Wazanzibari ni raia daraja la kwanza katika JMT

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
19,036
31,546
Heshima kwenu,

Sasa ni wazi kabisa katika Muungano wetu Wazanzibar wana uraia pacha (uRaia wa Zanzibar na uRaia wa JMT).

Mosi Wazanzibar wana uRaia wa Zanzibar, kupitia sheria zao ambazo wamezipitisha katika BLW (Baraza la Wawakilishi) ambalo WaTanganyika hawaruhusiwi kutia mguu. Kupitia BLW WaZanzibar wamekuwa wakipitisha sheria mbali mbali ambazo kwa namna moja zimekuwa zikiwabagua WaTanganyika.

Kupitia BLW Raia wa Zanzibar wana haki za kumiliki ardhi, kuajiriwa katika serekali na mashirika ya umma kama Bandari, Bank, Bima. Ni marufuka kubwa kuajiri waTanganyika (Machogo).

Kupitia BLW Wazanzibar wamepitisha sheria ambayo wanaitambua Zanzibar kama nchi ambayo ina mipaka yake ya nchi na bahari. Katika ya JMT inaitambua Zanzibar kama sehemu ya Tanzania. Sasa sijui Majeshi yetu yana linda nini huku nchi ya Zanzibar.

Kupitia hilo BLW Wazanzibar wote wana uRaia wa TANZANIA sawa na waTanganyika! Kupitia katiba yetu ambayo haiheshimiwi WaZanzibar wana haki zote huku Tanganyika ikiwemo ya kumiliki ardhi, kugombea nafasi yoyote ya kisiasa, kuajiriwa mahali popote bila bugudha yoyote.
 
Heshima kwenu,

Sasa ni wazi kabisa katika Muungano wetu Wazanzibar wana uraia pacha (uRaia wa Zanzibar na uRaia wa JMT).

Mosi Wazanzibar wana uRaia wa Zanzibar, kupitia sheria zao ambazo wamezipitisha katika BLW (Baraza la Wawakilishi) ambalo WaTanganyika hawaruhusiwi kutia mguu. Kupitia BLW WaZanzibar wamekuwa wakipitisha sheria mbali mbali ambazo kwa namna moja zimekuwa zikiwabagua WaTanganyika.

Kupitia BLW Raia wa Zanzibar wana haki za kumiliki ardhi, kuajiriwa katika serekali na mashirika ya umma kama Bandari, Bank, Bima. Ni marufuka kubwa kuajiri waTanganyika (Machogo).

Kupitia BLW Wazanzibar wamepitisha sheria ambayo wanaitambua Zanzibar kama nchi ambayo ina mipaka yake ya nchi na bahari. Katika ya JMT inaitambua Zanzibar kama sehemu ya Tanzania. Sasa sijui Majeshi yetu yana linda nini huku nchi ya Zanzibar.

Kupitia hilo BLW Wazanzibar wote wana uRaia wa TANZANIA sawa na waTanganyika! Kupitia katiba yetu ambayo haiheshimiwi WaZanzibar wana haki zote huku Tanganyika ikiwemo ya kumiliki ardhi, kugombea nafasi yoyote ya kisiasa, kuajiriwa mahali popote bila bugudha yoyote.
Wewe kwenu ulipotoka kulikuwa ni nchi au kijiji? Cha nchi ipi?
 
Ushaambiwa zanzibar ni ndogo hakuna nafasi kwa mmbara kupata ardhi kule ila wazanzibar ruksa kupata ardhi bara tena waje kwa wingi. Tena unaambiwa visiwa hivyo ni tunu ya JMT vilindwe na vihifadhiwe ili visipoteze hadhi na asili yake. Ni kama hifadhi ya taifa
 
Ushaambiwa zanzibar ni ndogo hakuna nafasi kwa mmbara kupata ardhi kule ila wazanzibar ruksa kupata ardhi bara tena waje kwa wingi. Tena unaambiwa visiwa hivyo ni tunu ya JMT vilindwe na vihifadhiwe ili visipoteze hadhi na asili yake. Ni kama hifadhi ya taifa
Zanzibar ardhi ni ndogo ndio maana wanaruhusiwa kuja kuishi bara. Ni kama vile Moshi ardhi ni ndogo ndio maana Wachaga wanaenda kuishi maeneo mengine ya Tanzania, kwa sababu Mtanzania ana uhuru wa kuishi popote ndani ya Tanzania.

Sasa umewahi kusikia kwamba kwa kuwa Moshi ardhi ni ndogo basi makabila mengine hawaruhusiwi kununua ardhi ya Wachaga huko Moshi? Na kuna mtu amekuambia huko Zanzibar hakuna soko la ardhi kwa sababu ni ndogo? Au umesikia popote kwamba watu wa bara wakinunua Zanzibar watalazimisha wauziwe ili wabanane na watu wa Zanzibar?

Mtu ambaye anatoa sababu za watu wa bara wasinunue ardhi Zanzibar kwa sababu ya udogo wa ardhi si mjinga, bali ni mpumbavu na hana akili, hata kama yuko kwenye Baraza la Wawakilishi au ni kiongozi wa Zanzibar au serikali ya Muungano
 
Heshima kwenu,

Sasa ni wazi kabisa katika Muungano wetu Wazanzibar wana uraia pacha (uRaia wa Zanzibar na uRaia wa JMT).

Mosi Wazanzibar wana uRaia wa Zanzibar, kupitia sheria zao ambazo wamezipitisha katika BLW (Baraza la Wawakilishi) ambalo WaTanganyika hawaruhusiwi kutia mguu. Kupitia BLW WaZanzibar wamekuwa wakipitisha sheria mbali mbali ambazo kwa namna moja zimekuwa zikiwabagua WaTanganyika.

Kupitia BLW Raia wa Zanzibar wana haki za kumiliki ardhi, kuajiriwa katika serekali na mashirika ya umma kama Bandari, Bank, Bima. Ni marufuka kubwa kuajiri waTanganyika (Machogo).

Kupitia BLW Wazanzibar wamepitisha sheria ambayo wanaitambua Zanzibar kama nchi ambayo ina mipaka yake ya nchi na bahari. Katika ya JMT inaitambua Zanzibar kama sehemu ya Tanzania. Sasa sijui Majeshi yetu yana linda nini huku nchi ya Zanzibar.

Kupitia hilo BLW Wazanzibar wote wana uRaia wa TANZANIA sawa na waTanganyika! Kupitia katiba yetu ambayo haiheshimiwi WaZanzibar wana haki zote huku Tanganyika ikiwemo ya kumiliki ardhi, kugombea nafasi yoyote ya kisiasa, kuajiriwa mahali popote bila bugudha yoyote.
Huu Muungano uangaliwe upya.
 
Zanzibar ardhi ni ndogo ndio maana wanaruhusiwa kuja kuishi bara. Ni kama vile Moshi ardhi ni ndogo ndio maana Wachaga wanaenda kuishi maeneo mengine ya Tanzania, kwa sababu Mtanzania ana uhuru wa kuishi popote ndani ya Tanzania.

Sasa umewahi kusikia kwamba kwa kuwa Moshi ardhi ni ndogo basi makabila mengine hawaruhusiwi kununua ardhi ya Wachaga huko Moshi? Na kuna mtu amekuambia huko Zanzibar hakuna soko la ardhi kwa sababu ni ndogo? Au umesikia popote kwamba watu wa bara wakinunua Zanzibar watalazimisha wauziwe ili wabanane na watu wa Zanzibar?

Mtu ambaye anatoa sababu za watu wa bara wasinunue ardhi Zanzibar kwa sababu ya udogo wa ardhi si mjinga, bali ni mpumbavu na hana akili, hata kama yuko kwenye Baraza la Wawakilishi au ni kiongozi wa Zanzibar au serikali ya Muungano
mmojawapo ni mzee Mohamed Said, yumo humu anaitetea sana Zanzibar kuwa ni ndogo, iachwe hivyohivyo isijazwe watu, wazanzibar ndio waje bara kujipatia ardhi
 
Chao Chao chetu Chao ukiuliza eti unataka vunja muungano!!!
*Ardhi kwetu wanamiliki kwao hatumiliki.
*Kuongoza serikalini mambo yetu Tanganyika wanaongoza sisi yakwao haturuhusiwi kusogelea...
Leo mtanganyika hawezi kumhamisha mpemba lkn huku mzenji anahamisha wamasai apendavyo!!
*Gari bara kwenda zenji freshi lkn toa gari zenji ulete huku ujionee kodi utayolimwa.
*Wao wanaanzisha kero za muungano nazinatatuliwa kwanguvu kubwa sisi tukisema kero zetu za muungano tunaambiwa tutengwe,tupuuzwe nk.
*Wanakaa bungeni kututungia Sheria zetu lakini sisi hatuwapangii huko kwao kuweje...
Mambo mengi ni shaghalabaghala na hatusikilizwi but iposiku tutapata viongozi wenyewelewa mzuri na wanaoipenda nchi yao Tanganyika
 
Zanzibar ardhi ni ndogo ndio maana wanaruhusiwa kuja kuishi bara. Ni kama vile Moshi ardhi ni ndogo ndio maana Wachaga wanaenda kuishi maeneo mengine ya Tanzania, kwa sababu Mtanzania ana uhuru wa kuishi popote ndani ya Tanzania.

Sasa umewahi kusikia kwamba kwa kuwa Moshi ardhi ni ndogo basi makabila mengine hawaruhusiwi kununua ardhi ya Wachaga huko Moshi? Na kuna mtu amekuambia huko Zanzibar hakuna soko la ardhi kwa sababu ni ndogo? Au umesikia popote kwamba watu wa bara wakinunua Zanzibar watalazimisha wauziwe ili wabanane na watu wa Zanzibar?

Mtu ambaye anatoa sababu za watu wa bara wasinunue ardhi Zanzibar kwa sababu ya udogo wa ardhi si mjinga, bali ni mpumbavu na hana akili, hata kama yuko kwenye Baraza la Wawakilishi au ni kiongozi wa Zanzibar au serikali ya Muungano

Mwenye akili ni wewe ambaye pori lote la Tanganyika limekushinda unalia na hekari moja ya Zanzibar , ndio nyinyi mliojazana huku kama ngumbi kutafuta ajira wakati jinchi lenu Tanganyika limejaa almasi , dhahabu, rubi na ardhi ya kutosha ya kilimo iliyokaliwa na nyoka . Pole sana
 
Zanzibar ardhi ni ndogo ndio maana wanaruhusiwa kuja kuishi bara. Ni kama vile Moshi ardhi ni ndogo ndio maana Wachaga wanaenda kuishi maeneo mengine ya Tanzania, kwa sababu Mtanzania ana uhuru wa kuishi popote ndani ya Tanzania.

Sasa umewahi kusikia kwamba kwa kuwa Moshi ardhi ni ndogo basi makabila mengine hawaruhusiwi kununua ardhi ya Wachaga huko Moshi? Na kuna mtu amekuambia huko Zanzibar hakuna soko la ardhi kwa sababu ni ndogo? Au umesikia popote kwamba watu wa bara wakinunua Zanzibar watalazimisha wauziwe ili wabanane na watu wa Zanzibar?

Mtu ambaye anatoa sababu za watu wa bara wasinunue ardhi Zanzibar kwa sababu ya udogo wa ardhi si mjinga, bali ni mpumbavu na hana akili, hata kama yuko kwenye Baraza la Wawakilishi au ni kiongozi wa Zanzibar au serikali ya Muungano
piga kazi kijana wacha maneno maneno hayatakufikisha popote
 
Back
Top Bottom