sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,568
- 7,430
Mpaka sasa Elie Mpanzu Kibisawala (striker) ana asilimia nyingi za kutua Yanga.
Philip Kinzumbi (winga) ameshawekewa ofa ila Raja nao wameweka ofa mezani.
Mpaka sasa kila kitu kipo kwenye mazungumzo bado hakuna aliyesaini.
Philip Kinzumbi (winga) ameshawekewa ofa ila Raja nao wameweka ofa mezani.
Mpaka sasa kila kitu kipo kwenye mazungumzo bado hakuna aliyesaini.