Ulipoingia wizara ya nishati Kwa mara ya kwanza, ulikuwa na MIKAKATI mingi, customer care ikajitegemea, service za mitambo na njia za umeme, pesa zikalipwa na tatizo liko pale pale, software ya mabilioni ikawekwa, ununuzi wa nguzo za umeme za zege zinazovunjika zenyewe,, mitungi ya gas, bei za kuunganisha umeme zikapanda ,ukaagiza Crane la 26 tonnes, halijawahi kufika Hadi leo nk nk
Ameingia Doto Biteko, YEYE anahangaika na kuhakikisha umeme unapatikana, hatuoni mbwembwe.
Ulipohamia wizara ya mambo ya nje, ulimweleza Rais Samia kuwa unataka kuisuka UPYA wizara ya mambo ya nje iwe ya kisasa zaidi.
Tulitegemea tuone mauzo ya bidhaa nje ya Nchi yakiongezeka Ili mfuko wa dollar utune, fursa za kuwekeza nje ya Nchi ziongezeke ,Tulitegemea shilingi yetu iimarike, Badala yake inadorora Kila uchwao, nk nk.
Case ya mpaka na Nchi ya Malawi iliishia wapi?
Pia tungependa kujua, mwili wa kijana wetu mtanzania aliyeuwawa Israel, ulipatikana?
Tuambie, mpango wako wa kuisuka UPYA wizara ya mambo ya nje , uliishia wapi?
Ameingia Doto Biteko, YEYE anahangaika na kuhakikisha umeme unapatikana, hatuoni mbwembwe.
Ulipohamia wizara ya mambo ya nje, ulimweleza Rais Samia kuwa unataka kuisuka UPYA wizara ya mambo ya nje iwe ya kisasa zaidi.
Tulitegemea tuone mauzo ya bidhaa nje ya Nchi yakiongezeka Ili mfuko wa dollar utune, fursa za kuwekeza nje ya Nchi ziongezeke ,Tulitegemea shilingi yetu iimarike, Badala yake inadorora Kila uchwao, nk nk.
Case ya mpaka na Nchi ya Malawi iliishia wapi?
Pia tungependa kujua, mwili wa kijana wetu mtanzania aliyeuwawa Israel, ulipatikana?
Tuambie, mpango wako wa kuisuka UPYA wizara ya mambo ya nje , uliishia wapi?