technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,849
Yule forward mweusi mwenye umbo kama drogba aisee sikumuona hata benchi jumamosi.
Ijumaa nakiona kiama kama kuna forward hatari kwa Sasa africa ni Mayele, yule wa mamelodi na huyu jamaa wa waydad.
Tuandae matanga kama taifa kuishusha bendera nusu mlingoti ni balaa tupu kule morocco.
Ijumaa nakiona kiama kama kuna forward hatari kwa Sasa africa ni Mayele, yule wa mamelodi na huyu jamaa wa waydad.
Tuandae matanga kama taifa kuishusha bendera nusu mlingoti ni balaa tupu kule morocco.