Unavyotushangaa na sisi ndivyo tunavyokushangaa wewe.Hivi inakuwaje mtu mzima mwenye akili timamu unaamua kuwa MUISLAMU? Hii dunia ni ya ajabu kweli.
Ulitakiwa ujifunze kwanza ili umjue aliyeandika cha kwako. Kutaka kujua ya kule kwingine yatakuvuruga tu, na hivi ulivyo na kichwa cha panzi.Wakristo mliosoma biblia kama mwongozo wenu, naomba mnijibu maswali yangu haya yafuatayo ...
1. Aliyeandika biblia ni nani? na kwa lugha ya kiswahili?
2. Biblia ni nini?
3. Nabii gani aliyepokea hiyo biblia au kuletewa hiyo biblia.
4. Injili ni kitabu cha wakina nani? Na yesu alitumwa kwa Mataifa mangapi ili akafikishe ujumbe?
5. Yesu alisujudu , wewe mkristo unayedai unamfuata yesu kristo unasujudu? na kama husujudu unafuata nini kwa yesu alichokifanya?
6. Yesu alioa? Kama akuoa wewe mbona unaoa?
7. Yesu akuvaa msalaba je, we mkristo unavaa msalaba Shingoni kwa andiko gani? Au kwa kumfuata nani?
8. Kama unamashaka kuhusu Mtume Mohammad sio mtume wa mwisho na Qur'an sio katiba ya Mungu ili ikatuongoze Waanadamu, mbona unakubali zaburi na torati? Unakifahamu kilichoandikwa kwa torati na zaburi?
Chukua hii...
Uislam ni kujisalimisha kwa mwenyezi Mungu kwahiyo ukijisalimisha wewe utakuwa muislamu ndo maana tunasema Yesu alikuwa Muislamu kwa maana alijisalimisha kwa mola wake.
Naomba majibu ya maswali hayo... yako name (8) lila swali na ushahidi itapendeza. Kila muumini wa ukristo akinijibu swali moja itapendeza Elimu ni pana nahitaji kufahamu na kuongeza Maarifa. Asante.
Maswali ya kishabiki tuGoogle ingeweza kukujibia maswali Yako yote haya
Hizi nondo ulizo weka na muona mke mwema huyu hapa.1. Biblia iliandikwa na waandishi mbalimbali katika muda wa karibu miaka 1500 hadi 1600 na kwa lugha mbalimbali za asili za waandishi hao. Kwa mfano, Agano la Kale liliandikwa kwa Kiebrania na Kidani, na Agano Jipya liliandikwa kwa Kigiriki. Tafsiri ya Biblia kwa lugha ya Kiswahili ilianza mwaka 1880 na imekuwa ikiendelea hadi leo, ikiwa na toleo nyingi za Kiswahili kama vile Union, Neno, Tafsiri ya Ulimwengu wa Leo na nyingine nyingi.
Biblia ni mkusanyo wa vitabu vitakatifu ambavyo vina historia na mafundisho ya dini ya Ukristo. Inajumuisha vitabu 66 vya Agano la Kale na Jipya, ambavyo vinasimulia hadithi za uumbaji, historia ya Israeli, maisha ya Yesu Kristo, mafundisho yake, na kazi za mitume wake.
Biblia haikuandikwa na nabii mmoja, badala yake ilikusanya maandishi kutoka kwa waandishi mbalimbali wa kipindi cha miaka 1500 hadi 1600. Waandishi hao walikuwa ni pamoja na manabii, wataalamu wa dini, wafalme, na watu wa kawaida. Kwa hivyo, hakuna nabii mmoja aliyepokea Biblia yote au kuletewa Biblia yote.
Injili ni kitabu kinachoelezea maisha na mafundisho ya Yesu Kristo, na kinajulikana pia kama "Evangelia" kwa lugha ya Kigiriki. Injili nne za Agano Jipya zinaitwa Mathayo, Marko, Luka, na Yohana. Yesu alitumwa kwa Wayahudi na hakutumwa kwa mataifa, lakini baada ya ufufuo wake, mitume wake walianza kusambaza ujumbe huo kwa mataifa yote duniani.
Kanuni kubwa ya Imani za kigeni( wazungu na waarabu) kutohoji kwasababu Kuna vitu vingi Sana vya kufikirisha. Ndo maama watu walio soma Sana na kuelmika ni wagumu kufuatilia hizo Imani wengi wanashirki kama sehemu ya utamaduni au socializationJibu swali,usijifiche kwenye swali
Tofautisha msomi wa elimu ya dunia anayeambiwa binadamu wa kwanza alikuwa nyani,hata asome vipi hawezi kuelimika kuhusu mambo ya Mwenyezi Mungu,na akifa elimu yake itaishia kaburiniKanuni kubwa ya Imani za kigeni( wazungu na waarabu) kutohoji kwasababu Kuna vitu vingi Sana vya kufikirisha. Ndo maama watu walio soma Sana na kuelmika ni wagumu kufuatilia hizo Imani wengi wanashirki kama sehemu ya utamaduni au socialization
Tofautisha kati ya kumuowa na kumuingilia pili labda nikuulize na weweMtume Mohamed (SWA) alimuoa binti wa miaka 9 vp wewe umemuoa binti wa miaka hiyo...? Na kama hujamuoa unasubiri nini
Biblia imeandikwa na wasomi mbali mbali ambao walikusanya vitabu ambavyo vilikuwa vya kale ambavyo nakara hizo zilihifaziwa na zilikuwa zimeandikwa kwa maelekezo ya roho mtakatifu( roho ya Mungu) kwa mfano yesu akaombwa asome chuo cha nabii isaya,apo awali hivyo vitabu vilikuwa tofauti tofauti ,mfano mwingine Mungu anawaambia waesrael maneno ya torati yasitoke vinywani mwenu kulikuwa na maelekezo yalikuwa kwenye vitabu tofauti tofauti,Zaburi,hesabu walawi vilikuwa separateWakristo mliosoma biblia kama mwongozo wenu, naomba mnijibu maswali yangu haya yafuatayo ...
1. Aliyeandika biblia ni nani? na kwa lugha ya kiswahili?
2. Biblia ni nini?
3. Nabii gani aliyepokea hiyo biblia au kuletewa hiyo biblia.
4. Injili ni kitabu cha wakina nani? Na yesu alitumwa kwa Mataifa mangapi ili akafikishe ujumbe?
5. Yesu alisujudu , wewe mkristo unayedai unamfuata yesu kristo unasujudu? na kama husujudu unafuata nini kwa yesu alichokifanya?
6. Yesu alioa? Kama akuoa wewe mbona unaoa?
7. Yesu akuvaa msalaba je, we mkristo unavaa msalaba Shingoni kwa andiko gani? Au kwa kumfuata nani?
8. Kama unamashaka kuhusu Mtume Mohammad sio mtume wa mwisho na Qur'an sio katiba ya Mungu ili ikatuongoze Waanadamu, mbona unakubali zaburi na torati? Unakifahamu kilichoandikwa kwa torati na zaburi?
Chukua hii...
Uislam ni kujisalimisha kwa mwenyezi Mungu kwahiyo ukijisalimisha wewe utakuwa muislamu ndo maana tunasema Yesu alikuwa Muislamu kwa maana alijisalimisha kwa mola wake.
Naomba majibu ya maswali hayo... yako name (8) lila swali na ushahidi itapendeza. Kila muumini wa ukristo akinijibu swali moja itapendeza Elimu ni pana nahitaji kufahamu na kuongeza Maarifa. Asante.
9. Yesu alivaa kanzu mbona MimiWakristo mliosoma biblia kama mwongozo wenu, naomba mnijibu maswali yangu haya yafuatayo ...
1. Aliyeandika biblia ni nani? na kwa lugha ya kiswahili?
2. Biblia ni nini?
3. Nabii gani aliyepokea hiyo biblia au kuletewa hiyo biblia.
4. Injili ni kitabu cha wakina nani? Na yesu alitumwa kwa Mataifa mangapi ili akafikishe ujumbe?
5. Yesu alisujudu , wewe mkristo unayedai unamfuata yesu kristo unasujudu? na kama husujudu unafuata nini kwa yesu alichokifanya?
6. Yesu alioa? Kama akuoa wewe mbona unaoa?
7. Yesu akuvaa msalaba je, we mkristo unavaa msalaba Shingoni kwa andiko gani? Au kwa kumfuata nani?
8. Kama unamashaka kuhusu Mtume Mohammad sio mtume wa mwisho na Qur'an sio katiba ya Mungu ili ikatuongoze Waanadamu, mbona unakubali zaburi na torati? Unakifahamu kilichoandikwa kwa torati na zaburi?
Chukua hii...
Uislam ni kujisalimisha kwa mwenyezi Mungu kwahiyo ukijisalimisha wewe utakuwa muislamu ndo maana tunasema Yesu alikuwa Muislamu kwa maana alijisalimisha kwa mola wake.
Naomba majibu ya maswali hayo... yako name (8) lila swali na ushahidi itapendeza. Kila muumini wa ukristo akinijibu swali moja itapendeza Elimu ni pana nahitaji kufahamu na kuongeza Maarifa. Asante.
Tofauti ya Biblia Takatifu na Quran ni kuwa Biblia Takatifu inabeba ujumbe uliopewa watu mbalimbali na Mwenyezi Mungu kwa njia mbalimbali, katika maeneo tofauti kabisa lakini ujumbe ukawa ni ule ule. Watu hawa waliopewa ujumbe huu walishuhudiwa na jamii yote kwani Mwenyezi Mungu alijidhihirisha mbele yao wote kwa namna tofauti kama ushuhuda kuwa watu hawa amewatuma Yeye.Wakristo mliosoma biblia kama mwongozo wenu, naomba mnijibu maswali yangu haya yafuatayo ...
1. Aliyeandika biblia ni nani? na kwa lugha ya kiswahili?
2. Biblia ni nini?
3. Nabii gani aliyepokea hiyo biblia au kuletewa hiyo biblia.
4. Injili ni kitabu cha wakina nani? Na yesu alitumwa kwa Mataifa mangapi ili akafikishe ujumbe?
5. Yesu alisujudu , wewe mkristo unayedai unamfuata yesu kristo unasujudu? na kama husujudu unafuata nini kwa yesu alichokifanya?
6. Yesu alioa? Kama akuoa wewe mbona unaoa?
7. Yesu akuvaa msalaba je, we mkristo unavaa msalaba Shingoni kwa andiko gani? Au kwa kumfuata nani?
8. Kama unamashaka kuhusu Mtume Mohammad sio mtume wa mwisho na Qur'an sio katiba ya Mungu ili ikatuongoze Waanadamu, mbona unakubali zaburi na torati? Unakifahamu kilichoandikwa kwa torati na zaburi?
Chukua hii...
Uislam ni kujisalimisha kwa mwenyezi Mungu kwahiyo ukijisalimisha wewe utakuwa muislamu ndo maana tunasema Yesu alikuwa Muislamu kwa maana alijisalimisha kwa mola wake.
Naomba majibu ya maswali hayo... yako name (8) lila swali na ushahidi itapendeza. Kila muumini wa ukristo akinijibu swali moja itapendeza Elimu ni pana nahitaji kufahamu na kuongeza Maarifa. Asante.
Iwe imeruhusiwa kuoa. Lkn hiyo ndoa inafuata muongozo upi na ktk Biblia hakuna, au hii Dini kuna mambo hayapo kabisa?, au Ni Dini iliotungwa na Binadam?Wakristo mliosoma biblia kama mwongozo wenu, naomba mnijibu maswali yangu haya yafuatayo ...
1. Aliyeandika biblia ni nani? na kwa lugha ya kiswahili?
2. Biblia ni nini?
3. Nabii gani aliyepokea hiyo biblia au kuletewa hiyo biblia.
4. Injili ni kitabu cha wakina nani? Na yesu alitumwa kwa Mataifa mangapi ili akafikishe ujumbe?
5. Yesu alisujudu , wewe mkristo unayedai unamfuata yesu kristo unasujudu? na kama husujudu unafuata nini kwa yesu alichokifanya?
6. Yesu alioa? Kama akuoa wewe mbona unaoa?
7. Yesu akuvaa msalaba je, we mkristo unavaa msalaba Shingoni kwa andiko gani? Au kwa kumfuata nani?
8. Kama unamashaka kuhusu Mtume Mohammad sio mtume wa mwisho na Qur'an sio katiba ya Mungu ili ikatuongoze Waanadamu, mbona unakubali zaburi na torati? Unakifahamu kilichoandikwa kwa torati na zaburi?
Chukua hii...
Uislam ni kujisalimisha kwa mwenyezi Mungu kwahiyo ukijisalimisha wewe utakuwa muislamu ndo maana tunasema Yesu alikuwa Muislamu kwa maana alijisalimisha kwa mola wake.
Naomba majibu ya maswali hayo... yako name (8) lila swali na ushahidi itapendeza. Kila muumini wa ukristo akinijibu swali moja itapendeza Elimu ni pana nahitaji kufahamu na kuongeza Maarifa. Asante.
Yesu hajaandika kitabu ata kimoja. Mohamed hakuelewa hilo pia.Iwe imeruhusiwa kuoa. Lkn hiyo ndoa inafuata muongozo upi na ktk Biblia hakuna, au hii Dini kuna mambo hayapo kabisa?, au Ni Dini iliotungwa na Binadam?
Kama Biblia ni vitab vilivyoandikwa na watu sasa kwa nini tusifuate kitabu kimoja tu cha Injili cha Yesu!