Yusuph dabo sio kocha atafikisha azam any where? my football review on azam match

Danielmwasi

JF-Expert Member
May 3, 2021
1,171
2,234
short clear


1. azam awawezi kutengeneza build up. in short ni through ball ndefu then inshallah. foward wapo one on one na 3 defenders every time. ni kama kichekesho. i still believe they got
luck to win that yanga match.

2. wachezaji wa azam awajawa couched. honestly amna mipango ni kama ajui tactics na plan how to change the game. kwenye mechi ya maandalizi mazuri huyu awezi shinda match. in caf competition amna kitu ataweza

3. fitness ya azam players ni kichekesho. group stage awezi kwenda.

4. tactically inferior. dabo hana mikakati, sio kocha mzuri. team ina mpangalanyiko kabisa. disjointed midfield.

5. mid-field amna. cdm playing above the line . defender wapo nyuma sana to the point pressing kidogo wanakuwa open.

6. small team mentality. mechi za maana zote wanaofungwa.

6.5 weka ada yako azam msimu ujao anatoka mechi za kwanza kabisa za caf anapingwa inje ndani.

7. ningekuwa bakhiresa hii team wote wangeondoka. wape mikataba wakikosa ubungwa wote wanaondoka. uza hadi mpishi . ana machawa sio wapiga kazi, semaji chawa pia . tafuta vijana wapige kazi. fukuza wote. anza upya.
 
short clear


1. azam awawezi kutengeneza build up. in short ni through ball ndefu then inshallah. foward wapo one on one na 3 defenders every time. ni kama kichekesho. i still believe they got
luck to win that yanga match.

2. wachezaji wa azam awajawa couched. honestly amna mipango ni kama ajui tactics na plan how to change the game. kwenye mechi ya maandalizi mazuri huyu awezi shinda match. in caf competition amna kitu ataweza

3. fitness ya azam players ni kichekesho. group stage awezi kwenda.

4. tactically inferior. dabo hana mikakati, sio kocha mzuri. team ina mpangalanyiko kabisa. disjointed midfield.

5. mid-field amna. cdm playing above the line . defender wapo nyuma sana to the point pressing kidogo wanakuwa open.

6. small team mentality. mechi za maana zote wanaofungwa.

6.5 weka ada yako azam msimu ujao anatoka mechi za kwanza kabisa za caf anapingwa inje ndani.

7. ningekuwa bakhiresa hii team wote wangeondoka. wape mikataba wakikosa ubungwa wote wanaondoka. uza hadi mpishi . ana machawa sio wapiga kazi, semaji chawa pia . tafuta vijana wapige kazi. fukuza wote. anza upya.
Yusuph Dabo sio kocha mkuu
Kocha mkuu ni yule mzungu
 
Ki
short clear


1. azam awawezi kutengeneza build up. in short ni through ball ndefu then inshallah. foward wapo one on one na 3 defenders every time. ni kama kichekesho. i still believe they got
luck to win that yanga match.

2. wachezaji wa azam awajawa couched. honestly amna mipango ni kama ajui tactics na plan how to change the game. kwenye mechi ya maandalizi mazuri huyu awezi shinda match. in caf competition amna kitu ataweza

3. fitness ya azam players ni kichekesho. group stage awezi kwenda.

4. tactically inferior. dabo hana mikakati, sio kocha mzuri. team ina mpangalanyiko kabisa. disjointed midfield.

5. mid-field amna. cdm playing above the line . defender wapo nyuma sana to the point pressing kidogo wanakuwa open.

6. small team mentality. mechi za maana zote wanaofungwa.

6.5 weka ada yako azam msimu ujao anatoka mechi za kwanza kabisa za caf anapingwa inje ndani.

7. ningekuwa bakhiresa hii team wote wangeondoka. wape mikataba wakikosa ubungwa wote wanaondoka. uza hadi mpishi . ana machawa sio wapiga kazi, semaji chawa pia . tafuta vijana wapige kazi. fukuza wote. anza upya.
Kiswahili hukijui vivyohivyo hata Kiingereza.
Ebu jaribu kutumia lugha mojawapo labda huenda ukaeleweka ijapo kidogo.
 
short clear


1. azam awawezi kutengeneza build up. in short ni through ball ndefu then inshallah. foward wapo one on one na 3 defenders every time. ni kama kichekesho. i still believe they got
luck to win that yanga match.

2. wachezaji wa azam awajawa couched. honestly amna mipango ni kama ajui tactics na plan how to change the game. kwenye mechi ya maandalizi mazuri huyu awezi shinda match. in caf competition amna kitu ataweza

3. fitness ya azam players ni kichekesho. group stage awezi kwenda.

4. tactically inferior. dabo hana mikakati, sio kocha mzuri. team ina mpangalanyiko kabisa. disjointed midfield.

5. mid-field amna. cdm playing above the line . defender wapo nyuma sana to the point pressing kidogo wanakuwa open.

6. small team mentality. mechi za maana zote wanaofungwa.

6.5 weka ada yako azam msimu ujao anatoka mechi za kwanza kabisa za caf anapingwa inje ndani.

7. ningekuwa bakhiresa hii team wote wangeondoka. wape mikataba wakikosa ubungwa wote wanaondoka. uza hadi mpishi . ana machawa sio wapiga kazi, semaji chawa pia . tafuta vijana wapige kazi. fukuza wote. anza upya.
azam kocha sio shida,ni malengo ya viongozi wake,wameruhusu timu nzima ijengwe juu ya malengo ya kumuwezesha fei toto awe mfungaji bora,wameruhusu fei apambane na yanga,fei apambane na aziz ki
 
Back
Top Bottom