Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 19,036
- 31,546
Heshima kwenu,
Sasa ni wazi kabisa katika Muungano wetu Wazanzibar wana uraia pacha (uRaia wa Zanzibar na uRaia wa JMT).
Mosi Wazanzibar wana uRaia wa Zanzibar, kupitia sheria zao ambazo wamezipitisha katika BLW (Baraza la Wawakilishi) ambalo WaTanganyika hawaruhusiwi kutia mguu. Kupitia BLW WaZanzibar wamekuwa wakipitisha sheria mbali mbali ambazo kwa namna moja zimekuwa zikiwabagua WaTanganyika.
Kupitia BLW Raia wa Zanzibar wana haki za kumiliki ardhi, kuajiriwa katika serekali na mashirika ya umma kama Bandari, Bank, Bima. Ni marufuka kubwa kuajiri waTanganyika (Machogo).
Kupitia BLW Wazanzibar wamepitisha sheria ambayo wanaitambua Zanzibar kama nchi ambayo ina mipaka yake ya nchi na bahari. Katika ya JMT inaitambua Zanzibar kama sehemu ya Tanzania. Sasa sijui Majeshi yetu yana linda nini huku nchi ya Zanzibar.
Kupitia hilo BLW Wazanzibar wote wana uRaia wa TANZANIA sawa na waTanganyika! Kupitia katiba yetu ambayo haiheshimiwi WaZanzibar wana haki zote huku Tanganyika ikiwemo ya kumiliki ardhi, kugombea nafasi yoyote ya kisiasa, kuajiriwa mahali popote bila bugudha yoyote.
Sasa ni wazi kabisa katika Muungano wetu Wazanzibar wana uraia pacha (uRaia wa Zanzibar na uRaia wa JMT).
Mosi Wazanzibar wana uRaia wa Zanzibar, kupitia sheria zao ambazo wamezipitisha katika BLW (Baraza la Wawakilishi) ambalo WaTanganyika hawaruhusiwi kutia mguu. Kupitia BLW WaZanzibar wamekuwa wakipitisha sheria mbali mbali ambazo kwa namna moja zimekuwa zikiwabagua WaTanganyika.
Kupitia BLW Raia wa Zanzibar wana haki za kumiliki ardhi, kuajiriwa katika serekali na mashirika ya umma kama Bandari, Bank, Bima. Ni marufuka kubwa kuajiri waTanganyika (Machogo).
Kupitia BLW Wazanzibar wamepitisha sheria ambayo wanaitambua Zanzibar kama nchi ambayo ina mipaka yake ya nchi na bahari. Katika ya JMT inaitambua Zanzibar kama sehemu ya Tanzania. Sasa sijui Majeshi yetu yana linda nini huku nchi ya Zanzibar.
Kupitia hilo BLW Wazanzibar wote wana uRaia wa TANZANIA sawa na waTanganyika! Kupitia katiba yetu ambayo haiheshimiwi WaZanzibar wana haki zote huku Tanganyika ikiwemo ya kumiliki ardhi, kugombea nafasi yoyote ya kisiasa, kuajiriwa mahali popote bila bugudha yoyote.