Bwana Bima
JF-Expert Member
- Jul 29, 2014
- 418
- 888
Imekua kawaida sasa kuona mashabiki wa simba wakifanyiwa mizaha na viongozi wao kwa kuendesha propaganda ambazo ni wazi nyuma yake kuna viongozi wao. Nasema hivi kwa sababu kwanini wanaozusha hizi propaganda ni vyomba vya habari especially online tvs na baadhi ya wachambuzi wa mpira?
Niwaamshe akili kidogo, ishu ya micson imefikia wapi mpka sasa, vipi kuhusu Manzoki? Swala la wanasimba kumlalamikia Mangungu limefikia wapi? Naamini sikubzijazo tunzeni post yangu mtaona mengi ili jitihada zinafanyikaa kuwafurahisha sasa against mambo ya yanga na kuacha mambo ya msingi ya Maendeleo ya timu yenu. Amkeni!!!
Yanga tushamaliza usajili. Propaganda ya kusema tumefungiwa ndo yale yale. Swali dogo tu kibabage kasajiliwa while tukiwa tumefungiwa? Na pili tumechelewa kutanganza wachezaji wetu wapya coz ali kamwe ashasema tutatumia platform ya kuwatangaza kuuza jezi. Sasa nyie endeleeni na propaganda zenu sisi tuasonga tu. La mwisho hojini basi kuhusu jezi. Kila siku kina Jemedar ndi wanakuja kuwajibia hoja zinazoibuka mnafurah na kutulia🤣🤣🤣🤣 manara hakukosea kuwaita makolo n la hata rage kusema nyie ni mambumbu. Ingekha ni yanga hizi drama zinatokea mngekua mshaona moto wake
Niwaamshe akili kidogo, ishu ya micson imefikia wapi mpka sasa, vipi kuhusu Manzoki? Swala la wanasimba kumlalamikia Mangungu limefikia wapi? Naamini sikubzijazo tunzeni post yangu mtaona mengi ili jitihada zinafanyikaa kuwafurahisha sasa against mambo ya yanga na kuacha mambo ya msingi ya Maendeleo ya timu yenu. Amkeni!!!
Yanga tushamaliza usajili. Propaganda ya kusema tumefungiwa ndo yale yale. Swali dogo tu kibabage kasajiliwa while tukiwa tumefungiwa? Na pili tumechelewa kutanganza wachezaji wetu wapya coz ali kamwe ashasema tutatumia platform ya kuwatangaza kuuza jezi. Sasa nyie endeleeni na propaganda zenu sisi tuasonga tu. La mwisho hojini basi kuhusu jezi. Kila siku kina Jemedar ndi wanakuja kuwajibia hoja zinazoibuka mnafurah na kutulia🤣🤣🤣🤣 manara hakukosea kuwaita makolo n la hata rage kusema nyie ni mambumbu. Ingekha ni yanga hizi drama zinatokea mngekua mshaona moto wake