Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,539
Mungu huwa hakosei kuumba ?
Mimi sijui na lengo langu siyo kumkosoa Mungu wala kumuhoji bali kuzungumzia kuhusu binadamu waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia
Kawaida mtu ana meno 32,miguu miwili,pua moja,mikono miwili,moyo mmoja n.k ila hawa watu viungo vyao vimepitiliza idadi
9/Hazel Jones
Demu Huyu alizaliwa na uke pea mbili
Huyu alisumbuliwa na ugonjwa wa kushangaza wakati anakaribia kuvunja ungo na akajikuta anapata hedhi mfululizo kama mvua za masika zinazosumbua wakazi wa mabondeni
Anatokea huko High Wycombe nchini Uingereza
Tatizo lake linajulikana kama Uterus Didelphys yaani pia ana vyumba viwili vya uzazi
Alipoambiwa na daktati kwamba ana uke na vyumba vya uzazi pea mbili akamjibu anajisikia fahari japo atahitaji mtu antoe bikra kote kote (sizungumzii tundu la nyuma......mi simo nasema simo !!<
Mimi sijui na lengo langu siyo kumkosoa Mungu wala kumuhoji bali kuzungumzia kuhusu binadamu waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia
Kawaida mtu ana meno 32,miguu miwili,pua moja,mikono miwili,moyo mmoja n.k ila hawa watu viungo vyao vimepitiliza idadi
9/Hazel Jones
Demu Huyu alizaliwa na uke pea mbili
Huyu alisumbuliwa na ugonjwa wa kushangaza wakati anakaribia kuvunja ungo na akajikuta anapata hedhi mfululizo kama mvua za masika zinazosumbua wakazi wa mabondeni
Anatokea huko High Wycombe nchini Uingereza
Tatizo lake linajulikana kama Uterus Didelphys yaani pia ana vyumba viwili vya uzazi
Alipoambiwa na daktati kwamba ana uke na vyumba vya uzazi pea mbili akamjibu anajisikia fahari japo atahitaji mtu antoe bikra kote kote (sizungumzii tundu la nyuma......mi simo nasema simo !!<