Yanga inawafukuzia Philip Kinzumbi na Ellie Mpanzu, imeshaweka offa mezani

Mpaka sasa Elie Mpanzu Kibisawala (striker) ana asilimia nyingi za kutua Yanga.

Philip Kinzumbi (winga) ameshawekewa ofa ila Raja nao wameweka ofa mezani.

Mpaka sasa kila kitu kipo kwenye mazungumzo bado hakuna aliyesaini.
Wanatoka wangapi wanaingia wangapi ?
 
Back
Top Bottom