Yanga ni zee ambalo halina mafanikio ukilinganisha na umri wake

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Oct 23, 2016
2,085
3,729
Hapo vip,

Nimejiuliza maswali sana kuhusiana na hizi kelele za yanga dhidi ya Simba sc, kuweka mabango na kalele.za kufika robo fainali club bingwa.

Majibu ni kwamba yanga ni zee ambalo halina mafanikio ukilinganisha na umri wake.

Kwasababu tokea Dunia kuumbwa na yanga kuanzishwa ndio mara a kwanza imefika robo final ya kwanza club bingwa mwaka 2024.hili ni kwamujibu wa CUF wenyewe. Achana na hizi stori za haji manara na za wajinga wenzake.

Yanga ni club ndogo sana kwa simba sc ndio maana inaangaka na mabango na mipasho mitandaoni.

Simba sc imeshacheza hizo robo final za club bingwa mara sita sasa yanga mara moja,Simba sc ilishacheza nusu final club bingwa 1974.

Ukubwa wa club sio mwaka wa uwazishaji bali ni ubora wake katika bara lake na namna inavyojulikana..Simba sc ni club ya 5 kw ubora barani Afrika japo kwasasa inapitia wakati mgumu sana ila itakuja kuwa imara na bora kuliko nyakati zote.

Tukiangalia ukubwa wa club kwa tarehe ya uwazishaji basi hata huku mtaani kuna timu kubwa kuliko yanga na Simba kwasababu huku mtaani kuna timu zimeanzisha siku nyingi kuliko Simba na yanga.

Simba sc bora na imara inakuja
 
Yanga kacheza robo 1969,1970,1998,2024,yanga kamfunga Simba Mara nyingi,kachukua ubingwa ambao Simba huugombea pia Mara nyingi zaidi kuliko Simba,yanga kacheza final shirikisho caf,yanga kwa Simba ni kubwa kiumri na kimafanikio. Na kwa kumfunga Simba mwenyewe
 
Wewe amini nakwambia huna akili.

Unamuita Manara mjinga, hivi ukiamua kujitokeza nyuma ya key board na wewe tukakujua kuna ambacho umemzidi Haji wewe, Haji kakuzidi hela, kakuzidi mali, kakuzidi umaarufu na kakuzidi hata huo ujinga (Ambao yeye unamlipa sasa sijui wewe ujuzi wako unakuzidi nini)

Unajivunia kuingia robo fainali mara 5 na husongi mbele! Huna akili kweli wewe. Unataka ukiingie mara ngapi ndio uende nusu fainali? Unasema tangu kuumbwa kwake Yanga imeingia nusu fainali mara ya kwanza, vipi lakini umeuonaje mziki wake hiyo hiyo mara ya kwanza?

Eti Yanga ni timu ndogo sana kwa Simba, dah. Kweli Rage aliona mbali.

Sikia dogo, amka usingizini. Vitu vinabadilika, focus kwenye reality achana na historia
 
🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20240410_070731_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20240410_070731_WhatsAppBusiness.jpg
    116 KB · Views: 4
Hapo vip,

Nimejiuliza maswali sana kuhusiana na hizi kelele za yanga dhidi ya Simba sc,kuweka mabango na kalele.za kufika robo fainal club bingwa.

Majibu nikwamba yanga nitu zee ambalo halina mafanikio ukilinganisha na umri wake.

Kwasababu tokea Dunia kuumbwa na yanga kuanzisha ndio mara a kwanza imefika roba final ya kwanza club bingwa mwaka 2024.hili ni kwamujibu wa CUF wenyewe. Achana na hizi stori za haji manara na za wajinga wenzake.

Yanga ni club ndogo sana kwa simba sc ndio maana inaangaka na mabango na mipasho mitandaoni.

Simba sc imeshacheza hizo robo final za club bingwa mara sita sasa yanga mara moja,Simba sc ilishacheza nusu final club bingwa 1974.

Ukubwa wa club sio mwaka wa uwazishaji bali ni ubora wake katika bara lake na namna inavyojulikana..Simba sc ni club ya 5 kw ubora barani Afrika japo kwasasa inapitia wakati mgumu sana ila itakuja kuwa imara na bora kuliko nyakati zote.

Tukiangalia ukubwa wa club kwa tarehe ya uwazishaji basi hata huku mtaani kuna timu kubwa kuliko yanga na Simba kwasababu huku mtaani kuna timu zimeanzisha siku nyingi kuliko Simba na yanga.

Simba sc bora na imara inakuja
Acha uongo, una mnamwonea wivu kwani ni kama Kigali wa 20,ishirini hivi aliyejaaliwa vyote vyote🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Linalowezekana kumkera mpinzani wako lifanyike na akelekee haswa!!, Na mmekeleka haswa.
 
Yanga kacheza robo 1969,1970,1998,2024,yanga kamfunga Simba Mara nyingi,kachukua ubingwa ambao Simba huugombea pia Mara nyingi zaidi kuliko Simba,yanga kacheza final shirikisho caf,yanga kwa Simba ni kubwa kiumri na kimafanikio. Na kwa kumfunga Simba mwenyewe
Umemaliza kila kitu.
 
Zee limecheza fainali za CAF, Zee lenye medali za CAF, Zee lililotwaa makombe mengi zaidi kuliko timu yoyote ukanda wa Afrika mashariko na kati, Zee bingwa mara 30 Ligi kuu 😊😊😊
 
Wewe amini nakwambia huna akili.

Unamuita Manara mjinga, hivi ukiamua kujitokeza nyuma ya key board na wewe tukakujua kuna ambacho umemzidi Haji wewe, Haji kakuzidi hela, kakuzidi mali, kakuzidi umaarufu na kakuzidi hata huo ujinga (Ambao yeye unamlipa sasa sijui wewe ujuzi wako unakuzidi nini)

Unajivunia kuingia robo fainali mara 5 na husongi mbele! Huna akili kweli wewe. Unataka ukiingie mara ngapi ndio uende nusu fainali? Unasema tangu kuumbwa kwake Yanga imeingia nusu fainali mara ya kwanza, vipi lakini umeuonaje mziki wake hiyo hiyo mara ya kwanza?

Eti Yanga ni timu ndogo sana kwa Simba, dah. Kweli Rage aliona mbali.

Sikia dogo, amka usingizini. Vitu vinabadilika, focus kwenye reality achana na historia
Tatizo la mashabiki wa yanga muna umaskini mpaka kwenye akili,haishii kwenye kukosa hata pesa ya kuingia iwanjani bali umasikini wenu umevuka mipaka mpaka kwenye akili
 
Hapo vip,

Nimejiuliza maswali sana kuhusiana na hizi kelele za yanga dhidi ya Simba sc, kuweka mabango na kalele.za kufika robo fainali club bingwa.

Majibu ni kwamba yanga ni zee ambalo halina mafanikio ukilinganisha na umri wake.

Kwasababu tokea Dunia kuumbwa na yanga kuanzishwa ndio mara a kwanza imefika robo final ya kwanza club bingwa mwaka 2024.hili ni kwamujibu wa CUF wenyewe. Achana na hizi stori za haji manara na za wajinga wenzake.

Yanga ni club ndogo sana kwa simba sc ndio maana inaangaka na mabango na mipasho mitandaoni.

Simba sc imeshacheza hizo robo final za club bingwa mara sita sasa yanga mara moja,Simba sc ilishacheza nusu final club bingwa 1974.

Ukubwa wa club sio mwaka wa uwazishaji bali ni ubora wake katika bara lake na namna inavyojulikana..Simba sc ni club ya 5 kw ubora barani Afrika japo kwasasa inapitia wakati mgumu sana ila itakuja kuwa imara na bora kuliko nyakati zote.

Tukiangalia ukubwa wa club kwa tarehe ya uwazishaji basi hata huku mtaani kuna timu kubwa kuliko yanga na Simba kwasababu huku mtaani kuna timu zimeanzisha siku nyingi kuliko Simba na yanga.

Simba sc bora na imara inakuja
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.
 
Back
Top Bottom