SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,534
- 23,980
Ninazo zote kwenye channel ya Telegram. 1-6. Ushindwe wewe.Nazipata kupitia apk gani ,cinema,tea TV,yt,movie HD nimefeli
Ninazo zote kwenye channel ya Telegram. 1-6. Ushindwe wewe.Nazipata kupitia apk gani ,cinema,tea TV,yt,movie HD nimefeli
Kijana umetukimbia muda mrefu no movieNinazo zote kwenye channel ya Telegram. 1-6. Ushindwe wewe.View attachment 2971106
kaka, uko serious kweli?Kijana umetukimbia muda mrefu no movie
Ili nizipate natakiwa kufanyajeNinazo zote kwenye channel ya Telegram. 1-6. Ushindwe wewe.View attachment 2971106
Ingia Telegram, search UZI MKALI join channel. Utakuta kila kitu humo.Ili nizipate natakiwa kufanyaje
Telegram unatumia jina gani?kaka, uko serious kweli?
nimepost threads kama tano hivi za visa vya movies na huko Telegram nazmwaga kama njugu
Search UZI MKALI utaipata channelTelegram unatumia jina gani?
Ninazo zote kwenye channel ya Telegram. 1-6. Ushindwe wewe.View attachment 2971106
Unajiweza lakini?Nimezishusha nitafute muda usiku mnene nizicheki
kwanza shukrani sana kwa kuwa huwa unatuletea vigongo vikali ila nina ombi uwe unatupa story za movie au series tofauti na horror movie mfano movie ya ESCAPE PLAN hii inahusu jamaa ambaye ameajiliwa kwaajili kuingia magerezani kwa katengeneza kosa na kutoroka kwa lengo is kupima ufanisi wa magereza but inatokea kuingizwa kwenye gereza tofauti na alilopangiwa baada ya kugeukwa na mkubwa wake wa kazi safari hii anakutana na changamoto kubwa tofauti na magereza aliyowahi kuingia hilo ni kiboko nini kitaenda kutokea?Unajiweza lakini?
Kaka nimekupata vema.kwanza shukrani sana kwa kuwa huwa unatuletea vigongo vikali ila nina ombi uwe unatupa story za movie au series tofauti na horror movie mfano movie ya ESCAPE PLAN hii inahusu jamaa ambaye ameajiliwa kwaajili kuingia magerezani kwa katengeneza kosa na kutoroka kwa lengo is kupima ufanisi wa magereza but inatokea kuingizwa kwenye gereza tofauti na alilopangiwa baada ya kugeukwa na mkubwa wake wa kazi safari hii anakutana na changamoto kubwa tofauti na magereza aliyowahi kuingia hilo ni kiboko nini kitaenda kutokea?
THE LAST, Hii ni series ya kikorea inamuhusu jamaa ambaye ni muhasibu anafanya kazi kwenye organization fulani ya private inatokea msala mmoja hivi hela za taasisi zinaibwa bila kujua msala mzima unamuangukia yeye anajikuta anatoroka kwasababu ya kutokujua anajinasua vipi anatafutwa na polisi pamoja na wadau walioweka hela zao hapo. kutokana na hiyo changamoto anajikuta anaishi maisha ambayo hajawahi kutegemea maana tangu azaliwe hajawahi kuishi maisha ya chini kuna visa vingi anaenda kuexperience but kitu pekee anajivunia ni uwezo wake wa akili utamsaidia kwenye mambo mengi.
SteveMollel
Pamoja mkuuKaka nimekupata vema.