Juzi niliweka post nikimuelezea kwa ufupi Mtakatifu Maria Theresa. wa CALCUTTA .....maoni mengi niliyoyasoma yalikuwa yakisema ILI UWE MTAKATIFU au UPATE CHEO KIKUBWA KATIKA KANISA KATOLIKI BASI...
Wanaume ambao mnawatoto embu tupeni uzoefu wenu kwa mara kwanza unampelekea Mwanamke wako hospitali kujifungua,hiyo siku ilikuwaje na kipi utoweza kusahau kabisa
Enyi wazazi acheni kuwaforce vijana wenu wajiongeze wakajitegemee ilihali hamjawaandalia mazingira ya wao kujitegemea zama zimebadilika sio kama kipindi cha giza kule.
Wapeni hela au mitaji...
Uislamu ingekuwa Dini nzuri sana endapo baadhi ya Tabia zinazohusushwa na Dini zingeachwa. Siongelei huu uislamu wa gongo la mboto, waislamu jina. Naongelea wakulungwa wenyewe.
Mfano: Tabia ya...
Mimi ni Mtanzania ninayeishi Marekani, kuna Mtanzania mwenzetu mbaye alikuja kama Mwanafunzi hapa, sijui vizuri kuhusu historia yake huko nyuma.
Miaka kadhaa iliyopita alipata changamoto ya Afya...
Lushoto.Frateri wa Kanisa Katoliki Shirika la Roho Mtakatifu Jimboni Tanga,Rogassion Hugho ,anadaiwa kujinyonga hadi kufa.
Hili ni tukio la pili kwa viiongozi wa dini, kudaiwa kujinyonga .Mei...
Kumekuwa na tabia ya utapeli wa kupangwa walengwa wakubwa wakiwa ni Mawakala wa huduma za kifedha haswa haswa wale ambao ni wapya katika eneo flani.
Limetokea tukio maeneo ya Sinza Mapambano...
Wadau nawasalimu.Kutokana na kuamua kuhamia Jijini DAR nimeonelea ni vema nikawashirikisha Wenyeji wangu (Wakazi wa DSM) ili mnisaidie kujua ni sehemu gani sahihi ya kuishi kutokana na Changamoto...
Nimeiona hii video ya kijana Ali mwenye ulemavu na tatizo la kifafa. Nimesikitika sana alichofanyiwa na wananchi wenzetu wa Zanzibar.
Huyu kijana kwa wanaomjua wanasema amekulia Sinza na ni...
Kwenu wajuvi wa Sheria!
Kwenye clip hapo chini ni malalamiko ya mtu anayedai kutapeliwa. Tukio lilitokea Arusha. Mlalamikaji aliuziwa shamba la ekari 2 kwa milioni hamsini na nne. Lakini...
Ni hivi, viongozi kadhaa wa dini ya kiislamu hapa nchini katika mawaidha yao hudai kuwa ni haramu kuchelewesha mwili wa marehemu hata kama alikuwa kiongozi akifa azikwe fasta fasta.
Sasa kafariki...
Massawe, Benki ya Kigali, benki kubwa ya Rwanda kwa mali, imemthibitisha Deogratius Massawe kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa kitengo cha teknolojia, BK Techouse.
Deo alikuwa kaimu Mkurugenzi...
Mnamo mwaka aliofariki mfalme Uzia[2021], nilimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi kilicho juu na cha fahari. Pindo la vazi lake lilienea hekaluni mote, na juu yake walikuwa wamekaa malaika...
Kuna kasumba imejengeka ambayo inaweka classes za watu kulingana na Mkoa wanakotokea.
Mathalani Mikoa ya Business Class (VVIP) ,Hawa Hujiona superclass na kwamba wanastahili attention
Dar
Arusha...
Wakuu heshima yenu! Heading inajieleza, mimi ni kati ya wale watanzania waliobahatika kuishi mikoa mingi hapa nchini, kiukweli Nchi yetu kwa kiasi chake imebarikiwa kwa uzuri nimeishi Maeneo kama...
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae...
Ushoga hauna dini ila sasa mashoga wameingia kwenye dini
Siku za mwisho ni wakati mashoga wanapogonga hodi kwenye milango ya dini. Pale Sodoma, mashoga walipovamia nyumba ya Lutu mtumishi wa...
Leo ITV imeonyesha tendo la ajabu sana ndiyo sababu watu wengine tunaamua kuangalia tv za nje tu.
Haiwezekani tv ambayo imasema kuwa ni super brand afrika mashariki ifanye mambo kwa kukurupuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.