Mie si mpenzi wa WCB lakini ukweli usemwe toka jamaa ameanza kutoa amapiano zote zimehit kuliko kawaida. Hakuna msanii anaeweza kutoa ngoma back to back kama alivyofanya jamaa kuanzia Tajiri,Tunakikao,beer nyama, Sawa na sasa Kibango inayosumbua mtaani. Myonge myongeni lakini haki yake mpeni.
Kuna hii system ya kuexchange iPhone ama kutop up.
Hii watu wanapigwa sana kwani gharama zinakuwa juu mno kuliko inavyotakiwa. Mfano 14 plain kwenda 15 plain ni tzs 1m hii ni bei ya simu mpya kabisa dukani.
Huu ni utapeli wa kiwango cha juu mno.
Kwa speed aliyokuja nayo mwaka uliopita basi nilitegemea atoe hit song nyingine kali kuizid beer nyama lakini wapi! Hizi nyimbo zake mbili ni mbovu na hata mixing haikufanyika kwa usahihi.
Arudi Tena studio.
Bondia hassan mwakinyo ashinda kwa KO katika round ya 7 baada ya kumbwaga bondia was Ghana Elvis..... duh kwa Hali hii twaha kiduku atachapika vibaya...
Update. Label Ina jaribu kmbembeleza msanii abaki kwa sababu amefanya vizuri huu mwaka hivyo amewaingizia faida, ila msanii na upande wake wanasisitiza anataka aondoke kwani kwa mda aliokaa hapo basi ulitosha sana kumfanya awe star.
UPDATE:Ni kwamba huyo msanii now yupo njiani kuelekea kwenye show yake Moja huko mkoani lakini watu wake bado wanadiscuss na management kuhusu hili swala Inasemekana ni kwamba label hiyo haikutekeleza kilichokubaliwa katika mkataba wake. Mfano ni idadi ya nyimbo anazoruhusiwa kutoa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.