Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 520
- 1,605
Wasalaaaaaam........
Wataalam Kuna zile code ambazo ukiweka kwenye laini mtu akikupigia hakupati hewani ila Kwa mesej mnachati vizuri tu na unapata taarifa muda huo huo kuwa flani alikutafuta hewani hajakupata Kwa hiyo ni uamuz wako umpigie au laa.
Ila wewe ukimpigia unampata hewani ila akikupigia tu yeye hakupati hewani.
Na Kuna namna ya kuzitoa hizo codes yaani unaamua saizi niweke alafu muda wowote ukiamua unazitoa.
Nimewahi sikai hii kitu ila sijawahi kuprove. Najua humu kuna wataalam wanawezaelewa hii ishu......
Wataalam Kuna zile code ambazo ukiweka kwenye laini mtu akikupigia hakupati hewani ila Kwa mesej mnachati vizuri tu na unapata taarifa muda huo huo kuwa flani alikutafuta hewani hajakupata Kwa hiyo ni uamuz wako umpigie au laa.
Ila wewe ukimpigia unampata hewani ila akikupigia tu yeye hakupati hewani.
Na Kuna namna ya kuzitoa hizo codes yaani unaamua saizi niweke alafu muda wowote ukiamua unazitoa.
Nimewahi sikai hii kitu ila sijawahi kuprove. Najua humu kuna wataalam wanawezaelewa hii ishu......