Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Aliyekuwa mmiliki wa Band ya chuchu sound na Mkurugenzi wa chuchu radio Yusuph Chuchu amefariki dunia jana jijini Nairobi, mazishi yana fanyika leo visiwani Zanzibar. R.I.P Babu chuchu!!
Yusuph Chuchu kushoto.
Yusuph Chuchu kushoto.