Wasioitakia Mbeya mema wameumbuka!

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,734
2,265
IMG-20190501-WA0028.jpg


Kuna watu, wengine wanasiasa wakubwa tu, wamekuwa wakiimba wimbo wakutufarakanisha Mbeya, sisi kwa sisi na vilevile kuwa wana Mbeya hawampendi Rais Magufuli.

Wameumbuka vibaya.

Ujio wa Rais Magufuli Mbeya ulikuwa kwa mafanikio makubwa.
Kuna hata waliodiriki kusema wanasiasa wa mkoani Mbeya watasusa kufika mikutano yake.
Tumeona natumefarijika viongozi wa Mbeya mzee Mwandosya , Sugu, Mary Mwanjelwa , Tulia Ackson wote wameshirikiana vema kufanya ujio wa Rais kuwa wa kupendeza.

Kwa hiyo kuna watu sasa wanatafuna kucha zao.
 
Nadhani wewe ndio hukufurahia mafanikio ya ziara ya Rais Magufuli vinginevyo usingeleta mipasho hii wakati mh Rais bado yuko ziarani jijini Mbeya!

Maendeleo hayana vyama!
 
Gwakisa, inakuaje huyo mnyakyusa wenu mlimkataa huko kwenu wenzake(wanyakyusa) alafu anakuja mjini kwa wasafwa.?
 
So what?Unaweza kututajia hayo mafanikio?Kama tunadanganywa uchumi uko vzr a7% wakat wataalam wa dunia wanatwambia tumedrop to 4%.Indicators za kiuchumi zinaonesha hali mbaya kila sektaa,hiz porojo za jiwe haziwez kuwasaidia watanzaniaa,yaani anatuona watz wote tumetoka koromije
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom