Wewe unapendekeza askari wapewe magari. Waalimu je? Madaktari na manesi je? Watumishi wengine serikali za mitaa na serikali kuu je? Huoni kuwa huu ni ubaguzi?Nchi ngum sana hii, napendekeza askari wetu wote wastaafu wapewe magari
Wewe unapendekeza askari wapewe magari. Waalimu je? Madaktari na manesi je? Watumishi wengine serikali za mitaa na serikali kuu je? Huoni kuwa huu ni ubaguzi?Nchi ngum sana hii, napendekeza askari wetu wote wastaafu wapewe magari
Hiyo ni kodi yetu wananchi ndiyo inaendesha hilo jeshiMafuta Dereva Vitatoka Jeshini
Kwani uzi huu unahusu walim?, madactari na watumishi wengine ? walim ndo vinara wa kushiriki iba kura, na majuzi kati wakuu wa shule walichanga pesa ya kumchukulia mtu mmoja hivi ya Urais bora watumishi wengine walimu Mungu amewapa laana ya mileleWewe unapendekeza askari wapewe magari. Waalimu je? Madaktari na manesi je? Watumishi wengine serikali za mitaa na serikali kuu je? Huoni kuwa huu ni ubaguzi?
Ni mstaafu...soma uelewe ndugu kiongoziKumbe tuna Majenerali wengi nilikuwa sijui! 😎😎😎
Huyo hakuwa Meja Jenerali? Jenerali anakuwa ni Mkuu wa JWTZ
Mkiambiwa akili kiazi mnalalamika!Ni mstaafu...soma uelewe ndugu kiongozi