Wanawake wana siri nyingi sana

babukijana

JF-Expert Member
Jul 21, 2009
13,340
16,416
Tuingie front

Mwaka kenda nilikutana na binti flani maarufu tu bongo movie.

Kaumbika km malaika,binti wa kimarangu yule nadhani Mungu siku hiyo anamuumba alikua kaamka asubuhi kabisa hajachoka.
Nilimkuta mahali kajikalia analia,nikapita narudi analia nikaona isiwe tabu nikawakumbuka mababu zangu waliokufa vita ya pili ya dunia namie chozi likanitoka.
Tena mi ndo napiga mikelele kabisa.

Basi akaacha machungu yake kaanza kunibembeleza. Baada kunyamaza ndo tunasimuliana. We vp imekuwaje unalia?
Yeye kanipa story ya kumfuma jamaa yake mshamba mmoja hivi alikua pia humo bongo movie.

Dah mi story niliotoa hata sikumbuki ila ilikua fix tu.
Tukafarijiana yakaisha.
Ikawa sasa tufanyeje.
Mi hapo nikikumbuka gheto kuna kibinti kimoja kimachame kimbaumbau hivi ila kizuri sijui km huyo jacky mengi(usinifungulie mashtaka ni mfano tu🙄)

Hicho tulikutana kikiwa form three.
Mi nilikua nimetoka kuachana na bibi mwingine alienipenda sana Aida.
Aida nilimfukuza mwenyewe, badae nikammis mpk basi akagoma kurudi.
Kujipooza ndo nikapata hiki kibinti kimachame.

Mpk leo kimeolewa nikikiangalia naona hapa ilikua dodo langu hili bado kazurii.
Tatizo kamejifunza matusi tu.
Sasa nikipiga simu tu salamu ni "WE SHETANI BADO UNAISHI"
(Nna binti naye 20 yrs now)
Tukirudi kwa mmarangu kule juu.
Tunywe maji kwanza.
 
Tuingie front

Mwaka kenda nilikutana na binti flani maarufu tu bongo movie.
Kaumbika km malaika,binti wa kimarangu yule nadhani Mungu siku hiyo anamuumba alikua kaamka asubuhi kabisa hajachoka.
Nilimkuta mahali kajikalia analia,nikapita narudi analia nikaona isiwe tabu nikawakumbuka mababu zangu waliokufa vita ya pili ya dunia namie chozi likanitoka.
Tena mi ndo napiga mikelele kabisa.
Basi akaacha machungu yake kaanza kunibembeleza.
Baada kunyamaza ndo tunasimuliana.
We vp imekuwaje unalia?
Yeye kanipa story ya kumfuma jamaa yake mshamba mmoja hivi alikua pia humo bongo movie.
Dah mi story niliotoa hata sikumbuki ila ilikua fix tu.
Tukafarijiana yakaisha.
Ikawa sasa tufanyeje.
Mi hapo nikikumbuka gheto kuna kibinti kimoja kimachame kimbaumbau hivi ila kizuri sijui km huyo jacky mengi(usinifungulie mashtaka ni mfano tu)
Hicho tulikutana kikiwa form three.
Mi nilikua nimetoka kuachana na bibi mwingine alienipenda sana Aida.
Aida nilimfukuza mwenyewe, badae nikammis mpk basi akagoma kurudi.
Kujipooza ndo nikapata hiki kibinti kimachame.
Mpk leo kimeolewa nikikiangalia naona hapa ilikua dodo langu hili bado kazurii.
Tatizo kamejifunza matusi tu.
Sasa nikipiga simu tu salamu ni "WE SHETANI BADO UNAISHI"
(Nna binti naye 20 yrs now)
Tukirudi kwa mmarangu kule juu.
Tunywe maji kwanza.
Inafaa urudi FB siyo kwa kutuchosha hivi
 
Tuingie front

Mwaka kenda nilikutana na binti flani maarufu tu bongo movie.
Kaumbika km malaika,binti wa kimarangu yule nadhani Mungu siku hiyo anamuumba alikua kaamka asubuhi kabisa hajachoka.
Nilimkuta mahali kajikalia analia,nikapita narudi analia nikaona isiwe tabu nikawakumbuka mababu zangu waliokufa vita ya pili ya dunia namie chozi likanitoka.
Tena mi ndo napiga mikelele kabisa.
Basi akaacha machungu yake kaanza kunibembeleza.
Baada kunyamaza ndo tunasimuliana.
We vp imekuwaje unalia?
Yeye kanipa story ya kumfuma jamaa yake mshamba mmoja hivi alikua pia humo bongo movie.
Dah mi story niliotoa hata sikumbuki ila ilikua fix tu.
Tukafarijiana yakaisha.
Ikawa sasa tufanyeje.
Mi hapo nikikumbuka gheto kuna kibinti kimoja kimachame kimbaumbau hivi ila kizuri sijui km huyo jacky mengi(usinifungulie mashtaka ni mfano tu)
Hicho tulikutana kikiwa form three.
Mi nilikua nimetoka kuachana na bibi mwingine alienipenda sana Aida.
Aida nilimfukuza mwenyewe, badae nikammis mpk basi akagoma kurudi.
Kujipooza ndo nikapata hiki kibinti kimachame.
Mpk leo kimeolewa nikikiangalia naona hapa ilikua dodo langu hili bado kazurii.
Tatizo kamejifunza matusi tu.
Sasa nikipiga simu tu salamu ni "WE SHETANI BADO UNAISHI"
(Nna binti naye 20 yrs now)
Tukirudi kwa mmarangu kule juu.
Tunywe maji kwanza.
Uzi wa hovyo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ikawa huyu ntampeleka wapi?
Kumbe demu ana life lake vizuri tu kino pale miembeni.
Huyu binti mmachame mi nilimtosa mwanzo tu hata game sijapiga.
Akalia sana sana yaani mpk na mi nikaanza kulia.
Yaani katoto kanalia mpk akasema naomba niwe housegirl wako tu.
Nakuja kukupikia kufua na chochote nafanya.
Kumbuka hakanywi pombe kabisa.
Labda mi ndo nilikaonjesha.
Nikaona poa tu si kayataka.
Tukapanga tu schedure monday- friday haupo.
Saturday eve upo.
Ndio ikawa hivyo,binti mbichi simgusi walai yupo ndani hapo.
Mi narudi nshachoshwa na makahaba huko naangusha tu.
Yule ma mtoto ataninywesha mtori aliopika km mtoto vile
Duh yale mapenzi sijui yaliishiaga wapi🤔.
Katika mambo ya pombe siku nimerudi home aah yani mambo yale
 
Back
Top Bottom