X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,729
- 12,359
ana yajua sana... hadi mtaro ukipenda unapita🥰🥰🥰 kana nyeana balaaaaaMtoto mtamu sana yule.
Tunabaki na fumbo la nani kaanza🤔
ana yajua sana... hadi mtaro ukipenda unapita🥰🥰🥰 kana nyeana balaaaaaMtoto mtamu sana yule.
Tunabaki na fumbo la nani kaanza🤔
Picha yake tafadhaliMtoto mtamu sana yule.
Tunabaki na fumbo la nani kaanza🤔
Nimeona haina maana nikifa itakua nimekufa hamna haja ya kueka viapo/maagizo kua kikifa iwe moja mbili tatukwanini umeifuta... na umeifutaje...?
sawa Elizabeth wetu enhNimeona haina maana nikifa itakua nimekufa hamna haja ya kueka viapo/maagizo kua kikifa iwe moja mbili tatu
Kitendo cha kuongea kua nimefuta tayari hiyo kauli haina nguvu tena..!
Mwamba, picha si ziko insta.Picha yake tafadhali
Mm sipo insta mkuuMwamba, picha si ziko insta.
Au ya wakati anahutubia😂
Nimekupata mkuu.Mimi wakati yuko last year IFM pale
Mm sipo insta mkuu
Nalaani tabia ya watu wengi waliobaki kutokuheshimu wosia wa Marehemu.
Gardner alisikika mara kadhaa redioni akisema siku akifariki wimbo wake pendwa " do you want a beer" kutoka Zimbabwe upigwe msibani, naomba wosia huu uheshimiwe na kila aliyebaki.
View: https://youtu.be/K08KPcivpv8?si=3AzwB3M_YnU_Pjo-
Aisee kumbe.ana yajua sana... hadi mtaro ukipenda unapita🥰🥰🥰 kana nyeana balaaaaa
Nalaani tabia ya watu wengi waliobaki kutokuheshimu wosia wa Marehemu.
Gardner alisikika mara kadhaa redioni akisema siku akifariki wimbo wake pendwa " do you want a beer" kutoka Zimbabwe upigwe msibani, naomba wosia huu uheshimiwe na kila aliyebaki.
View: https://youtu.be/K08KPcivpv8?si=3AzwB3M_YnU_Pjo-
Nalaani tabia ya watu wengi waliobaki kutokuheshimu wosia wa Marehemu.
Gardner alisikika mara kadhaa redioni akisema siku akifariki wimbo wake pendwa " do you want a beer" kutoka Zimbabwe upigwe msibani, naomba wosia huu uheshimiwe na kila aliyebaki.
View: https://youtu.be/K08KPcivpv8?si=3AzwB3M_YnU_Pjo-
Heshimuni matakwa ya marehemu.MKUUUU KWENYENYIMBOOOOOO TUTAKULA HALLLELUYA TUTAONANAA MPAKA.MWISHOOOO HATA KAMA TUTAPISHANA NAEEE
MATAKWAAAA YAAAPI NDUGUUUU HAYO MANENO HATA KHANGAN YAMOOOHeshimuni matakwa ya marehemu.