao hawaamini mavazi ya Yesu yana maana yoyote kiimani kwao.
 
Back
Top Bottom