johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 725
- 710
Siwaelewi wenye mawazo haya, wakati wakipigia debe kugawanya mikoa na wilaya kwa sababu zisizokuwa na mashiko, watu hawa hawataki serikali za majimbo.
Sababu za kusogeza huduma ni kudumaza akili. Kwanini huduma hizo zisifuate watu?
Sababu za kusogeza huduma ni kudumaza akili. Kwanini huduma hizo zisifuate watu?