LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,227
- 11,416
Nimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu.
Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani, mainjinia sijui wameajiriwa kwa kazi gani, nimehisi nimerudi Dar es Salaam ya mwaka 2000 or ndio mji wa kitalii labda.
Labda nipewe chimbo huenda nimeenda sehemu sio lakini kwaweli ni majanga sana hapa.
Zanzibar mnatakiwa mbadilike mainjinia sijui mnafanya kazi gani mnashindwa kulipendezesha jiji yaani lami kama zimemwagwa zege hovyo hovyo miji ni michafu hatari. Kuwa jiji la kitalii haimaanishi muwe hivyo pendezesheni mji wenu wekeni pawe pasafi kama moshi, tengenezeni lami za kiaasa kama dar pawe pazuri
Plan ya miji iwe kila sehem na migahawa miuzuri na pasafi,
Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani, mainjinia sijui wameajiriwa kwa kazi gani, nimehisi nimerudi Dar es Salaam ya mwaka 2000 or ndio mji wa kitalii labda.
Labda nipewe chimbo huenda nimeenda sehemu sio lakini kwaweli ni majanga sana hapa.
Zanzibar mnatakiwa mbadilike mainjinia sijui mnafanya kazi gani mnashindwa kulipendezesha jiji yaani lami kama zimemwagwa zege hovyo hovyo miji ni michafu hatari. Kuwa jiji la kitalii haimaanishi muwe hivyo pendezesheni mji wenu wekeni pawe pasafi kama moshi, tengenezeni lami za kiaasa kama dar pawe pazuri
Plan ya miji iwe kila sehem na migahawa miuzuri na pasafi,