Yeye kajuaje kama Kamanda Sirro anajua?

Kuna kiazi alituambia kuna mtu anaingiza ma milioni tz kwa saa, akasema ye ni mzalendo atatoa slip akasema ataongeza ajira baada ya miezi miwili ya uhakiki nataka kujua aliropoka au la
 
Umetujazia server mkuu, Kwani unahitaji akili nyingi kujua Kama anajua? Weka pembeni akili zako za Lumumba halafu msikilize vizuri kamanda Ndio utaelewa
 
Huyu jamaa ana rekodi ya kuropoka ropoka tu mambo na wala huwa habanwi kuthibitisha ayasemayo.

Si mwingine, ni huyu Zito [ndiyo, naliandika jina lake bila ‘T’ mbili] Kabwe.

Pamoja na kauli zingine za ajabu ajabu, huko nyuma alishawahi kusema anawajua au ana orodha ya Watanzania walioficha pesa huko Uswisi.

Cha ajabu, hakuwahi kuwataja. Alisema tu wapo na anawajua.

Sawa, mdomo ni wake na anaweza sema lolote lile.

Uzuri ni kwamba, kusema tu kuwa jambo fulani lipo au kitu fulani kipo, hakufanyi hilo jambo liwepo au hicho kitu kiwepo.

Haya, sogeza siku mbele hadi hii leo, jamaa kaja na ingine.

Anadai eti mkuu wa polisi, Kamanda Sirro, anajua Mo Dewji alipo.

Yeye huyo Zito kajuaje kuwa Kamanda Sirro anajua?

Yeye Zito na Sirro walishirikiana kumteka huyo Mo?

Watu wengine bana. Kazi kuropoka ropoka ili mradi tu was ifike na wafuasi wao huku kwenye mitandao ya jamii.

Na hapo inatafutwa kila aina ya sababu kumhusisha Rais Magufuli!!!!

We Zito kama unajua kuwa Kamanda Sirro anajua alipo Mo, maana yake na wewe unajua alipo Mo.

Wasaidie familia yake kwa kuwafahamisha alipo. Siyo kushinda Twitter na kuropoka ropoka pasipo na ithibati.
Pathetic!
 
Huyu jamaa ana rekodi ya kuropoka ropoka tu mambo na wala huwa habanwi kuthibitisha ayasemayo.

Si mwingine, ni huyu Zito [ndiyo, naliandika jina lake bila ‘T’ mbili] Kabwe.

Pamoja na kauli zingine za ajabu ajabu, huko nyuma alishawahi kusema anawajua au ana orodha ya Watanzania walioficha pesa huko Uswisi.

Cha ajabu, hakuwahi kuwataja. Alisema tu wapo na anawajua.

Sawa, mdomo ni wake na anaweza sema lolote lile.

Uzuri ni kwamba, kusema tu kuwa jambo fulani lipo au kitu fulani kipo, hakufanyi hilo jambo liwepo au hicho kitu kiwepo.

Haya, sogeza siku mbele hadi hii leo, jamaa kaja na ingine.

Anadai eti mkuu wa polisi, Kamanda Sirro, anajua Mo Dewji alipo.

Yeye huyo Zito kajuaje kuwa Kamanda Sirro anajua?

Yeye Zito na Sirro walishirikiana kumteka huyo Mo?

Watu wengine bana. Kazi kuropoka ropoka ili mradi tu was ifike na wafuasi wao huku kwenye mitandao ya jamii.

Na hapo inatafutwa kila aina ya sababu kumhusisha Rais Magufuli!!!!

We Zito kama unajua kuwa Kamanda Sirro anajua alipo Mo, maana yake na wewe unajua alipo Mo.

Wasaidie familia yake kwa kuwafahamisha alipo. Siyo kushinda Twitter na kuropoka ropoka pasipo na ithibati.
Ye akiguswa kwenye matukio mengine anaanza kutishia kuwaloga watoa taarifa na kujifanya uvumilivu wake umefikia mwisho..lakini ye kila siku anawajaza wenzie shutuma..
 
Nimekuelewa zitto
FB_IMG_1539971161797.jpeg
 
Du hata waliokuwa thinkers tena JF na wenyewe mmeamua kuunga mkono. Kila mwenye akili timamu anajua mwenye dhamana ya kujua ni AijiiPii na ameshaanza kusema kwa hatua na amejua gari sasa Zitto yuko sawa na usimbane peke yake tuko wengi tunaoamini Aijipii ndio mwenye dhamana yaani wanaishia hapa kwa tafsida tu ila hata Mzee Baba anajua how comes Amiri asijue MO ni mkubwa bhana.

Kama hawajui basi wajipime wenyewe na kujichukulia hatua kwa kushindwa kutimiza wajibu wao kama walivyotumbua wengine huko nyuma. Zitto akimtaja manake anakumbushia uwajibikaji sio kupita na ving'ora tu. Katiba waliyoapa kuilinda ndio inataka haki ya kuishi na uhuru kuzingatiwa na sio NN anataka nini.
Huyu jamaa ana rekodi ya kuropoka ropoka tu mambo na wala huwa habanwi kuthibitisha ayasemayo.

Si mwingine, ni huyu Zito [ndiyo, naliandika jina lake bila ‘T’ mbili] Kabwe.

Pamoja na kauli zingine za ajabu ajabu, huko nyuma alishawahi kusema anawajua au ana orodha ya Watanzania walioficha pesa huko Uswisi.

Cha ajabu, hakuwahi kuwataja. Alisema tu wapo na anawajua.

Sawa, mdomo ni wake na anaweza sema lolote lile.

Uzuri ni kwamba, kusema tu kuwa jambo fulani lipo au kitu fulani kipo, hakufanyi hilo jambo liwepo au hicho kitu kiwepo.

Haya, sogeza siku mbele hadi hii leo, jamaa kaja na ingine.

Anadai eti mkuu wa polisi, Kamanda Sirro, anajua Mo Dewji alipo.

Yeye huyo Zito kajuaje kuwa Kamanda Sirro anajua?

Yeye Zito na Sirro walishirikiana kumteka huyo Mo?

Watu wengine bana. Kazi kuropoka ropoka ili mradi tu was ifike na wafuasi wao huku kwenye mitandao ya jamii.

Na hapo inatafutwa kila aina ya sababu kumhusisha Rais Magufuli!!!!

We Zito kama unajua kuwa Kamanda Sirro anajua alipo Mo, maana yake na wewe unajua alipo Mo.

Wasaidie familia yake kwa kuwafahamisha alipo. Siyo kushinda Twitter na kuropoka ropoka pasipo na ithibati.
 
Ndugu zangu hamjui laana inayowatafuna hawa watu na wote walioshiriki katika mauaji ya vikongwe, mama/bibi zao kwa kutuhumiwa uchawi, kisa? Macho mekundu. Aliyeonja nyama ya mtu haachi. It is all in the Genealogy, Watanzania tutajuta!
 
Huyu jamaa ana rekodi ya kuropoka ropoka tu mambo na wala huwa habanwi kuthibitisha ayasemayo.

Si mwingine, ni huyu Zito [ndiyo, naliandika jina lake bila ‘T’ mbili] Kabwe.

Pamoja na kauli zingine za ajabu ajabu, huko nyuma alishawahi kusema anawajua au ana orodha ya Watanzania walioficha pesa huko Uswisi.

Cha ajabu, hakuwahi kuwataja. Alisema tu wapo na anawajua.

Sawa, mdomo ni wake na anaweza sema lolote lile.

Uzuri ni kwamba, kusema tu kuwa jambo fulani lipo au kitu fulani kipo, hakufanyi hilo jambo liwepo au hicho kitu kiwepo.

Haya, sogeza siku mbele hadi hii leo, jamaa kaja na ingine.

Anadai eti mkuu wa polisi, Kamanda Sirro, anajua Mo Dewji alipo.

Yeye huyo Zito kajuaje kuwa Kamanda Sirro anajua?

Yeye Zito na Sirro walishirikiana kumteka huyo Mo?

Watu wengine bana. Kazi kuropoka ropoka ili mradi tu was ifike na wafuasi wao huku kwenye mitandao ya jamii.

Na hapo inatafutwa kila aina ya sababu kumhusisha Rais Magufuli!!!!

We Zito kama unajua kuwa Kamanda Sirro anajua alipo Mo, maana yake na wewe unajua alipo Mo.

Wasaidie familia yake kwa kuwafahamisha alipo. Siyo kushinda Twitter na kuropoka ropoka pasipo na ithibati.
Bila shaka ataitwa kituo cha polisi kwa mahojiano
 
Kiukweli zito kabwe na Goblesa Rema wanazingua wangefyekelewa mbali sema kwakua vyombo husika vishajua hawana madhara wanawadharau
 
Mkuu ulishawahi toka nje ya Africa?
I mean kama Ulaya na america?

Unazuia vipi watu kuhoji pale wanapopata ukakasi??

Nilitegemea ungejibu hizo doubts za watu kama watu wameshindwa mwelewa Sirro.

Nilitegemea ungejibu doubts za Lema kuliko kejeli,


Unajuaa maana hata ya ID yako??

Wengine wanasema ile gari ya Sirro chini ina jeki, sijui mazingira sio collesium blah blah ....na kuita press juu huku majuzi hakuna la maana aliloongea.

Yaani hata kama Polisi labda wanakosea lakini hao waliojipa dhamana ya kuwa wasemaji wa hili wanakurupuka mno kuliko hata hao Polisi.

Tunamtaka MO kwa juhudi zote lakini ni vema tusikurupuke na matamko hadi kuishia kuzidi ku complicate issues unnecessary.

Watu wanazungumza maneno mazito kama vile wana uhakika kabisa au wanajua MO alipo! Kuweni wazi ili Watanzania wajue badala ya hakika iliyojaa mafumbo.

Alafu Lema hiyo press kesho njoo na habari mpya mzee badala ya hadithi ambazo kila siku tunazipiga humu. Kwa nafasi zenu mnaweza ku handle hili kwa tija zaidi badala ya kukurupuka kuliko hao wakurupukaji wenyewe.
 
Hapana Zito Kabwe haropoki bali anajua fika anachokiongea, yeye ni sehemu ya conspiracy yote hii pamoja G.Lema, hata chadema wanajua, kuna sababu kwa nini Tundu Lisu wao hajaposti chochote hapa JF kuhusiana na hili mpaka sasa hivi kwani siyo kawaida kwenye tukio lolote lile, hivyo kamwachia Waziri muhisika Lema na Zito Kabwe, hivyo kwangu mimi huu mpango umesukwa na Dewji, mwenyewe na kuwashirikisha wote wanaojitokeza sasa hivi.

Wanasema Dewji aliendesha mwenyewe bila ya dereva kwenda gym wakati siyo kawaida yake, wanasema siku zote huwa na dereva, inaelekea hapa walishajifunza kutoka kwenye ishu ya Tundu Lisu na dereva wake, ili kuondoa mtu mwigfine ambaye angeweza kuulizwa akaamua kuendesha peke yake ili iwe muhusika ni yeye tu!
Mo ayafanye yote ili nn kwana anadhiki gani au ni kitu gani anatafuta
 
Back
Top Bottom