Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,711
- 190,782
Mazoea hujenga tabia 🤣baada yakuwa wa mjini ukakataa maji ya asili yako! yapo na yale yaliyochemshiwa kuni yananukia moshi...😅
humu duniani kasheshe ni nyingi..
Unashangaa maji? Chakula flani ukikaa miaka hujapika siku ya kupika lazima upoteane.