Wizara ya Afya Tanzania
Official Account
- Oct 1, 2020
- 58
- 124
- Thread starter
- #21
Asante kwa kuwasiliana nasi.Kupima Corona shs ngapi kwa sasa?
Kupima Maambukizi ya Ugonjwa wa Homa ya Mapafu (Covid-19) kwa Raia wa Tanzania ni Shilingi 40,000, raia wa kigeni ni USD 50$