Wizara ya Afya: Vifo vinavyotokana na UKIMWI na Kifua Kikuu vimepungua nchini

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,482
8,336
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema idadi ya Vifo vya Wajawazito vimepungua kutoka Vifo 556 vilivyotokea mwaka 2016 hadi kufikia Vifo 104 kwa kila Vizazi Hai 100,000

Akiwasilisha Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka 2024/25 Bungeni, pia, Waziri Ummy amesema Vifo vya Watoto wenye chini ya Miaka 5 vimepungua kutoka 67 hadi 34 kwa kila Vizazi 1,000

Aidha, Vifo vitokanavyo na UKIMWI vimepungua kutoka Vifo 29,000 vilivyotokea mwaka 2022 hadi Vifo 22,000 vilivyotokea hadi kufikia Machi 2024. Vifo vilivyotokana na Kifua Kikuu (TB) vimepungua kutoka 25,800 mwaka 2022 hadi 18,100 Machi 2024.
 

Attachments

  • BUDGET%20SPEECH%20-%20FINAL%20AFYA%202024-25.pdf
    2.7 MB · Views: 2
Hongora sana ummy mwalimu na wizara ya afya pamajo na Rais wetu mama samia. ira wizara yako afya ifatilie utowaji wa mimba ilitujue tuna poteza nguvu kazi ngapi za badae ili uweze kuzuia kwa manufaa ya taifa isije kawu na wazee wengi kuliko vijana
 
Back
Top Bottom