Ya Spika Sitta na Nyerere

Calnde

JF-Expert Member
Oct 7, 2008
1,373
277
Katika pitapita yangu nimeipata hii nikaona si vibaya nikaiweka though inawezekana mnaifahamu.Kwamba in 1960's Sitta na Mwenzake waliongoza mgomo pale UDSM na kusababisha Nyerere kufukuza wanachuo.Baadae walirudishwa kutokana na mipango ya menejiment ya chuo Lakini Nyerere alikuwa mgumu kumruhusu Sitta kurejea masomoni.Hata hivyo Baadae alirejeshwa chuoni kwa masharti ya kuchapwa viboko na Mwalimu mwenyewe.(mind you at that time he wa Mr President)
Je hawa watu wengi waliopitia UDSM na sasa ni maarufu Tanzania na duniani wanafanyaje kuinua elimu yetu?
 
What a fascinating story, did he actually chapa him? Kuna mtu anaweza kutuulizia through yule mtoto wake?alikuwa anafanya kazi kampuni flani inayotoa huduma ya kupata matokeo ya mitihani via sms. Mwalimu bwana!chapa a young man just like so?
 
What a fascinating story, did he actually chapa him? Kuna mtu anaweza kutuulizia through yule mtoto wake?alikuwa anafanya kazi kampuni flani inayotoa huduma ya kupata matokeo ya mitihani via sms. Mwalimu bwana!chapa a young man just like so?



Mkuu hapa unaongea kwa kujinafasi na uhuru tele na hakuna atakaye kuogofya hata kidogo taja basi jina la huyo mtoto na hiyo kampuni yake tupate fahamu.
 
simjui jina, 4got the company's name watu wa darislam watakua wanamjua. Huku tabora hawamjui jina. How is castro by the way?
 
What a fascinating story, did he actually chapa him? Kuna mtu anaweza kutuulizia through yule mtoto wake?alikuwa anafanya kazi kampuni flani inayotoa huduma ya kupata matokeo ya mitihani via sms. Mwalimu bwana!chapa a young man just like so?
Nimefuatilia swala hili kwa baadhi ya watu ninaaowaamini wamekiri kweli.Sijui kama amewahi waeleza wanae na familia yake.Mbona hata mwalimu mwenyewe nimewahi kusikia kuwa aliwahikugoma akiwa Tabora Boys ya enzi hizo?Tena na nasikia alitoroka akakamatiwa stesheni mwanza!
 
Katika pitapita yangu nimeipata hii nikaona si vibaya nikaiweka though inawezekana mnaifahamu.Kwamba in 1960's Sitta na Mwenzake waliongoza mgomo pale UDSM na kusababisha Nyerere kufukuza wanachuo.Baadae walirudishwa kutokana na mipango ya menejiment ya chuo Lakini Nyerere alikuwa mgumu kumruhusu Sitta kurejea masomoni.Hata hivyo Baadae alirejeshwa chuoni kwa masharti ya kuchapwa viboko na Mwalimu mwenyewe.(mind you at that time he wa Mr President)
Je hawa watu wengi waliopitia UDSM na sasa ni maarufu Tanzania na duniani wanafanyaje kuinua elimu yetu?

Ulitegemea wafanye nini Mkuu kwa sababu wameshasahau walikotoka na hata hawapajui wanapoelekea?Wamekuwa wachoyo na wamesahau yale yote aliyowafanyia Mwalimu kwa sababu wao walikula na kunywa bure na hata kusoma bure ila leo hii watazuia matokeo ya yatima coz ameshindwa kulipa ada yake!
They are irresponsible and self minded!
 
Ulitegemea wafanye nini Mkuu kwa sababu wameshasahau walikotoka na hata hawapajui wanapoelekea?Wamekuwa wachoyo na wamesahau yale yote aliyowafanyia Mwalimu kwa sababu wao walikula na kunywa bure na hata kusoma bure ila leo hii watazuia matokeo ya yatima coz ameshindwa kulipa ada yake!
They are irresponsible and self minded!

Hapo ndo wanazidi kuniudhi.I suggests wote waliopata Elimu ya mwalimu bure na sasa wana nafasi njuri wakae kuona namna watakavyounda sera safi ya Elimu inayoeleweka.We cant go on with this mess
 
Kwa hiyo 6 alipewa bakora na Mwalimu mbele za watu
 
mwaka 1992, tulifukuzwa the then ardhi institute baada ya mgomo kuhusu cost-sharing, mgomo huu ndo huo huo ulimwondoa mbatia pale udsm.

kabla ya kurudishwa tuliambiwa turipoti kwa wakuu kuanzia kijijini,wilaya na hata mkoani, kuandika barua kuwa hatutagoma tena, samwel sita alikuwa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro, akatoa maagizo turipoti kwake in person, tulipoenda ofisini kwake akatuambia hiyo story ila hakusema alinyukwa viboko. baadaye akataka tunyukwe na sisi viboko tukamkatalia
 
mwaka 1992, tulifukuzwa the then ardhi institute baada ya mgomo kuhusu cost-sharing, mgomo huu ndo huo huo ulimwondoa mbatia pale udsm.

kabla ya kurudishwa tuliambiwa turipoti kwa wakuu kuanzia kijijini,wilaya na hata mkoani, kuandika barua kuwa hatutagoma tena, samwel sita alikuwa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro, akatoa maagizo turipoti kwake in person, tulipoenda ofisini kwake akatuambia hiyo story ila hakusema alinyukwa viboko. baadaye akataka tunyukwe na sisi viboko tukamkatalia

He must have been shit embarassed to admit that alinyukwa!Probably thats the reason he also suggested a similar thing to you guys!
 
Inaonekana, tatizo la kuwa mgumu wa kuelewa alianza nalo tangia wakati huo!!!!!!.
 
Back
Top Bottom