Watu wengi hawajui kuwa mitishamba inaharibu ini na figol

Newbies

JF-Expert Member
Jul 13, 2018
1,543
2,251
Watu wengi wamekulia katika jamii ambazo wanaoamini dawa za mitoshamba hazina madhara na kuwa unaweza kutumia tu kiholela holela hata Kama huna ujuzi nao.

Ukweli Ni kuwa mitoshamba Kama isipotumika kwa umakini na kizingatia kipimo stahiki ukawa unabugia tu unaharibu Figo.

Utakuta MTU anakunywa Alovera daily baadaye akiambiwa ini limefeli anaanza kushangaa kuweni makini.

Dawa ni Dawa.
 
Babu yangu amekuwa akitumia mitishamba tangu akiwa mdogo hadi sasa anamiaka 101, kila kukicha yeye anatafuna mizizi tu. Hana tatizo la ini wala figo, hana kisukari wala presha.
 
Kwani miaka ya nyuma huko watu walikuwa wanatumia nini kujitibu?
Maisha ya watu wa enzi hizo yalikua tofauti sana na ya sasa, wengi mavitu ya viwandani walikua hawajui,,,,,kwa sasa kabla tu ya kutumia hizo dawa viungo vyako vimeshaathiriwa na sumu nyingi kuanzia vyakula, madawa ya hospitali, life style ukipata hizo dawa dozi ikazidi kidogo viungo kuharibika ni rahisi kuliko hao wa zamani,,, watu wa miti shamba walioenda shule kwa sasa ndo wameanza kuangalia swala la kipimo kwenye dawa zao hasa zile chungu/kali sana (maswala ya acidity na alkalinity )
 
Maisha ya watu wa enzi hizo yalikua tofauti sana na ya sasa, wengi mavitu ya viwandani walikua hawajui,,,,,kwa sasa kabla tu ya kutumia hizo dawa viungo vyako vimeshaathiriwa na sumu nyingi kuanzia vyakula, madawa ya hospitali, life style ukipata hizo dawa dozi ikazidi kidogo viungo kuharibika ni rahisi kuliko hao wa zamani,,, watu wa miti shamba walioenda shule kwa sasa ndo wameanza kuangalia swala la kipimo kwenye dawa zao hasa zile chungu/kali sana (maswala ya acidity na alkalinity )
Nam kk
 
Babu yangu amekuwa akitumia mitishamba tangu akiwa mdogo hadi sasa anamiaka 101, kila kukicha yeye anatafuna mizizi tu. Hana tatizo la ini wala figo, hana kisukari wala presha.
Tumia hasa mualovera kwa kuzidisha kiasi afu utaleta mrejesho wako hapa
 
Back
Top Bottom