Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,171
- 2,234
short clear
1. azam awawezi kutengeneza build up. in short ni through ball ndefu then inshallah. foward wapo one on one na 3 defenders every time. ni kama kichekesho. i still believe they got
luck to win that yanga match.
2. wachezaji wa azam awajawa couched. honestly amna mipango ni kama ajui tactics na plan how to change the game. kwenye mechi ya maandalizi mazuri huyu awezi shinda match. in caf competition amna kitu ataweza
3. fitness ya azam players ni kichekesho. group stage awezi kwenda.
4. tactically inferior. dabo hana mikakati, sio kocha mzuri. team ina mpangalanyiko kabisa. disjointed midfield.
5. mid-field amna. cdm playing above the line . defender wapo nyuma sana to the point pressing kidogo wanakuwa open.
6. small team mentality. mechi za maana zote wanaofungwa.
6.5 weka ada yako azam msimu ujao anatoka mechi za kwanza kabisa za caf anapingwa inje ndani.
7. ningekuwa bakhiresa hii team wote wangeondoka. wape mikataba wakikosa ubungwa wote wanaondoka. uza hadi mpishi . ana machawa sio wapiga kazi, semaji chawa pia . tafuta vijana wapige kazi. fukuza wote. anza upya.
1. azam awawezi kutengeneza build up. in short ni through ball ndefu then inshallah. foward wapo one on one na 3 defenders every time. ni kama kichekesho. i still believe they got
luck to win that yanga match.
2. wachezaji wa azam awajawa couched. honestly amna mipango ni kama ajui tactics na plan how to change the game. kwenye mechi ya maandalizi mazuri huyu awezi shinda match. in caf competition amna kitu ataweza
3. fitness ya azam players ni kichekesho. group stage awezi kwenda.
4. tactically inferior. dabo hana mikakati, sio kocha mzuri. team ina mpangalanyiko kabisa. disjointed midfield.
5. mid-field amna. cdm playing above the line . defender wapo nyuma sana to the point pressing kidogo wanakuwa open.
6. small team mentality. mechi za maana zote wanaofungwa.
6.5 weka ada yako azam msimu ujao anatoka mechi za kwanza kabisa za caf anapingwa inje ndani.
7. ningekuwa bakhiresa hii team wote wangeondoka. wape mikataba wakikosa ubungwa wote wanaondoka. uza hadi mpishi . ana machawa sio wapiga kazi, semaji chawa pia . tafuta vijana wapige kazi. fukuza wote. anza upya.